Yaani kuwa MC ni ujanja janja anaiba nini? Sababu wote watapandisha bei na mwisho wa siku Kodi ya ukumbi na ya MC atailipa mwenye sherehe. litendee haki fuvu hiloTatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria ya nchi bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Mkuu usisumbuke na fuvu lenye uwezo mdogo wa kufikiria.Acha ujinga.Ujanjaujanja uko wapi hapo?
Kumiliki ukumbi au kupika kwenye sherehe ni ujanjaujanja? Tatizo unakurupukia mada tu bila kuisoma na kuielewa.
Usihofu mkuu,Watachuka na hii, hebu acha kuongeza ushauri maana watachukua kama ilivyo
Wananch hawana hatia, wao walipiga kura kwa usahihi ila matokeo yalikuwa yameshapangwa.Bora mziki uendelee hivihivi mwanzomwisho ili wananchi waje kukumbuka kazi zilizokuwa zinafanywa na wapinzani kutetea wananchi.
Yaani mkuu kila anaepata kipato.. Kidogo au kikubwa lazima alipe kodiYaani kuwa MC ni ujanja janja anaiba nini? Sababu wote watapandisha bei na mwisho wa siku Kodi ya ukumbi na ya MC atailipa mwenye sherehe. litendee haki fuvu hilo
Sengerema hapo imetumika tu kama ignitor ila hio inshu inaonekana iko tayari drafted itumike Nation wide, Hapo imeanzishwa kupima upepo na kwa vile umesikia ina baraka ya Tamisemi tegemea kutekelezwa Nchi nzimaHawa watu hawana akili kabisa sengerema ni wilaya ndogo sana kuna ukumbi gani pale mwenye ukumbi atoe 220,000 au 270,000 kwa ajili ya halmashauri?
Sengerema asili yake ni wasukuma na wasukuma wengi wanapenda kufanyia sherehe zao manyumbani au kwenye jamii yake.Anyway sasa hivi sherehe tutakuwa tunafanyia makanisani na penyewe waje wadai kodi.
Mfumo mbovu kabisa wa kutafuta mapato..sasa hivi kijana kuoa inakuwa adhabu.
Nayeye analiwa timmingAwamu hii ni machinga tu ndio anaunafuu wa kwenye kulipia hizo kodi
Wanakunja hela ndefu hawa, siwahurumii hata kidogo...WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru.
Ni baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema jijini Mwanza, kupitisha sheria ndogo za ada na ushuri ambazo tayari zimepata baraka za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...
Safi sana, ije na Dar sasaWATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru...
Hapo mi hawanipati...otherwise watasababisha nifakamie minyama na mibia yote ukumbini utadhan na mm ni mualikwa vileMa-Dj wanapewa 50k, 30k wanapeleka halmashauri.
Kweli Mitano tena