Uchaguzi 2020 Wanaodhani Rais Magufuli hatashinda kihalali wanajidanganya

Uchaguzi 2020 Wanaodhani Rais Magufuli hatashinda kihalali wanajidanganya

Tatizo ni kwamba uhalali wa "ushindi" wake haupo. Proof ni behavior na matendo ya serekali anayo iongoza.
 
Ruhusuni free and fair politics kisha box ndo liamue.
Msiwabanie wenzenu wakati mnasema mnakubalika.
Wacha wananchi wawapime kwa hoja huku kila chama kikipewa Uhuru sawa wa kufanya kazi yake ya kushawishi.
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
 
Baada ya Dk Mollel kutaka kuweka hadharani mbinu zote ambazo chadema walipanga kumshambulia Lisu ili kumzuia asigombee uenyekiti wa chama naona Mbowe anajihami kwa kutuletea igizo la kushambuliwa!!!
Akili za Kuku...
 
Kwani katiba inampa miaka mingapi si 5 tu?Kama muda haumtoshi aachie amefeli.Kwani wewe unaitwa nani weka namba ya simu hapa sio pm nikutajie [emoji1][emoji1][emoji1]
Ulitaka afanye yote kwa miaka 5? Unalipa kodi kiasi gani?
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
Nakubaliana na wewe kwa hoja zako, wengine watasema ni majukumu ya serikali ni kweli but serikali imekuwepo miaka yote mbona ilikuwa vigumu kupata vyote hivi? Tunatakiwa kukubali kuwa kuna wakati tulipoteza mwelekeo kama taifa but kwa sasa mwelekeo upo na ni mwelekeo sahihi. Binafsi natamani angeongezewa miaka 10 mingine baada ya term ya pili kuisha.
HII NCHI WENGI TUNAJIJUA NA TUNAYAISHI HAYA MAISHA YA KUTOWAJIBIKA HATA KTK NGAZI YA MTU BINAFSI SO KUPATA MTU ANAYEWEZA KUSIMAMIA UWAJIBIKAJI KWA KIWANGO KIKUBWA HIVI NI LULU KWA TAIFA NA KWA MANUFAA YA VIZAZI VIJAVYO.
 
Katika Tanzania ya leo, naweza kuwa na shaka na kupata oxygen kwa maisha yangu ya kila sike lakini katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020. KITU PEKEE AMBACHO NINA UHAKIKA KITATOKEA KWA MWAKA HUU NI KUSHINDWA VIBAYA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2020 KWA VYAMA VYA UPINZANI.
 
Sina chama.Naona vyama vya upinzani ni mamluki wa ccm jioni wanakunywa kahawa wanatuteta jinsi gani watakavyotulaghai wananchi.
Acha bangi za Chadema mkuu.
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
Na uwezo huwo wakushinda kihalali hana na hatakuwa nao.
 
Ukweli ni kua hakuna MKULIMA, MFANYAKAZI, MFANYABIASHARA AU MWANAFUNZI anayeweza kumpigia kura magufuli au ccm....
CHADEMA NI CHAMA CHA MIOYO YA WATU WAKATI ccm ni chama cha mioyo ya polisi na tume ya uchaguzi
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
Bro umeongea points Sana

Ila kumbuka Sana hii ni Africa hata ujitahidi kuwafanyia wa Africa kitu kizuri vp usitegemee watakusema kwa mazuri

Mfano tu Gaddafi alivyokuwa akiwajali wananchi wake na kuwapa al most huduma zote muhimu lakini tizama wameishia kumfanya nini tena kwa madharau, sasa hivi wanajuta


Sasa wewe utaongea mpaka utachoka lakini hakuna mtu atakuelewa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa mtu anaposema hamjaonavununuzi wa hiki mara ujenzi wa hiki na kile. Kwani mlimchagua afanye nini labda?

Tunapoebda kwenye uchaguzi na kuamua kumchagua kiongazi flani wewe unategemea afanye nini?

Mbona waliomtangulia wamefanya makubwa tu lakini muda wao ulipoisha waliondoka?


Kama mnataka utamaduni huu basi tuanze kuchagua maraisi wenye pesa. Wafanye maendeleo kwa pesa zao alafu tuwasifie na anayefanya vizuri tumruhusu atawale mpaka atakavyochoka.
Tundu lissu tangu aanze kuwa Mbunge wa jimbo lake kafanya nini hasa cha maana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
Umenena vema kanisa!! Mnyonge mnyongen lakin haki yake mpeni! Viva Raid wetu umetutoa tunaheshimika. N gumzo Afrika na Dunia nzima inaposikika raid Magufuli ! Korona had inaijua tz kuliko ilikotoka maana haijaungwa mkon ikatimka nna kutokomea mbali
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
Mbali na hayo aliyoyatekeleza, aliahidi sh. 50M kila kijiji. Mimi zamu ya kijiji chetu bado haijafika huku
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.
Wewe unaweza ukawa chizi, kwahiyo wewe ndio umepewa kazi ya kuitisha kura ya maoni?
 
Kuna wakati nasoma baadhi ya nyuzi natambua 100% zimeandikwa na watu wakiwa na nia ya kudhihaki upinzani au akili zao huenda zina hitilafu.

Naamini hata wewe unajua hakuna mtu anayekubalika kwa wananchi kama Mh Magufuli; narudia hayupo. Nimekutana na watu mbalimbali sehemu mbalimbali na kila unayemgusia kuhusu utendaji wa JPM atakwambia kama ingewezekana tumwongeze miaka hata 20.

Hivi tunajifanya hatujaona ununuzi wa ndege ambazo kwa miaka mingi wapinzani wameitukana nchi kwa kukosa ndege hata moja? Sasa mwamba kanunua ndege 8 kwa cash na ni ndani ya miaka 5 kweli hatujaona?

Tembea nchi nzima uone miradi ya barabara inavyokwenda kwa kasi, hivi kweli tunajifanya hatujaona mpaka tunathubutu kusema JPM hajafanya kitu?

Wakazi wa Dar hivi mfugale Bridge, Ubungo Interchange havina msaada kwenu? Vipi barabara za mitaa nazo hamzitaki? Au zimejengwa na Lissu?

Miradi ya umeme kule kijijini kwenu kupitia REA nayo hamwoni? Miradi ya maji je? Kwanini hamna shukrani?

Huduma za afya mnazionaje? Hamwoni vituo vipya vya afya vilivyo jengwa nchi nzima? Hospitali zilizo jengwa na zilizo boreshwa nazo hamjaona? Vifaa vyakisasa kwenye hospitali hamjaona?

Mara ya mwisho kutembelea bandari za Dar, Tanga na Mtwara mmeona tofauti gani? Ni kweli Mh Rais hajafanya kitu? Viwanja vya ndege je? Vipi kuhusu ununuzi wa rada nalo hamjaona?

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa pamoja na mradi wa bwawa la kuzalisha umeme nayo hamjaona? Sio miaka 20 ni ndani ya miaka 5 tu.

Maboresho ya jiji la Dodoma pamoja na ikulu ya Chamwino pia hamjaona? Nikweli JPM hajafanya chochote?

Uhuru wa kujieleza mnaoutaka ni upi? Maana mnamtukana mitandaoni, mna kejeli kwa hisani ya mabeberu na mko huru tu, hivi mmewahi kusikia au kushuhudia uwepo wa watu kama Zitto, Fatma Karume, Maria Sarungi nk ktk serikali za China na North Korea? Unasemaje Tanzania hakuna uhuru?

Hamjaona ujenzi wa meli mpya kule Victoria? Yale si maendeleo? Au hamjaona? Mnasikia tena habari za ufisadi? Nikweli mioyo yenu haiwasuti?

Yapo mengi sana aliyoyafanya JPM ndani ya muda mfupi alio kaa madarakani, kama wewe ni mnafiki unaweza sema hakuna kilicho fanyika lakini kama una akili unajua tu mwaka huu wapinzani wanaambulia patupu.

Mh Magufuli huna hata haja ya kupiga kampeni, mwaka huu ushindi ni wakishindo maana unakubalika sana. Ziara zako ni ushahidi tosha wa jinsi tunavyo kukubali.

Nawasilisha.

Hayo uliyoandika hapa weupe wa Afrika kusini waliyafanya miaka mingi nyuma na zaidi, ila weusi wa huko hawakukubali kuwa chini ya utawala huo dhalimu. Kukuonyesha kuwa maendeleo sio tiketi ya kuongoza watu kwa shuruti, Nyerere akawapa mpaka kambi wapigania uhuru wa Afrika kusini hapo Morogoro. Ina maana Nyerere hakujua kuwa nchi ya Afrika kusini weupe walikuwa wanaleta maendeleo?
 
Back
Top Bottom