Uchaguzi 2020 Wanaodhani ACT-Wazalendo na CHADEMA kushindwa kusimamisha mgombea mmoja ni uchu wa madaraka mnakosea, ni mbinu sahihi kuwabana NEC na CCM

Hao sio wahuni kama CCM
 
Kuna logic! Kama wana nia ya kuungana, ni matter ya mmoja kujitoa mwishoni if all two will be certified! , this also can work effectively!
Nikuulize, hivi Britanicca wa Twitter ndio wwe?
ukijitoa NEC wanasema karatasi za kura zilishachapwa, so jina lako litarudi😀😀 na watu watakupigia kura.
 
Huenda uko sahihi, je ikitokea wote wameidhinishwa na Nec kugombea Urais je mtahamia kwa nani? na kwanini?
eti ndo wataamini ccm inaogopaaaaa.

stupid kweli kweli...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Ya jimbo la Kibamba
 
Kuna logic! Kama wana nia ya kuungana, ni matter ya mmoja kujitoa mwishoni if all two will be certified! , this also can work effectively!
Nikuulize, hivi Britanicca wa Twitter ndio wwe?
Kujitoa wakati majina yamepitishwa kuna athari zake,maana majina yote yatatokea kwenye karatasi ya kura,na hivyo hata akijitoa kura zitagawanyika.
 
Kuna logic! Kama wana nia ya kuungana, ni matter ya mmoja kujitoa mwishoni if all two will be certified! , this also can work effectively!
Nikuulize, hivi Britanicca wa Twitter ndio wwe?
Ni yeye
Huoni hata content zao zinaendana.
 
Kujitoa wakati majina yamepitishwa kuna athari zake,maana majina yote yatatokea kwenye karatasi ya kura,na hivyo hata akijitoa kura zitagawanyika.
OK, nakupata vema sana. Hoja yako ina nguvu...labda kwa vile watanzania tuna nuts zimelegea. Mtu atashindwa kujua kuwa yule kajitoa ili upinzani upate nguvu...... level of understanding ya watu wetu ni tatizo
 
Mawazo yako yanaanza na kuenguliwa, halafu unaita wengine wavivu wa kufikiri

Kama.una adui mkubwa nafsini kwako, ni kuona kila.fikra zako ziko deep kuliko za wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…