Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Wewe mwenyewe tayari umeyabeza kwa kusema yaliongozwa na Mh Okello ilhali CCM hudai yaliongozwa na Karume. Hapo ni wazi historia na ukweli vinayabeza maana yanaripotiwa tofauti kiuongo uongo tu.
Sijakuelewa kaka unaweza kunielewesha tena????Maana ASP walikuepo wengi wakati wa mapinduzi matukufu ila walioenda frontline wachache!!!
 
Hakuna cha jaziba , Zanzibar na mavamizi yaitwayo Mapinduzi itakusaidia kupunguza bei ya nyama au maharage?
Au kuondoa ulafi wa viongozi wenu wa CCM wanaolambishana asali?
Kaka jazba huchangia kuleta hoja viza!!!!Vuta pumzi tulia tujadiliane ndugu yangu
 
Wewe mwenyewe tayari umeyabeza kwa kusema yaliongozwa na Mh Okello ilhali CCM hudai yaliongozwa na Karume. Hapo ni wazi historia na ukweli vinayabeza maana yanaripotiwa tofauti kiuongo uongo tu.
Hayo ni maneno yako sio maneno yetu sisi ASP na TANU ndugu Utingo!!
 
Hakuna cha jaziba , Zanzibar na mavamizi yaitwayo Mapinduzi itakusaidia kupunguza bei ya nyama au maharage?
Au kuondoa ulafi wa viongozi wenu wa CCM wanaolambishana asali?
Kwahiyo maslutani hawakua walafi na yale mahekalu yao bagamoyo na tanga!!!Na hulka zao za kunyanyasa ngozi nyeus??
 
Kaka jazba huchangia kuleta hoja viza!!!!Vuta pumzi tulia tujadiliane ndugu yangu
Mbona hujibu hayo maswali ? Umeshikilia jaziba jaziba tu ?
Tuwekee mambo ya kwenu Chato Zanzibar iwacheni ilivyo , hamuli hamnywi , hii ni nchi ya Kiislamu , Jitihada Za kanisa lenu la kuupiga vita uislamu zitagonga mwamba
 
Hakuna cha jaziba , Zanzibar na mavamizi yaitwayo Mapinduzi itakusaidia kupunguza bei ya nyama au maharage?
Au kuondoa ulafi wa viongozi wenu wa CCM wanaolambishana asali?
Au na wewe unapinga mapinduzi matukufu ya 1964 kaka???
 
Mbona hujibu hayo maswali ? Umeshikilia jaziba jaziba tu ?
Tuwekee mambo ya kwenu Chato Zanzibar iwacheni ilivyo , hamalizi hamnywi , hii ni nchi ya Kiislamu , Jitihada Za kanisa lenu la kuupiga vita uislamu zitagonga mwamba
Huna hoja gavana na una uelewa mdogo sana!!!Bora niendelee kujadiliana na kakangu mzee said mohamed!!!
 
Kuna watu hapa afrika mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!!!Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
Jiulize swali moja muhimu kwanini Tanganyika hasa watu wa bara ambao hawajawahi kuishi Zanzibar wala kufika, sio wao hata vizazi vyao baba zao na babu zao hawakujui Zanzibar ila wanajifanya kujua Mapinduzi kuliko Wazanzibari wenyewe?

Kwa nini Wazanzibari wengi wanapinga hayo Mapinduzi? Ukipata jibu utaelewa unachouliza
 
Hayo ni maneno yako sio maneno yetu sisi ASP na TANU ndugu Utingo!!
post yako inasema
Kuna watu hapa afrika mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!!!Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
kusema mapinduzi yaliongozwa na Okello ni maneno yangu au yako?

mimi nimekwambia Historia ya mapinduzi inachanganya kwa sababu wengine kama wewe umepost kuwa yaliongozwa na Okelo, ilhali ccm na historia ya nchi hii kama tulivyokuwa indoctrinated inasema ni Karume, tumwamini nani? ninyi mnaotoa ripoti zisizofanana si ndiyo mnasababisha mapinduzi yabezwe?
 
Mbona hujibu hayo maswali ? Umeshikilia jaziba jaziba tu ?
Tuwekee mambo ya kwenu Chato Zanzibar iwacheni ilivyo , hamalizi hamnywi , hii ni nchi ya Kiislamu , Jitihada Za kanisa lenu la kuupiga vita uislamu zitagonga mwamba
Mtego wako tumeukwepa unataka ututoe nje ya mada mimi na mzee wangu Said mohamedi!!
 
post yako inasema

kusema mapinduzi yaliongozwa na Okello ni maneno yangu au yako?

mimi nimekwambia Historia ya mapinduzi inachanganya kwa sababu wengine kama wewe umepost kuwa yaliongozwa na Okelo, ilhali ccm na historia ya nchi hii kama tulivyokuwa indoctrinated inasema ni Karume, tumwamini nani? ninyi mnaotoa ripoti zisizofanana si ndiyo mnasababisha mapinduzi yabezwe?
Sisi ASP tunajua zaidi na wewe hujui zaidi kuhusu mapinduzi matukufu ndugu yangu!!!Hayo ni maneno yako
 
Mkuu historia haijapindishwa mambo yako straight

WaOman walivamia visiwa vile miaka mingi tu, waliabaka na kuwanyanyasa wazee wetu, waliwadhalilisha na kuwafanya watumwa, waliwaua na kuwatumikisha kama wanyama, waliwapokonya ardhi yenye rutuba, ikafika hatua waafrika tukachoka, wakaja n Compromise ya uhuru wa mchongo mwaka ‘63

Karume, Okello na wazalendo wengine wakaingia kazini kufurusha masalia ya utawala batili na ndio hapo tukapata Zanzibar inayotawaliwa na walio wengi

Mambo yako straight, hao wanakumbuka na kuhusudu nyakati za Jamshid na wenzie ni wale walionufaika na mfumo ule kandamizi.
Niliwahi kuleta picha zA wafalme wa Zanzibar humu, kuna wafalme kibao weusi, na maarufu ni kama Ali Humud,

Utoto wake
images (16).jpg

Ukubwa wake

images (17).jpg
Ali_bin_Hamud_2.jpg

Si huyo tu kuna watu kibao Royal Family ya Zanzibar walikuwa weusi. Ubaguzi wenu huo umeanza 1964
 
Sisi ASP tunajua zaidi na wewe hujui zaidi kuhusu mapinduzi matukufu ndugu yangu!!!Hayo ni maneno yako
mimi habari ya okelo nimeisikia kutoka kwako, inakuwaje iwe maneno yangu? kwa nini unaogopa kivuli chako mwenyewe? au unaogopa ASP wenzako watakuchachamalia umeundermine juhudi za karume?
 
Jiulize swali moja muhimu kwanini Tanganyika hasa watu wa bara ambao hawajawahi kuishi Zanzibar wala kufika, sio wao hata vizazi vyao baba zao na babu zao hawakujui Zanzibar ila wanajifanya kujua Mapinduzi kuliko Wazanzibari wenyewe?

Kwa nini Wazanzibari wengi wanapinga hayo Mapinduzi? Ukipata jibu utaelewa unachouliza
Asili ya waafrika waliopo zanzbar wametokea wapi?????Omani au sudani?????Nijibu kwanza????
 
Back
Top Bottom