Umelogwa! Hakuna anayefanya lolote independently of what Magufuli is mammering on his mouth! Wanaangalia midomo ya magufuli inacheza cheza vipi ndiyo wanafuatilizia humo!Tatizo lenu hamuijuwi CCM, Magufuli ni mwenyekiti wa "vikao" vya chama na wala sio mwendeshaji wa kila siku wa chama. Tofauti na vyama vyenu wannabe ambapo mwenyekiti au kiongozi wa chma ndio katibu kuu, ndio mweka hazina, ndio mnadhimu mkuu na ndio mfadhili. Chama sio mali ya mtu mmoja, vyama vyote vya siasa Tanzania ni mali ya jamii.
Namkumbuka sana lema akiwa TLP, Na majukwaa yake ya miti kwenye mikutano yake ya kisiasa, sasa amekuwa alwatan.Waulize Tundu Lisu MA God bless lema walikuwa NCCR, baadaye wakatimukia TLP na kutimka tena na kutua chadema. baada ya kufika chadema wao ndio wanajifanya wazalendo kuliko hata wenyeji. Mleta maada waweza kuwa mmoja wao. Baada us kupata vyeo chadema basi wewe ndio wajiona mzalendo hasa!!!!
Umenikazimisha kukujibu. Mashinji kadhihirisha wazi kwa maandishi yake kwamba kilichomtoa chadema ni njaa na si vinginevyo. Hata wewe nadhani ni njaa inakusumbua. Time will tellWanaohamia CCM wamejitambua!, Chadema hakuna kitu!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
PAngalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!
Wanabodi, Salaam. Ijumaa ya leo, nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya ukosefu wa fadhila, au ukosefu wa shukrani katika medani za siasa, kutakakopelekea anguko la Mwanasiasa/Chama husika kwa kupata mapigo ya bakora za karma...www.jamiiforums.com
Wewe ndio zimekuruka, Chadema inapuputikiwa na wale wote ambao hawana connection mlima mkuu. Wamekuwa marginalised kwa muda mrefu na sasa maji yamewafika shingoni. Kumbuka Professor Safari alisema nini.Umelogwa! Hakuna anayefanya lolote independently of what Magufuli is mammering on his mouth! Wanaangalia midomo ya magufuli inacheza cheza vipi ndiyo wanafuatilizia humo!
Ni maslahi binafsi na Dr. Mashinji amekuwa mkweli katika hili na ukweli huu umemuweka huru tofauti na ile misukule mingine iliyokaririshwa kuwa inaenda kuunga juhudi. Ukweli wenyewe ni huu.Wanaohamia CCM wamejitambua!, Chadema hakuna kitu!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
PAngalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!
Wanabodi, Salaam. Ijumaa ya leo, nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya ukosefu wa fadhila, au ukosefu wa shukrani katika medani za siasa, kutakakopelekea anguko la Mwanasiasa/Chama husika kwa kupata mapigo ya bakora za karma...www.jamiiforums.com
Soma alichokiandikaCHADEMA mmekwisha nyinyi ni chama cha mtu binafsi msitegemee watu wenye akili timamu kuendelea kuwaunga mkono. Endeleeni na SACOS ya Mbowe
πππ gombania goliVyeo vipo vingi Sana,wataenea tu