[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini nyie walipa kodi muamue leo mbona utawala uliopita ulikuwa "worse" zaidi na hamkuamua? Ila pia mkubaliane kuwa na tunaomuunga mkono Rais samia tupo nae mpaka kieleweke.Hata kama JPM alikuwa hapingwi... (Ingawa alipingwa vya kutosha) labda tuseme alijaribu ku-neutralize Media (Jambo ambalo huyu mama kasema sijui wakifanya nini atawaparura - kwahio huenda penye udhia anapenyeza Rupia)...
Anyway Hata Kama JPM alikuwa hapingwi ukiona mtu badala ya kujibu hoja ya upingaji analeta story kwamba fulani mbona hakupingwa ujue either ana umasikini wa hoja au anadhani two wrongs makes a right....; Kuna tatizo gani kama walipa Kodi kuamua kuanza kutumia Haki yake ya Kupinga Leo !!!!????
Ile awamu ya 5 ilikua na laana.Toka hii serikali iitwe ni awamu ya sita ilikuwa ni dhahiri nia ya kujionesha ni serikali mpya si ile ya JPM. Tanzania awamu zinabadilika kwa uchaguzi tu! Ila propaganda ikashinda na wote tunaimba awamu ya sita!
Kwa yanayoendelea bora walijitenga na awamu ya tano. Shimo walilochimba wanadumbukia kama vipofu [emoji1787]
Kikubwa alichofeli JPM ni kuzuia mikutano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Lakini swala la wapingaji wa serikali kufanyiwa unyama tukisema ziwekwe list bampa to bampa awamu ya tano vs nne utashangaa.Hawa uliowataja ndio hao watu wachache sana waliothubutu kumkosoa Magufuli kwa gharama kubwa. Ila hawa watetezi wa Samia sasa,wanashangaa hata mabubu wa wakati wa Magufuli wanapata wapi uhalali, wakati walikalia kimya uovu wa wazi wa Magufuli?
Kuna Time Limitation ya Uamuzi wa Kufanya the Right Thing...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini nyie walipa kodi muamue leo mbona utawala uliopita ulikuwa "worse" zaidi na hamkuamua? Ila pia mkubaliane kuwa na tunaomuunga mkono Rais samia tupo nae mpaka kieleweke.
Sijasema Magufuli alikubali kukosolewa.Nakubaliana naww kbs kuhusu hao chawa wa mama!! But kuhusu JPM kukubali kukosolewa hilo c kwel ndugu nyani, kwanza CCM hawakuthubu kumkosoa na wapinzani yeyote aliethubutu kumkusoa lazima akubali consequences. Viongoz wa dini waliothubutu kumkosoa walilazimika kuchunguzwa uraia wao!!! Tuwe wakwel tu hakupenda kukosolewa au kusikia asiyopenda!!!
Tatizo ni CCM. Tatizo halikuwa Magufuli.Kikubwa alichofeli JPM ni kuzuia mikutano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Lakini swala la wapingaji wa serikali kufanyiwa unyama tukisema ziwekwe list bampa to bampa awamu ya tano vs nne utashangaa.
Uzuri matukio yote yapo humu JF! Chuma kelele zilizidi sababu aligusa maslahi ya watu wazito ndani na nje ya nchi! Mwenzake JK hakugusa big fish!
Kikubwa alichofeli JPM ni kuzuia mikutano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Lakini swala la wapingaji wa serikali kufanyiwa unyama tukisema ziwekwe list bampa to bampa awamu ya tano vs nne utashangaa.
Uzuri matukio yote yapo humu JF! Chuma kelele zilizidi sababu aligusa maslahi ya watu wazito ndani na nje ya nchi! Mwenzake JK hakugusa big fish!
Mr Tindo mbona kuna wakosoaji wa kipindi cha Magufuli nao kipindi hiki wamekuwa mabubu, The boss Jf,Faizafox, Zito kabwe,January, Nape, Kinana late Membe n.k hii inahashilia kwwmba watu wanapigania mambo binafsi.Hawa uliowataja ndio hao watu wachache sana waliothubutu kumkosoa Magufuli kwa gharama kubwa. Ila hawa watetezi wa Samia sasa,wanashangaa hata mabubu wa wakati wa Magufuli wanapata wapi uhalali, wakati walikalia kimya uovu wa wazi wa Magufuli?
Mkuu Tindo Pata chips dume na mirinda nyeusi hapo kwa mangi!! Umeyakweka vizuri sana. Naona Nyani anataka kutulisha uwongo hapa. Sina nyongeza.Bandiko lako namba moja lina ukweli kwa asilimia kubwa mno, lakini kuna sehemu hauko sawa. Ni hivi, hakuna mwanaccm yoyote alithubutu kumpinga Magufuli. Watu pekee walioweza kumpinga Magufuli ndani na nje ya bunge ni wapinzani, na viongozi wachache sana wa kidini tena wanahesabika. Hawa akina Slaa, Tibaijuka, Shivji nk walikuwa wameufyata, sio kwasababu waliona Magufuli yuko sahihi, ila walitaka waendelee kubaki hai kumsubiri rais mwingine wa kumkosoa, lakini sio Magufuli.
Wakati wa Magufuli hakukuwa na chombo chochote rasmi cha habari kilichothubutu kuandaa press, au mdahalo wa kujadili asichopenda Magufuli. Na baadhi ya online media au baadhi ya media chache zilizothubutu kuruhusu ukosoaji kwa Magufuli, zilifungiwa au kupewa adhabu kali, ikiwemo na kudhalilishwa na ushahidi upo wazi. Hao wanaosema kuwa kipindi cha Magufuli hakukosolewa kwa kiwango kikubwa wako sahihi, japo sio kuwa hakukosolewa kwa kuwa alikuwa sahihi, bali lile kundi lake la watu wasiojulikana lilifanya kazi yake vizuri ya kunyamazisha wakosoaji. Hata Magufuli kuanza kununua wapinzani kwenye ile siasa yake chafu ya kuunga mkono juhudi, ilikuwa ni kupunguza kukosolewa, na funga kazi ilikuwa ni kunajisi uchaguzi wa 2020 ili kuua rasmi ukosoaji kwenye bunge. Mitandao ya kijamii ndio pekee iliyofanikiwa kubaki kumkosoa Magufuli kwa kutumia fake ID bila kuumizwa. Lakini yoyote hasa wapinzani waliomkosoa waliuliwa, kutekwa, kuharibiwa sehemu zao za kuwaingizia vipato, kubambikiwa kesi na ukatili mwingine wa wazi kabisa.
Watu kama nape na ndo huwa wanfananisha mambo yasio na mfanano hata kidogoMfano mtu anakomaa anasema heti bomba la mafuta pia walisaini IGa ,nikamuuliza bomba la mafuta sisi tumewekeza nini ,kwanza bomba la mafuta mbona hakuna mfanano na bandari, ndio maana Uganda alikua anaweza kuamua kupitisha popote Kenya au Tanzania
Sijasema Magufuli alikubali kukosolewa.
Nimesema naye alipingwa na kukosolewa na watu wengi tu.
Membe hakumpinga Magufuli?
Yule padri wa Kilutheri hakuwa anampinga Magufuli?
Magufuli naye alipingwa na wengi tu.
✔️Uko sahihi kabisa, hawa wanaosema kuwa Magufuli hakukosolewa kwa sehemu kubwa wako sahihi. Tatizo ninaloliona kwao ni kumtumia mtu muovu kama sehemu ya kipimo cha mtu wao. Yaani kama wanajitambua ni bora watafute njia nyingine ya kumtetea mtu wao, na sio hicho kipimo cha yule mtu muovu.
Magufuli alikuwa ni kichaa mwenye rungu. Ukimkosoa tu hasa kwenye Face Book utatafutwa mpaka wakukamate. Wakikukamata huku kuna watu hadharani itaishia kufunguliwa mashtaka ya kutakatisha fedha kama Eric Kabendera au Tito Magoti.Nakubaliana naww kbs kuhusu hao chawa wa mama!! But kuhusu JPM kukubali kukosolewa hilo c kwel ndugu nyani, kwanza CCM hawakuthubu kumkosoa na wapinzani yeyote aliethubutu kumkusoa lazima akubali consequences. Viongoz wa dini waliothubutu kumkosoa walilazimika kuchunguzwa uraia wao!!! Tuwe wakwel tu hakupenda kukosolewa au kusikia asiyopenda!!!
Aisee 🤔Magufuli alikuwa ni kichaa mwenye rungu. Ukimkosoa tu hasa kwenye Face Book utatafutwa mpaka wakukamate. Wakikukamata huku kuna watu hadharani itaishia kufunguliwa mashtaka ya kutakatisha fedha kama Eric Kabendera au Tito Magoti.
Wakikukamata bila mtu kukuona watakuua na kukuweka kwenye viroba kisha kukutupa baharini.
Hata mama Samia akiuza bandari najua ni suala la muda, akitoka madarakani tinairudisha. Lakini yule kichaa aliyekuwa anaua, akiua akina Ben Saanane au Azory huwezi kuwarudishia uhai
Tatizo ni CCM sio Magufuli! Ndio maana hilo dude lina survive kila awamu maana linatupa Rais na kujenga upinzani wenyewe. Ndio maana nimesema walipo change awamu 5 kuwa 6 wengi walifurahi utafikiri chama kipya kimeingia! Sasa wote wanamgeuka baada ya kugundua ni mvinyo ile ile kwenye Kiriba?Sio kuzuia tu mikutano ya kisiasa, bali ni kuua demokrasia nchini kwetu kwa ujumla wake, ikiwemo hata ndani ya chama chake cha mapinduzi. Kuua uhuru wa vyombo vya habari, kubwa kuliko yote ilikuwa ni kufubuza jumla mihimili yaani bunge na mahakama, na ameacha Mihimili hiyo ikiwa dhaifu mno, kiasi kwamba inatakiwa mabadiliko ya dhati kurejesha nguvu halisi ya mihimili hiyo.
Ni kweli Magufuli alikuta mifumo ikiwa na udhaifu, lakini yeye ndio aliweka bayana udhaifu wa mifumo hiyo, na akaonyesha wazi udhaifu wa mifumo yetu, na madaraka makubwa yasiyo na tija kwa rais. Kama ni kuweka hiyo bampa tu bampa ya mauaji ya watu awamu ya 4 vs 5 itakubidi urudi hadi ya kwanza.
Narudia tena, kama kilio cha madai ya katiba mpya, na kutazamwa upya kwa mipaka ya madaraka ya urais, basi kilio hicho kilionekana wazi wakati wa utawala wa Magufuli. Pale ndio kila mmoja alijua ni kwa kiwango gani madaraka ya cheo cha urais kwa mujibu wa katiba yetu ni ya hatari. Siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi mchana kweupe huko Arusha, mbele ya CDF tena akiwa anatabasamu, huku jeshi likiwa limetengwa kabisa na siasa, ndio nilijua katiba yetu ni takataka.
Wewe Nyani ndiyo mwongo kwa kuwa una uwezo wa kula mahindi mabichi na kunya.Nimeona ona humu JF baadhi ya watu wanadai kuwa eti kipindi cha Rais Magufuli watu ambao hivi sasa wanamkosoa Rais Samia, hawakuthubutu kumpinga hadharani kama ambavyo wanampinga huyu mama yao.
Hilo si kweli. Rais Magufuli alipingwa sana na watu. Tena watu wa kada zote.
Kudai kuwa hawa wanaomkosoa Samia hivi sasa enzi za Magufuli walikuwa kimya, huko ni kulazimisha uongo na ni kujisahaulisha kiumakusudi tu.
Magufuli alipingwa na CCM wenzake na alipingwa hata na wabeba maboksi maskini kama mimi na ushahidi upo [risiti zipo].
Kwa mfuatiliaji yeyote yule aliye makini na ambaye hasukumwi wala kuendeshwa na hisia, ukweli huo ni dhahiri kabisa.
Sasa hawa wajulikanao kama ‘chawa wa mama’ [weirdos] ni watu ambao hawatumii akili katika majadiliano yoyote yale yamhusuyo huyo mama yao.
Wao ni hisia tu kwa kwenda mbele. Huwezi kufanya nao majadiliano yoyote yale yaliyo ya maana.
Kwao kila kitu ni ‘whataboutism’ [sijui Kiswahili chake] tu.
Hawana kabisa hoja. Na hawawezi kabisa kujenga hoja.
Ukihoji chochote kuhusu Samia, wao jibu lao ni ‘what about Magufuli’.
No one is above criticism and no one is below praise.
And anybody can get it. That includes Samia as well.
Just suck it up, buttercups.
Zitto Alienda mbali hadi hadi tukanyimwa mkopoSijasema Magufuli alikubali kukosolewa.
Nimesema naye alipingwa na kukosolewa na watu wengi tu.
Membe hakumpinga Magufuli?
Yule padri wa Kilutheri hakuwa anampinga Magufuli?
Magufuli naye alipingwa na wengi tu.