Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Bado haujajibu swali unarukaruka, jibu swali ni lini ulisikia watu wa Zanzibar wakimsifu Okello kwa kuwakomboa kutoka kwa Mwarabu? Eleza na km una USHAHIDI weka humuKaribu CCM upate darasa la uzalendo kwanza!!
1950's naweza nisiwe mdogo akoUmezaliwa enzi gani mdogo wangu???? 1960,s au 1970,s au 1980,s nijibu kwanza afu nitakujuza mdogo wangu
Basi nimekulewa nitakujibu kaka ila tusitoke nje ya mada1950's naweza nisiwe mdogo ako
Sawa toa jibu na references itapendeza zaidi ukifanya hivyo, ni lini ulimsikia Hayati Karume akimsifu Okello kua ni shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar? Au kwa wepesi ni lini uliwasikia wananchi wa Zanzibar wakimsifu Okello kua yeye ndie shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar? Au kwa urahisi inapofika siku ya kumbukizi ya Mapinduzi ya Zanzibar umewahi kusikia popote Okello akitajwa km yeye ndie shujaa wa Mapinduzi?Basi nimekulewa nitakujibu kaka ila tusitoke nje ya mada
Usijali nitakujibu mzee mwenzangu!!!Kua na amani tupo pamojaSawa toa jibu na references itapendeza zaidi ukifanya hivyo, ni lini ulimsikia Hayati Karume akimsifu Okello kua ni shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar? Au kwa wepesi ni lini uliwasikia wananchi wa Zanzibar wakimsifu Okello kua yeye ndie shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar? Au kwa urahisi inapofika siku ya kumbukizi ya Mapinduzi ya Zanzibar umewahi kusikia popote Okello akitajwa km yeye ndie shujaa wa Mapinduzi?
Nelson...Tatizo ni moja mzee wangu unajikweza sana na muoga wa maoni kinzani!!!Huukubali ukweli unaopingana na maoni na mapokeo yako ya kisiasa na kidini sasa wasomi hawapo hivyo!!!!Huo ndio udhaifu wako mzee wangu
Ila darasa naliandaa usisahau miadi yetu na wewe umenihaidi utakua mwanafunzi mzee wanguNelson...
Kama wewe unaona hivyo sawa.
Kuwa mimi muoga hilo nakataa.
Nimeandika kitabu "...the Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism," Nyerere yu hai.
Hutaki kusoma historia ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kuandika historia ya Waislam kwako ni udhaifu.
Nelson...Ila darasa naliandaa usisahau miadi yetu na wewe umenihaidi utakua mwanafunzi mzee wangu
Elimu ipo ondoa shaka!!!Na kikubwa zaidi nina elimu ya kibantu ambayo ni asili yetu wabantu mbali na elimu hizi zilizokuja africa kutoka mabara mengine!!!Kwahiyo kua na amani kakangu SaidNelson...
Ualimu unahitaji uwe na elimu.
Nelson...Elimu ipo ondoa shaka!!!Na kikubwa zaidi nina elimu ya kibantu ambayo ni asili yetu wabantu mbali na elimu hizi zilizokuja africa kutoka mabara mengine!!!Kwahiyo kua na amani kakangu Said
Kuna watu hapa Afrika Mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!
Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
Hao ni mabaki ya sultani,wanaitwa waarabu koko,
Hawa ni maadui wakubwa kabisa, walitaka Mzee Karume afanyeje? atuache chini ya utawala dhalimu wa Usultani?
Asante sana kwa maoni yako ndugu yangu na karibu ASP na TANU tujenge nchi yetu pendwa ya Tanzania pamoja!!!Huyo okello kama nikweli alishiriki basi kwa Mwenyezi Mungu atakipata akitakacho, na anaeshadadia upumbavu uliofanywa na washirika wake maana yake yupo tayari hata kumkill mama/baba/ndugu yake.
Muogopeni Mwenyezi Mungu enyi wakristo/wapagani n.k, japo sio wakristo wote.
Waite hata waarabu ugali ila ndio hivyoo waarabu/waislamu wamestaarabika, wana imani na wakarimu kuliko jamii yoyote ulimwenguni, si ajabu hata wazazi wako na mababu zako waliopita walielimika kutoka kwa waislamu/waarabu. God bless arabian people and all Muslims around the world.
Wewe na wenzio ndio maadui wakubwa wa waarabu na waislamu, ila hulijui hilo ama kujitoa ufahamu.
Asante sana kwa maoni yako ndugu yangu na karibu ASP na TANU tujenge nchi yetu pendwa ya Tanzania pamoja!!!
Mkuu mimi ni Muislam.Huyo okello kama nikweli alishiriki basi kwa Mwenyezi Mungu atakipata akitakacho, na anaeshadadia upumbavu uliofanywa na washirika wake maana yake yupo tayari hata kumkill mama/baba/ndugu yake.
Muogopeni Mwenyezi Mungu enyi wakristo/wapagani n.k, japo sio wakristo wote.
Waite hata waarabu ugali ila ndio hivyoo waarabu/waislamu wamestaarabika, wana imani na wakarimu kuliko jamii yoyote ulimwenguni, si ajabu hata wazazi wako na mababu zako waliopita walielimika kutoka kwa waislamu/waarabu. God bless arabian people and all Muslims around the world.
Wewe na wenzio ndio maadui wakubwa wa waarabu na waislamu, ila hulijui hilo ama kujitoa ufahamu.
Mkuu mimi ni Muislam.
Ila kigezo cha wapumbavu wachache kutumia dini kuwanyanyasa watu kisa rangi zao sikubaliani nao na hakuna hadith wala aya ya Quran tukufu inayopongeza hilo
Kama unadhani uislam ni kumwacha Sultan na washenzi wenzie kutawala Zanzibar huku wenyeji wengi waishi kama wako utumwani fikiria tena
Uislam umeweka bayana sheria za kutawala ardhi
Ebu nisaidie kuwaelezea ndugu yangu Capone!!Mkuu mimi ni Muislam.
Ila kigezo cha wapumbavu wachache kutumia dini kuwanyanyasa watu kisa rangi zao sikubaliani nao na hakuna hadith wala aya ya Quran tukufu inayopongeza hilo
Kama unadhani uislam ni kumwacha Sultan na washenzi wenzie kutawala Zanzibar huku wenyeji wengi waishi kama wako utumwani fikiria tena
Uislam umeweka bayana sheria za kutawala ardhi
Upo sahii kwa maoni yako mzee wangu kuhusu mapinduzi matukufu ya 1964 pale tawala za kidhalimu na tawala za kiimla zilipoondolewa zanzbar na watu wa matabaka yote kupata uhuru wa kweli bila kujali rangi zao na dini zao na asili zao!!Sol...
Umeleta nasaha njema kabisa.
Kuna Hadith ya Mtume SAW inayosema kuwa, ''Jambo lolote ukilitia upole litapendeza.''
Kuwa laini katika lugha yako na kalamu yako.
Kuna watu wanajiita Waislam lakini wanawatukana watu na wakiandika wanaandika shari na uongo kueneza fitna.
Afanyae haya na yeye anajiita Muislam akumbuke hadith hii ya Mtume SAW: ''Fitna ni kitu kilicholala amelaaniwa yule anaeiamsha.''
Ndugu yangu kipenzi tuchukue tahadhari tusiutie doa Uislam.
Muislam ni yule ambae nduguze Waislam wamenusirika na mkono wake na kinywa chake.
Naamini umenielewa.
Tusiwe kama wale Waislam wanaoona ''dhulma'' ya utumwa Zanzibar miaka 200 iliyopoita.
Haoni dhulma ya mauaji baada ya mapinduzi mwaka wa 1964..
Haoni dhulma ya Wazanzibari wanaouliwa kila uchaguzi kuanzia 1995 hadi leo.
Wala haoni dhulma iliyoka Tanzania Bara kwa Waislam kufanyiwa hila katika elimu nafasi serikalini, bungeni na kwingi toka uhuru upatikane mwaka wa 1961 tena uhuru waliokuwa mstari wa mbele kwa hali na mali kuupigania.
Leo Waislam wamekuwa ''minority'' kote kwa asili mia 80: 20:
Hii kwake si dhulma wala hana ujasiri wa kuwasemea ndugu zake wa kwao ila hodari kuona dhulma Zanzibar na kutukana.
Sol...
Umeleta nasaha njema kabisa.
Kuna Hadith ya Mtume SAW inayosema kuwa, ''Jambo lolote ukilitia upole litapendeza.''
Kuwa laini katika lugha yako na kalamu yako.
Kuna watu wanajiita Waislam lakini wanawatukana watu na wakiandika wanaandika shari na uongo kueneza fitna.
Afanyae haya na yeye anajiita Muislam akumbuke hadith hii ya Mtume SAW: ''Fitna ni kitu kilicholala amelaaniwa yule anaeiamsha.''
Ndugu yangu kipenzi tuchukue tahadhari tusiutie doa Uislam.
Muislam ni yule ambae nduguze Waislam wamenusirika na mkono wake na kinywa chake.
Naamini umenielewa.
Tusiwe kama wale Waislam wanaoona ''dhulma'' ya utumwa Zanzibar miaka 200 iliyopoita.
Haoni dhulma ya mauaji baada ya mapinduzi mwaka wa 1964..
Haoni dhulma ya Wazanzibari wanaouliwa kila uchaguzi kuanzia 1995 hadi leo.
Wala haoni dhulma iliyoka Tanzania Bara kwa Waislam kufanyiwa hila katika elimu nafasi serikalini, bungeni na kwingi toka uhuru upatikane mwaka wa 1961 tena uhuru waliokuwa mstari wa mbele kwa hali na mali kuupigania.
Leo Waislam wamekuwa ''minority'' kote kwa asili mia 80: 20:
Hii kwake si dhulma wala hana ujasiri wa kuwasemea ndugu zake wa kwao ila hodari kuona dhulma Zanzibar na kutukana.
Una fact za uhakika brother kama msomiMkuu mimi ni Muislam.
Ila kigezo cha wapumbavu wachache kutumia dini kuwanyanyasa watu kisa rangi zao sikubaliani nao na hakuna hadith wala aya ya Quran tukufu inayopongeza hilo
Kama unadhani uislam ni kumwacha Sultan na washenzi wenzie kutawala Zanzibar huku wenyeji wengi waishi kama wako utumwani fikiria tena
Uislam umeweka bayana sheria za kutawala ardhi
Mkuu mimi ni muislamu na silazimiki kujieleza kwanini nimeamua niseme na silazimiki kukuaminisha kivyovyoteKwanini useme "mimi ni muislamu"!!! Kwanini usitoe hoja bila kujiita hivyo!! Na nitaamini vipi kama wewe ni ndugu yangu katika imani? Kuwa serious! Na inavyoonekana unasapoti huo upumbavu na ukatili uliofanywa na ndugu zako. Allah akuongoze mkuu