Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
U ASP wa Vatikani , wacha kujipakaziaKaka am clever than you be wise!!!!Sisi ASP tupo tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U ASP wa Vatikani , wacha kujipakaziaKaka am clever than you be wise!!!!Sisi ASP tupo tofauti
Sehemu mbalimbali Duniani, kasome Historia ya kilwa na biashara zake utapata Historia ya Zanzibar.Asili ya waafrika waliopo zanzbar wametokea wapi?????Omani au sudani?????Nijibu kwanza????
Binti yupi kitabu kipi weka screenshot ama Academic source yoyote hapa mambo ya kasome inaonesha usomi wako uchwara, msomi hujui hata kuweka source.Kaka unawatetea walowezi wa kiarabu najua ila ukweli upo uchi kwa karne nyingi!!!Kasome kitabu cha binti wa seyyid said!!
Wewe si mlowezi watoto wa Mapadri , mnalelewa na makanisa?Kaka unawatetea walowezi wa kiarabu najua ila ukweli upo uchi kwa karne nyingi!!!Kasome kitabu cha binti wa seyyid said!!
usitishe watu wewe, you know nothing na wala hunijui wala hunitishi.Kaka am clever than you be wise!!!!Sisi ASP tupo tofauti
Asp walishindwa Uchaguzi, Hata baada ya kubadili Jina na kuitwa CCM bado wanaendelea kushindwa Uchaguzi, Ingekuwa CCM wanakubalika isingekuwa wanahitaji kina Jecha kujipitisha Serikalini.Sijakuelewa kaka unaweza kunielewesha tena????Maana ASP walikuepo wengi wakati wa mapinduzi matukufu ila walioenda frontline wachache!!!
Tatizo nyinyi watoto wa Mapadri mnakuwa hamna makwenu mwisho mnabambikiziwa uafrika na Zanzibar. Na kila kitu ni UsultaniKaka unawatetea walowezi wa kiarabu najua ila ukweli upo uchi kwa karne nyingi!!!Kasome kitabu cha binti wa seyyid said!!
Kaka zile picha za vibaraka na machotara wa kiarabu ndio unaita watu weusi!!!Hata yule ndugu Qaboos chotara wa kihabeshi unamuita mtu mweusi!!!!Upo serious kweli kaka???Asp walishindwa Uchaguzi, Hata baada ya kubadili Jina na kuitwa CCM bado wanaendelea kushindwa Uchaguzi, Ingekuwa CCM wanakubalika isingekuwa wanahitaji kina Jecha kujipitisha Serikalini.
Kipindi Abushiri anapigana Vita huku kwetu Tanga, jeshi lake lote walikuwa weusi uhusiano baina ya waarabu na weusi ni wa damu wamemwaga damu pamoja na wamelindana pamoja kwa maelfu ya miakaKwahiyo maslutani hawakua walafi na yale mahekalu yao bagamoyo na tanga!!!Na hulka zao za kunyanyasa ngozi nyeus??
Wewe utakuwa mtoto wa walowezi wa Mapadri 😝😝Kaka unawatetea walowezi wa kiarabu najua ila ukweli upo uchi kwa karne nyingi!!!Kasome kitabu cha binti wa seyyid said!!
Kaka nitakutisha vipi mimi muungwana wa ASP na TANU!!!!Nachosema be wise hiyo mitego ya maneno kuhusu Okello hukuanza wewe hata HIZBU walisema hivyo hivyo!!!!!Vijana wa ASP waga hatutegeki kwa maneno kama hayousitishe watu wewe, you know nothing na wala hunijui wala hunitishi.
Stop spouting stupid nonsense! unatapika utumbo kisha unashindwa kuutetea. Which cleverness do you have than me? If at all your were clever you would have come up with a clever analogy about this Okello guy, but you have just come up with lame and stupid or rather lame, foolish and nonsense unclever arguments.
Count...Mkuu twende sawa, hali ya kiuchumi kwa matabaka yote matatu Zanzibar enzi za sultan ilikuaje?
Kulikuwa na usawa? Ama tabaka fulani lilipendelewa huku jingine lilikandamizwa systematically?
Lazima usifie walowezi wa kiarabu kaka sababu wewe ni mazalia ya ukoloni wa kiarabu!!!!Tofauti na sisi ASP mazalia ya ukombozi wa wabantu waache kua vitwana na wajakazi wa waarabu na wazunguKipindi Abushiri anapigana Vita huku kwetu Tanga, jeshi lake lote walikuwa weusi uhusiano baina ya waarabu na weusi ni wa damu wamemwaga damu pamoja na wamelindana pamoja kwa maelfu ya miaka
, waarabu wengi Tanga ni watu wa watu, kwenye Misiba, Harusi, Shida, Raha utawakuta wakishirikiana na Local,
Ingekua waarabu wanawatesa weusi kama unavyodai wewe wasingependwa, Leo mtafute msambaa, Mdigo, Mbondei, Mzigua hana prejudice za Ajabu kwa waarabu, wanaishi pamoja maelfu ya miaka.
Ila mtu anatoka bara huko hajawahi kuishi na mwarabu hata siku moja ila anakuwa "Much know"
Kuhodhi kivipi mzee wangu????Count...
Tanzania Wakristo wanahodhi serikali kwa 80% na 20% ni Waislam.
Unasemaje kuhusu hili.
Huu ni ukandamuzaji systematically?
Kaka unawatetea walowezi wa kiarabu najua ila ukweli upo uchi kwa karne nyingi!!!Kasome kitabu cha binti wa seyyid said!!
Hii mentality ndio inaonesha ujinga wa Mtu mweusi.Kaka zile picha za vibaraka na machotara wa kiarabu ndio unaita watu weusi!!!Hata yule ndugu Qaboos chotara wa kihabeshi unamuita mtu mweusi!!!!Upo serious kweli kaka???
Hili swali zuri sana tungemuuliza mzee karume au mzee diria au mzee abudmaliki kigwa asjid nasif au mzee wetu Babu!!!!Wazee wetu waliomuondoa mlowezi wa kiarabu zanzbar!!!Kipindi Abushiri anapigana Vita huku kwetu Tanga, jeshi lake lote walikuwa weusi uhusiano baina ya waarabu na weusi ni wa damu wamemwaga damu pamoja na wamelindana pamoja kwa maelfu ya miaka
, waarabu wengi Tanga ni watu wa watu, kwenye Misiba, Harusi, Shida, Raha utawakuta wakishirikiana na Local,
Ingekua waarabu wanawatesa weusi kama unavyodai wewe wasingependwa, Leo mtafute msambaa, Mdigo, Mbondei, Mzigua hana prejudice za Ajabu kwa waarabu, wanaishi pamoja maelfu ya miaka.
Ila mtu anatoka bara huko hajawahi kuishi na mwarabu hata siku moja ila anakuwa "Much know"
Again huna hoja, Blah blahLazima usifie walowezi wa kiarabu kaka sababu wewe ni mazalia ya ukoloni wa kiarabu!!!!Tofauti na sisi ASP mazalia ya ukombozi wa wabantu waache kua vitwana na wajakazi wa waarabu na wazungu
Nelson...CCM ni ya wanzbar wote included masalia ya hizbu(CUF)!!!Maalim seif na lipumba waliwadanganya kua mmeshinda hizo chaguzi!!!Hizbu(CUF)hawakushinda hata yeye seif anajua