Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #21
Wanadai jamshíd alikua mtu mwema sana!!Ni washenzi, uvamizi ni kinachoendelea huko Ukraine 🇺🇦
Yale Mapinduzi yalitokea ndani na yalilenga kumkomboa mzanzibari wa kawaida
Hao watu hawana nia njema na amani yetu mkuu
Upo sahii kakaKwa ubaguzi wa wazi unaooneshwa na wazanzibar dhidi ya watanganyika, sitaona ajabu watu kuyaponda hayo mapinduzi.
Ni muhimu kujua mapinduzi sio kuondoa rangi fulani ya watu na kuweka rangi nyingine bali ni mapinduzi ya kifkra...jambo ambalo kwa wazanzibar wa sasa bado sana.
Sidhani kama wana nafasi, maana Zanzibar sasa hivi tuna majority rule wangoje mpangilio wa amani wa kiulimwengu uparanganyike na Bara iiache zanzibar ndio wapate cha kufanya mkuuHivi ajenda yao kuu ni ipi huko mbeleni???
Shida ndo hapo , historia imepindishwa waweke mambo wazi mbona haitaleta shida yeyoteMapinduzi au Mavamizi ?.....historia kuhusu kilichotokea 12/1/1964 inahitaji kuandikwa vizuri...
Mohamed Said JokaKuu Pascal Mayalla Gavana dos.2020
Jamshid my Ass!Wanadai jamshíd alikua mtu mwema sana!!
Hapo nimekuelewa kakaSidhani kama wana nafasi, maana Zanzibar sasa hivi tuna majority rule wangoje mpangilio wa amani wa kiulimwengu uparanganyike na Bara iiache zanzibar ndio wapate cha kufanya mkuu
Mkuu historia haijapindishwa mambo yako straightShida ndo hapo , historia imepindishwa waweke mambo wazi mbona haitaleta shida yeyote
Jamshid my Ass!
Hao watakuwa wenye asili ya arabia hao ambao familia zao zilinufaika na m
Wengi wao wenye hoja hizi wanatokea wanatokea pembaJamshid my Ass!
Hao watakuwa wenye asili ya arabia hao ambao familia zao zilinufaika na mfumo batili wa Jamshid
Historia ya mapinduzi imepindishwa kaka???Shida ndo hapo , historia imepindishwa waweke mambo wazi mbona haitaleta shida yeyote
Ewaa nilijua tu.Wengi wao wenye hoja hizi wanatokea wanatokea pemba
Lakini wengine wabantu kabisa kiasili na kimuonekanoEwaa nilijua tu.
Hao watu wana tabu sana wanatamani hata Waungane na kina Qaboos kwa mara nyingine
Sasa hao utakuta ni Waislam wanaosimuliwa hadithi za uongo hasa zinanasibishwa na familia ya sultan na Uislam, ambao hawana taarifa za kutosha kuhusu tawala za Jamshid au walinufaika in one way or anotherLakini wengine wabantu kabisa kiasili na kimuonekano
Nimekuelewa kakaSasa hao utakuta ni Waislam wanaosikuliwa hadithi za uongo hasa zinanasibishwa na familia ya sultan na Uislam ambao hawana taarifa za kutosha kuhusu tawala za Jamshid au walinufaika in one way or another
Au kwa makusudi wamekoshwa bongo zao
Kwa sasa sidhani kama wamejiOrganize vya kutosha ila kama vuguvugu hili litaendelea tusishangae kuona wanasaini petition kujiunga na Oman mkuuHivi ajenda yao kubwa nyuma ya pazia ni nini?????Na wao kufanya mapinduzi???
Iwe kama comoro na kisiwa cha mayote??????Kwa sasa sidhani kama wamejiOrganize vya kutosha ila kama vuguvugu hili litaendelea tusishangae kuona wanasaini petition kujiunga na Oman mkuu
Naam mkuu, ila kule washenzi waKifaransa waliwahi mchakato ule na Ufaransa wana misuli ya kusimamia kileIwe kama comoro na kisiwa cha mayote??????
Hapo nimekuelewa kakaNaam mkuu, ila kule washenzi waKifaransa waliwahi mchakato ule na Ufaransa wana misuli ya kusimamia kile
Oman sioni kama wana msuli wa kidiplomasia kutetea hili