Wanaodai Rais Magufuli hakuwa anapingwa ni waongo wakubwa

Wanaodai Rais Magufuli hakuwa anapingwa ni waongo wakubwa

Wewe Nyani ndiyo mwongo kwa kuwa una uwezo wa kula mahindi mabichi na kunya.

Waliompinga Magufuli hadharani walikipata cha moto. Kuna waliouliwa kama Ben Sanane, Azory na wale wa kwenye viroba baharini.

Kuna waliopigwa risasi na kujeruhiwa kama Tundu Lissu. Kuna waliohojiwa uraia kama Askofu Niiwemugizi na kuna walifunguliwa mashataka ya kutakatisha fedha kama Tito Magoti na Eric Kabedera.

Sisi wa humu JF tulimkosoa kwa fake ID kwa hisani ya Maxence Melo na tunajuwa ilimcost sana huyu protector wetu. Waliomkosoa Facebook walikuwa wanasakwa na kuuawa au kushtakiwa kwa sheria mbaya.
Nasikia kuna mfanyabiashara amekamTwa kwa kusema serekali hii inakopa ovyo.

Nasikia kuna spika aliwekewa mtuu baada kusema serikali inakopa ovyo.

Nasikia kuna mchora katuni Rotters anashikiliwa kusikojulikana toka mwaka jana baada ya kutuni yake ya mama anaharibu nchi
Kuna msanii kule Geita amehukumiwa miaka 6 gerezan kwa kuikosoa serikali ya awamu ya 6.

Nasikia polepole aliondolewa bungeni na kuondolewa nchini baada ya ukosoaji wake mkali juu ya suala la machinga. Pia nasika machinga wamerudi sehemu zao.
Mbatia baada ya kukosoa sakata la Kumuondoa ndugai Bungeni chama chake kikapokwa na serikali ya awamu 6

Nasikia Jaji mkuu kaongezewa mda na wamu ya 6 kinyume cha katiba.
Vip walioandamana kupinga bandar?

Kuna ripoti ya mto Mara , watu waliathirika sana pamoja na mifugo ya vp RESPONSE ya awamu ya sita

Adolf Mkenda si aliitwa nosense alipokuwa waziri wa viwanda na biashara mbele ya ugeni wa raisi wa uganda.
Wezi wa ripoti ya CAG waliitwaje na malikia na bado wapo wanadunda.

Wanasheria Kule Arusha waliambiwa zitatumia sheria za ndani KUWA-BAR na malikia
 
Mr Tindo mbona kuna wakosoaji wa kipindi cha Magufuli nao kipindi hiki wamekuwa mabubu, The boss Jf,Faizafox, Zito kabwe,January, Nape, Kinana late Membe n.k hii inahashilia kwwmba watu wanapigania mambo binafsi.
Siongelei hawa wanaotumia fake I'd huku mitandaoni maana hatuwajui, na wala hatuna uhakika na maslahi yao. Nape, January, Kinana hawajawahi kumkosoa Magufuli kwa uwazi, hao walikuwa wapiga Majungu, wangalau Zito ndio anayefahamika. Ila Zito inaeleweka kuwa chama chake waasisi wake ni akina JK, Membe nk, na hao ni wafaidika wa utawala huu. Hivyo usitegemee Zito akosoe chochote, bila kusahau chembe chembe cha Udini ambazo ziko nyuma ya Zito.
 
1. Dr.Slaa alipinga lini?
2. Prof.Shivji alipinga lini?
3. Polepole alipinga lini?
4. Kadinali Pengo alipinga lini?.

N.k............... walipinga lini?.
Cardinal Pengo alikuwa Chawa Promax wa Magufuli. Dr Slaa yeye alikuwa mnufaika wa ubalozi kutoka kwa Magufuli. Polepole alikuwa ndiye tarumbeta ya Magufuli.

Shivji aliogopa kabisa, hakuwahi kufungua mdomo wake
 
Hawa chawa wa mama [weirdos] wanaumia sana mama yao anapopingwa!

Kama hawataki apingwe, waende wakamwambie aache urais arudi zake kwao huko Unguja.

Kwahiyo una maanisha hawa wanakosea au Hawana kumbukumbu?
FaizaFoxy @Bigshow The Boss
hawa wote hawajui wanachokiongea?? Maana yake hawa wanasema Magu alikuwa hapingwi watu wameanza Tuu kumpinga Mama[emoji12]
 
Chawa wana compare Apple with an Onion 🤣 very different species!
 
Kwahiyo una maanisha hawa wanakosea au Hawana kumbukumbu?
FaizaFoxy @Bigshow The Boss
hawa wote hawajui wanachokiongea?? Maana yake hawa wanasema Magu alikuwa hapingwi watu wameanza Tuu kumpinga Mama[emoji12]
Hao ni wapumbavu tu.

Wanasukumwa na udini.

They’re nothing but shills for Samia.

Sane people shouldn’t even take them seriously.
 
Kwahiyo una maanisha hawa wanakosea au Hawana kumbukumbu?
FaizaFoxy @Bigshow The Boss
hawa wote hawajui wanachokiongea?? Maana yake hawa wanasema Magu alikuwa hapingwi watu wameanza Tuu kumpinga Mama[emoji12]
Mbona mara nyingi sana nimesema humu watu wote waliokuwa wanamkosoa Magufuli Wana haki ya kumkosoa Samia??

Ambao wanaepaswa kukaa kimya ni wale ambao hawakumkosoa Magufuli kabisa hata watu walipopigwa risasi

Mwanakijiji
Dr Slaa
Pengo
Tibaijuka..
Na wengine kundi hilo...

Otherwise yeyote Yule kama kina Bagonza na Lissu na wengine wote ...haki ya kumkosoa Samia wasizuiwe...
 
Tatizo ni CCM sio Magufuli! Ndio maana hilo dude lina survive kila awamu maana linatupa Rais na kujenga upinzani wenyewe. Ndio maana nimesema walipo change awamu 5 kuwa 6 wengi walifurahi utafikiri chama kipya kimeingia! Sasa wote wanamgeuka baada ya kugundua ni mvinyo ile ile kwenye Kiriba?

Ccm ina nafasi ndogo sana kwenye hili, japo CCM huwa wanajifanya kujitutumua kuwa wana uwezo nalo. Ukweli ni kuwa tatizo liko kwenye katiba yetu hasa kwenye madaraka ya urais. Ni kweli CCM wana nafasi tu ya kumchagua mgombea urais, lakini hawana uwezo wowote wa kumdhibiti, labda awe rais muungwana mwenye soni.

Na kosa kubwa walilofanya ccm ni kumpa mtu anayekuwa rais kupitia chama chao kuwa mwenyekiti. Ni kikao gani kitaendeshwa na CCM kama chama bila mwenyekiti wake kujua ajenda? Na hakuna namna ccm itaacha kumpa uenyekiti mtu mwenye cheo cha urais kupitia chama chao, maana uhai wa CCM uko kwenye madaraka ya cheo cha urais. Na siku ccm itakosea ikatenga cheo cha urais na uenyekiti, huo ndio utakuwa mwisho wa CCM. Na uzuri ukweli huu wanaccm wote wanaujua.

Watu hatukufurahi kwa Kupata rais mwingine kwa maana ya ubora, bali ni kuondokana na yule kiongozi muovu. Ni sawa na kama unaishi kwa kunywa uji usio na sukari, hiyo haimaanishi kuwa siku ukinywa uji wenye sukari ndio utakuwa umekula chakula bora.
 
Nimeona ona humu JF baadhi ya watu wanadai kuwa eti kipindi cha Rais Magufuli watu ambao hivi sasa wanamkosoa Rais Samia, hawakuthubutu kumpinga hadharani kama ambavyo wanampinga huyu mama yao.

Hilo si kweli. Rais Magufuli alipingwa sana na watu. Tena watu wa kada zote.

Kudai kuwa hawa wanaomkosoa Samia hivi sasa enzi za Magufuli walikuwa kimya, huko ni kulazimisha uongo na ni kujisahaulisha kiumakusudi tu.

Magufuli alipingwa na CCM wenzake na alipingwa hata na wabeba maboksi maskini kama mimi na ushahidi upo [risiti zipo].

Kwa mfuatiliaji yeyote yule aliye makini na ambaye hasukumwi wala kuendeshwa na hisia, ukweli huo ni dhahiri kabisa.

Sasa hawa wajulikanao kama ‘chawa wa mama’ [weirdos] ni watu ambao hawatumii akili katika majadiliano yoyote yale yamhusuyo huyo mama yao.

Wao ni hisia tu kwa kwenda mbele. Huwezi kufanya nao majadiliano yoyote yale yaliyo ya maana.

Kwao kila kitu ni ‘whataboutism’ [sijui Kiswahili chake] tu.

Hawana kabisa hoja. Na hawawezi kabisa kujenga hoja.

Ukihoji chochote kuhusu Samia, wao jibu lao ni ‘what about Magufuli’.

No one is above criticism and no one is below praise.

And anybody can get it. That includes Samia as well.

Just suck it up, buttercups.
Kweli
 
Nimeona ona humu JF baadhi ya watu wanadai kuwa eti kipindi cha Rais Magufuli watu ambao hivi sasa wanamkosoa Rais Samia, hawakuthubutu kumpinga hadharani kama ambavyo wanampinga huyu mama yao.

Hilo si kweli. Rais Magufuli alipingwa sana na watu. Tena watu wa kada zote.

Kudai kuwa hawa wanaomkosoa Samia hivi sasa enzi za Magufuli walikuwa kimya, huko ni kulazimisha uongo na ni kujisahaulisha kiumakusudi tu.

Magufuli alipingwa na CCM wenzake na alipingwa hata na wabeba maboksi maskini kama mimi na ushahidi upo [risiti zipo].

Kwa mfuatiliaji yeyote yule aliye makini na ambaye hasukumwi wala kuendeshwa na hisia, ukweli huo ni dhahiri kabisa.

Sasa hawa wajulikanao kama ‘chawa wa mama’ [weirdos] ni watu ambao hawatumii akili katika majadiliano yoyote yale yamhusuyo huyo mama yao.

Wao ni hisia tu kwa kwenda mbele. Huwezi kufanya nao majadiliano yoyote yale yaliyo ya maana.

Kwao kila kitu ni ‘whataboutism’ [sijui Kiswahili chake] tu.

Hawana kabisa hoja. Na hawawezi kabisa kujenga hoja.

Ukihoji chochote kuhusu Samia, wao jibu lao ni ‘what about Magufuli’.

No one is above criticism and no one is below praise.

And anybody can get it. That includes Samia as well.

Just suck it up, buttercups.
Hakuna asiyepingwa mzee.., hizo ni hisia zako tu. Alipingwa Jembe Mwamal Gaddafi sembuse hawa wenye njaa
 
Hawa chawa wa mama [weirdos] wanaumia sana mama yao anapopingwa!

Kama hawataki apingwe, waende wakamwambie aache urais arudi zake kwao huko Unguja.
Kabisa. Akienda kukaa Unguja hakuna ambaye atamtafuta kumkosoa kwa kuishia na mumewe. Yaani wanaona kumkosoa Magufuli ni sawa. Ila kumkosoa Samia si sawa. Hapo inakuwa udini. Ila Magufuli anafaa kutukanwa kila namna. Hawa watu unaweza ukafikiria wanatumia nini kufikiri.
 
Bandiko lako namba moja lina ukweli kwa asilimia kubwa mno, lakini kuna sehemu hauko sawa. Ni hivi, hakuna mwanaccm yoyote alithubutu kumpinga Magufuli. Watu pekee walioweza kumpinga Magufuli ndani na nje ya bunge ni wapinzani, na viongozi wachache sana wa kidini tena wanahesabika. Hawa akina Slaa, Tibaijuka, Shivji nk walikuwa wameufyata, sio kwasababu waliona Magufuli yuko sahihi, ila walitaka waendelee kubaki hai kumsubiri rais mwingine wa kumkosoa, lakini sio Magufuli.

Wakati wa Magufuli hakukuwa na chombo chochote rasmi cha habari kilichothubutu kuandaa press, au mdahalo wa kujadili asichopenda Magufuli. Na baadhi ya online media au baadhi ya media chache zilizothubutu kuruhusu ukosoaji kwa Magufuli, zilifungiwa au kupewa adhabu kali, ikiwemo na kudhalilishwa na ushahidi upo wazi. Hao wanaosema kuwa kipindi cha Magufuli hakukosolewa kwa kiwango kikubwa wako sahihi, japo sio kuwa hakukosolewa kwa kuwa alikuwa sahihi, bali lile kundi lake la watu wasiojulikana lilifanya kazi yake vizuri ya kunyamazisha wakosoaji. Hata Magufuli kuanza kununua wapinzani kwenye ile siasa yake chafu ya kuunga mkono juhudi, ilikuwa ni kupunguza kukosolewa, na funga kazi ilikuwa ni kunajisi uchaguzi wa 2020 ili kuua rasmi ukosoaji kwenye bunge. Mitandao ya kijamii ndio pekee iliyofanikiwa kubaki kumkosoa Magufuli kwa kutumia fake ID bila kuumizwa. Lakini yoyote hasa wapinzani waliomkosoa waliuliwa, kutekwa, kuharibiwa sehemu zao za kuwaingizia vipato, kubambikiwa kesi na ukatili mwingine wa wazi kabisa.

Walio mkosoa Mzee Baba wengine mpaka leo hatujui walipo, mfano Saanane na kama Taifa tumeisha sahau hili na kuna familia hawajui mpendwa wao mpaka sasa yupo wapi

Alikosolewa lkn hakuwa mvumilivu na kuna muda zilitumika njia za porini, kama kilichotokea kwa Lissu
 
Nimeona ona humu JF baadhi ya watu wanadai kuwa eti kipindi cha Rais Magufuli watu ambao hivi sasa wanamkosoa Rais Samia, hawakuthubutu kumpinga hadharani kama ambavyo wanampinga huyu mama yao.

Hilo si kweli. Rais Magufuli alipingwa sana na watu. Tena watu wa kada zote.

Kudai kuwa hawa wanaomkosoa Samia hivi sasa enzi za Magufuli walikuwa kimya, huko ni kulazimisha uongo na ni kujisahaulisha kiumakusudi tu.

Magufuli alipingwa na CCM wenzake na alipingwa hata na wabeba maboksi maskini kama mimi na ushahidi upo [risiti zipo].

Kwa mfuatiliaji yeyote yule aliye makini na ambaye hasukumwi wala kuendeshwa na hisia, ukweli huo ni dhahiri kabisa.

Sasa hawa wajulikanao kama ‘chawa wa mama’ [weirdos] ni watu ambao hawatumii akili katika majadiliano yoyote yale yamhusuyo huyo mama yao.

Wao ni hisia tu kwa kwenda mbele. Huwezi kufanya nao majadiliano yoyote yale yaliyo ya maana.

Kwao kila kitu ni ‘whataboutism’ [sijui Kiswahili chake] tu.

Hawana kabisa hoja. Na hawawezi kabisa kujenga hoja.

Ukihoji chochote kuhusu Samia, wao jibu lao ni ‘what about Magufuli’.

No one is above criticism and no one is below praise.

And anybody can get it. That includes Samia as well.

Just suck it up, buttercups.

Kilicho mkuta Ben na hata Lissu ilikuwa ni somo tosha ni mtu gani akikosolewa, wote wanakosolewa na haina shida maana kazi yao lazima wakosolewe , lkn uvumilivu baada ya kukosolewa/maoni tofauti ndo yanawatofautisha mkuu
 
Tatizo ni katiba yetu

Anayesema Magufuli hakupingwa ni mwongo,Mimi ni mwana ccm niliyekuwa na neutralize hoja nyingi sana za kumuhusu JPM

JPM tulimtetea kwenye tangible asset yanayohusiana na construction tu,

Kwenye suala la CAG Assad mimi pia nilimpinga live JPM

Masuala ya kukanyaga katiba tulimpinga live JPM

Mwenyekiti wa chama cha siasa ndie Rais wa nchi halafu yupo juu ya katiba

Wanaotakiwa kumsimamia Bunge na Mahakama ndio hao wanaomba pesa kwake za matumizi na wengine anawateua kwenye nafasi za uwaziri mkuu na wengine majaji

Tatizo wanaompinga Samia hawana hoja za msingi bali ni kelele za uzanzibar,utanganyika na udini tu

Na wale wanaomtetea pia sijaona hoja zao za msingi

Issue Tanzania hatuna mifumo/Institutional imara inayoweza kujisimamia,Mifumo yetu ni teua na tengua na nguvu hii ya teua na tengua anayo mtu mmoja
Kumpinga Samia hakuhusiani na udini kabisa.

Kwamba udini umeibuka kwenye bandari tu, sio?

Samia sifa ya kua hata balozi wa nyumba 10 hana, ajabu ni rais wa nchi. Hivi si vituko.

Naamini malaika huko mbinguni wakitaka kuweka channel ya vichekesho wanabonyeza Tanzania.
 
Back
Top Bottom