Wanaofikiri watafanya mzaha na CCM kwa kuwa mwenyekiti ni mwanamke wajiandae kisaikolojia, kadhamiria kuchoma vichaka majoka yasijifiche

Wanaofikiri watafanya mzaha na CCM kwa kuwa mwenyekiti ni mwanamke wajiandae kisaikolojia, kadhamiria kuchoma vichaka majoka yasijifiche

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
 
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
Chama Cha kijani/Chukua chako mapema(ccm)
 
It is hard time just to believe everything
 
ccm wote ni majoka, tofauti yenu kubwa kuna majoka makubwa na madogo.
 
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
Sasa hivi hatuna awamu ya 6. Awamu iliyopo ni ya 5. Awamu ya 6 itapatikana baada ya uchaguzi mkuu 2025.

Hakuna nyoka wala hakuna vichaka.

Kuni mbichi zimeshachochewa ndani ya nyumba WAHUNI wanakurupuka mmoja mmoja, wanakohoa, macho yanawasha na wanakimbia hovyo kutokana na moshi mzito.
 
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
CCM INA WENYEWE NA WENYEWE NDIO SISI SOTE
 
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
Kina Polepole wote ( majoka/Kiroboto) wataangamizwa
 
She is hopeless.Wenye akili tunajua.
16391496450626.jpg
 
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
Uliamini awamu ya Tano na Ulifurahia kwasababu unadhani Umasikini wako unatokana na mwenzako kuwa tajiri.
Na awamu hii utajiua kwasababu mkeö atazidi kukuandama kwamba wenzio Wanafanya maendeleo wewe upo tu unasingizia awamu
 
Nyoka kikawaida ni muoga sana, anatumia mbinu rahisi sana kujilinda yaani kukimbilia kichakani, akiamini kwamba yupo sehemu salama na akifuatwa na adui atatumia werevu wake kumshambulia adui.

Katika mchakato wa kuua nyoka kichakani muuaji pia anatakiwa mbinu ya kuchoka kichaka ili hata wadudu na wanyama wengine hatarishi wafe.

Tulioamini utawala wa awamu ya tano tunafarijika kuona mbinu zilezile za kuua majoka vichakani zikitumika katika awamu. Licha ya kwamba sasa tunae mwanamke katika vita hii lakini imani yetu kwake ni kubwa sana.

Ulipoingia utawala wa awamu ya sita majoka yaliamini yapo huru kuvamia majumba ya watu lakini kumbe sivyo mbinu inayotumika sasa imeboreshwa zaidi, wanaachwa kwanza waamini wapo huru halafu wanaangamizwa kabisa katika shambulizi la kushtukiza.

Hivyo tusiwe na wasiwasi ,Rais Samia ni mtu wa vitendo haswa na hawezi kuona majoka hayo yakidhuru watu bila kufanya lolote, wajiandae kisaikolojia kulia kile kilio kisicho na mfutaji machozi. Majizi yatashughulikiwa bila huruma.

CCM HAINA WENYEWE, CCM NI YA WOTE
Ana hadhi zote za mama ukimnyea unakula makofi
 
Back
Top Bottom