Mkuu historia haijapindishwa mambo yako straight
WaOman walivamia visiwa vile miaka mingi tu, waliabaka na kuwanyanyasa wazee wetu, waliwadhalilisha na kuwafanya watumwa, waliwaua na kuwatumikisha kama wanyama, waliwapokonya ardhi yenye rutuba, ikafika hatua waafrika tukachoka, wakaja n Compromise ya uhuru wa mchongo mwaka ‘63
Karume, Okello na wazalendo wengine wakaingia kazini kufurusha masalia ya utawala batili na ndio hapo tukapata Zanzibar inayotawaliwa na walio wengi
Mambo yako straight, hao wanakumbuka na kuhusudu nyakati za Jamshid na wenzie ni wale walionufaika na mfumo ule kandamizi.