Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Tukiwa wakweli na tuoipenda nchi hii, 2020 wala haguna haja ya kufanya uchaguzi ODDs zote zimeshazihilisha hilo, CCM ikishamaliza mchakato wa ndani wa kura ya maoni na kupitisha wagombea wake wote nchi nzima(udiwani,majimbo,urasi) basi hao ndio tume (NEC)iwatangaze washindi na iwaapishe basi.
HAPA TUTAKUWA TUMEONYESHA UKOMAVU WA AKILI NA KUWEZA KUFANYA MAMBO YETU WENYEWE KAMA TAIFA BILA KUJALI DUNIA ITASEMAJE (after all ccm lazima itashinda 100%) hebu tuwe wazalendo uchaguzu mkuu 2020 uishie ccm kwenye kura ya maoni, tutasevu mabilion ya hela zinazoweza kutumika kuleta maendeleo ya kweli na siyo maigizo ya uchaguzi
 
Hata kama CDM wafuasi wengi,kwani wanaotangaza matokeo ni wafuasi wa CDM? CDM Kura watapata nyingi tena Za kutosha kushinda lkn suala la kutangazwa mshindi ni jingine hilo.Huenda 2020 Wakatangazwa washindi wengi wa CCM
 
Ukiangalia wanasiasa wengi ni kuwa wanatumikia matumbo yao.Kwa Hali tulipofikia sitashangaa kuona Mnyika,Lema,Selasini,Mdee wamesepa kwenda ugambani
 
Paskali hajasifia ushindi wa Jana Ila kaona kuwa kwa Hali tuliyo nayo ni kama by any means lazima CCM washinde iwe kihalali au isiwe kihalali.Ila watashinda
 
Mugabe wetu hawezi ondoka kwenye tanuri la kuoka pesa!
Yeye na ruzuku, ruzuku na yeye.

Matokeo haya hayampi shida mfanyabiashara huyo.
 
Hata kama CDM wafuasi wengi,kwani wanaotangaza matokeo ni wafuasi wa CDM? CDM Kura watapata nyingi tena Za kutosha kushinda lkn suala la kutangazwa mshindi ni jingine hilo.Huenda 2020 Wakatangazwa washindi wengi wa CCM
Wakienda wao ni sawa lakini wafuasi wao bado wabaitikadi yao ukichanganya na madhila wanayoyapitia mambo kwao ni magumu
 
Vipi Sanduku la Kura limeamua kwa hiyari hilo ndiyo swali ulipaswa kuuliza..

Nguvu iliyotumika hakika inaonyesha jinsi jamaa wasivyo na uhakika wa kushinda kupitia sanduku la Kura...

Wanataka kuaminisha Wananchi eti wanakubalika lakini sivyo...

Weledi wameliona hilo...

Acheni Sanduku la Kura liamue matokeo...

Siyo hizi bla bla .....!!!
 
Kuna wanaoona mbali na wanaongalia Ugali....uzi wako unazuungumzia wanaoangalia Ugali

Wanaoona mbali (kama Lissu) hutumia upeo wao kukemea mambo kama haya ya kuminya demokrasia,kutumia mabavu kutawala il-hali wananchi wamewachoka watawala

Waache waikimbie njaa kwani njaa ni kitu kibaya kuliko lkn wajue ya kwamba Tanzania ni moja ya taifa ambalo linahitaji kujikomboa kutoka kwa watawala wake wasio na roho ya huruma...
 
 
Wenye akili wamebaini ugonjwa mkubwa wa chama kikuu cha upinzani ni wao kujigeuza kuwa chombo cha utakatishaji wa mafisadi.
Ukiwa mchafu, hamia chadema...you will be washed and become as white as snow! Sad


Pia ukiwa changu hamia Chadema like Wema did na akapokelewa kwa mbwembwe kibao.
 
Wenye akili wamebaini ugonjwa mkubwa wa chama kikuu cha upinzani ni wao kujigeuza kuwa chombo cha utakatishaji wa mafisadi.
Ukiwa mchafu, hamia chadema...you will be washed and become as white as snow! Sad
Wajinga na wapumbavu ndio wanaoaminj ccm imeshinda kjhalali. Ukiukwajj wa haki ulikuwa wahali ya juu sana bika hata kificho. Hata kama mkijhamijiaminisha umeshinda . Lakini nafsini zenu zinawasufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…