Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Maana kama wanahalalisha hilo jambo basi hata wangoni waliotokea huko sauzi ilibidi wafukuzwe warudi walipotoka,,,,,kuna matendo yaliyofanyika wakati wa mapinduzi ambayo yaligusa raia tu wa kawaida ambao hata habari na sultan walikua hawana ila tu rangi zao za ngozi zikawahukumu,,,,,ingekua kipindi hiki watu wangesema ni genocide kama Rwanda wahutu na wa tutsi
Naby...
Vitendo vile na kuendeleza mauaji kila uchaguzi ndiyo imeangusha CCM Zanzibar na uchaguzi wa kwanza 1995 ikashindwa uchaguzi.

Hawajaweza hadi leo kujitoa katika shimo hili.

Kilele chake ni pale CCM Zanzibar ilipobidi ifute uchaguzi 2015 ili kujinusuru.
 
Kuna watu hapa afrika mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!!!Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
Utukufu ni sifa ya Mungu peke yake. Mapinduzi tena yanayomwaga damu yanapata wapi sifa ya utukufu? Mashetwani nyie!!!
 
Count...
Mihemko imemchukua zaidi kiasi amepoteza uwezo wa fikra.

Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu.
Ubora ulio juu zaidi ya ubora.

Mauaji na yote yaliyotokea katika mapinduzi si mambo matukufu na hayatakuja kuwa matukufu.

Zanzibar haikupata kuwa na jela za mateso na jela za mauaji katika historia yake.

Sultan hana historia ya kumwaga damu wala kutesa raia.

Hakuna mtu anaeweza kusema ana ndugu alifuatwa nyumbani kwake usiku wa kuchukuliwq na hakuonekana tena.

Haya yote yalikuja baada ya mapinduzi.

Kwa ajili hii historia ya mapinduzi inatakiwa kuangaliwa kwa utulivu wa akili si kwa mihemko na kauli zilizokosa utu.

Huyu ndugu yetu ajiulize imekuwaje leo Zanzibar CCM inashindwa kila uchaguzi katika chaguzi sita walizoshiriki?

Nini maana yake?

Wazanzibari hawana haja ya mapinduzi?

Ndugu yetu ajiulize swali hili.
Mkuu twende sawa, hali ya kiuchumi kwa matabaka yote matatu Zanzibar enzi za sultan ilikuaje?

Kulikuwa na usawa? Ama tabaka fulani lilipendelewa huku jingine lilikandamizwa systematically?
 
Maana kama wanahalalisha hilo jambo basi hata wangoni waliotokea huko sauzi ilibidi wafukuzwe warudi walipotoka,,,,,kuna matendo yaliyofanyika wakati wa mapinduzi ambayo yaligusa raia tu wa kawaida ambao hata habari na sultan walikua hawana ila tu rangi zao za ngozi zikawahukumu,,,,,ingekua kipindi hiki watu wangesema ni genocide kama Rwanda wahutu na wa tutsi
Mkuu state formation kwa upande wa wangoni inaeleweka na kama kungekuwa na makabila yenye nguvu na yalikuwepo na yalijaribu kuwapiga wangoni lakini ikashindikana

Uhalali wa wangoni toka south afrika na kote walikopita mpka kusini kwetu ni kutokana na kushinda kwao mapigano yao, nao walishindwa na wakoloni ambapo baadae wameshindwa na jamhuri ya Tanzania 🇹🇿

Kama litatokea vuguvugu la ngoni nationalism hapa nchini sina shaka tutafanya liwezekanalo ikibidi kuwarudisha walikotoka ila nikutoe waswas hilo halitakaa litokee
 
Utukufu ni sifa ya Mungu peke yake. Mapinduzi tena yanayomwaga damu yanapata wapi sifa ya utukufu? Mashetwani nyie!!!
Utukufu unakuja pale ambapo yalilenga ukombozi wa wenyeji wa nchi husika waliokuwa wakionewa mkuu

Utukufu si lazima ashuke malaiko toka mbingun
 
Count...
Mihemko imemchukua zaidi kiasi amepoteza uwezo wa fikra.

Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu.
Ubora ulio juu zaidi ya ubora.

Mauaji na yote yaliyotokea katika mapinduzi si mambo matukufu na hayatakuja kuwa matukufu.

Zanzibar haikupata kuwa na jela za mateso na jela za mauaji katika historia yake.

Sultan hana historia ya kumwaga damu wala kutesa raia.

Hakuna mtu anaeweza kusema ana ndugu alifuatwa nyumbani kwake usiku wa kuchukuliwq na hakuonekana tena.

Haya yote yalikuja baada ya mapinduzi.

Kwa ajili hii historia ya mapinduzi inatakiwa kuangaliwa kwa utulivu wa akili si kwa mihemko na kauli zilizokosa utu.

Huyu ndugu yetu ajiulize imekuwaje leo Zanzibar CCM inashindwa kila uchaguzi katika chaguzi sita walizoshiriki?

Nini maana yake?

Wazanzibari hawana haja ya mapinduzi?

Ndugu yetu ajiulize swali hili.
Hapo tu anaposema masultani hawana damu katika mikono yao dhidi ya wabantu ndio tunapopishana na kakangu mzee SAID
 
Maana kama wanahalalisha hilo jambo basi hata wangoni waliotokea huko sauzi ilibidi wafukuzwe warudi walipotoka,,,,,kuna matendo yaliyofanyika wakati wa mapinduzi ambayo yaligusa raia tu wa kawaida ambao hata habari na sultan walikua hawana ila tu rangi zao za ngozi zikawahukumu,,,,,ingekua kipindi hiki watu wangesema ni genocide kama Rwanda wahutu na wa tutsi
Waarabu wote zanzbar walikua dhulumat toka vizazi vya kina seyyid said!!!!Wabantu walikuwa vijakazi,watumwa na raia wa adhi ya chini pemba na unguja!!!Kasome kitabu alichoandika binti wa sultan seyidd said na mdogo wake sultan bargash chotara wa kiajemi!!
 
Naby,
Capone haijui historia ya kuja kwa Waomani Zanzibar.

Hawakuivamia Zanzibar.
Wala hapakuwa na hayo asemayo.

Si vyema kujadili kitu usichojua.
Kwahiyo kaka said walowezi wa kiarabu kutoka oman wale wafanyabiashara waliowaita kuwasaidia kuwatoa wareno walikua waarabu na machotara wa wapi????
 
Count...
Mihemko imemchukua zaidi kiasi amepoteza uwezo wa fikra.

Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu.
Ubora ulio juu zaidi ya ubora.

Mauaji na yote yaliyotokea katika mapinduzi si mambo matukufu na hayatakuja kuwa matukufu.

Zanzibar haikupata kuwa na jela za mateso na jela za mauaji katika historia yake.

Sultan hana historia ya kumwaga damu wala kutesa raia.

Hakuna mtu anaeweza kusema ana ndugu alifuatwa nyumbani kwake usiku wa kuchukuliwq na hakuonekana tena.

Haya yote yalikuja baada ya mapinduzi.

Kwa ajili hii historia ya mapinduzi inatakiwa kuangaliwa kwa utulivu wa akili si kwa mihemko na kauli zilizokosa utu.

Huyu ndugu yetu ajiulize imekuwaje leo Zanzibar CCM inashindwa kila uchaguzi katika chaguzi sita walizoshiriki?

Nini maana yake?

Wazanzibari hawana haja ya mapinduzi?

Ndugu yetu ajiulize swali hili.
Tofauti yetu mimi na wewe ni kuwatetea wakoloni na walowezi wa kiarabu kisa tu mna imani sawa ya kidini!!Tuelezee pia mapungufu na dhuluma za watawala wa kislutani kuanzia seyidd said!!!
 
Utukufu ni sifa ya Mungu peke yake. Mapinduzi tena yanayomwaga damu yanapata wapi sifa ya utukufu? Mashetwani nyie!!!
Maslutani wote kuanzia seyid bin said walimwaga damu za babu zetu kwa majambia kuanzia ujiji na tabora na bagamoyo!!!!Nadhani wao ndio walikua mashetwani wa kwanza kabla yetu!!!Au huijui historia ya watawala wa kislutani!!!!
 
Wanadai jamshíd alikua mtu mwema sana!!
Ya nini kufungua thread ya mambo yasiyokuhusur. Au huna la kufanya. Shughulika kuirudisha Tanganyika yenu na kuboresha maisha yenu . Msibaki kulishana ndizi mbichi kwa wizi wa ndizi
 
Kuna watu hapa afrika mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!!!Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
Hii ichiina vijamawegi wahinga ana.mapiduzi ayakuwana budi kitokeyakaa musitakbari endelevi wa taiffa lwtu latazania.awo wanochukiamungano nivijana wajiga
 
Naby...
Vitendo vile na kuendeleza mauaji kila uchaguzi ndiyo imeangusha CCM Zanzibar na uchaguzi wa kwanza 1995 ikashindwa uchaguzi.

Hawajaweza hadi leo kujitoa katika shimo hili.

Kilele chake ni pale CCM Zanzibar ilipobidi ifute uchaguzi 2015 ili kujinusuru.
CCM ni ya wanzbar wote included masalia ya hizbu(CUF)!!!Maalim seif na lipumba waliwadanganya kua mmeshinda hizo chaguzi!!!Hizbu(CUF)hawakushinda hata yeye seif anajua
 
Ya nini kufungua thread ya mambo yasiyokuhusur. Au huna la kufanya. Shughulika kuirudisha Tanganyika yenu na kuboresha maisha yenu . Msibaki kulishana ndizi mbichi kwa wizi wa ndizi
Kaka kwanza salaam afu mimi na mzee said,Capone wanataaluma tunatoa hoja na kuzijibu kitaaluma!!!!!Jazba sio mahali pake hapa
 
Kuna watu hapa afrika mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!!!Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
Wewe mwenyewe tayari umeyabeza kwa kusema yaliongozwa na Mh Okello ilhali CCM hudai yaliongozwa na Karume. Hapo ni wazi historia na ukweli vinayabeza maana yanaripotiwa tofauti kiuongo uongo tu.
 
Kaka kwanza salaam afu mimi na mzee said wanataaluma tunstoa hoja na kuzijibu kitaaluma!!!!!Jazba sio mahali pake hapa
Hakuna cha jaziba , Zanzibar na mavamizi yaitwayo Mapinduzi itakusaidia kupunguza bei ya nyama au maharage?
Au kuondoa ulafi wa viongozi wenu wa CCM wanaolambishana asali?
 
Back
Top Bottom