Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Mugabe Tulisha kuwa nae bongo
simwingine naye ni Mbowe
Usituvuruge
Mnajivuruga wenyewe ili muonekane mnavurugwa.
Tunachokihofia ni pale joka mla watu akimaliza kuwala wanaoonekana adui hatujui watakaofuata kuliwa ni kina nani!?

Futeni vyama vingine ili chuki zinazotokana na uchafuzi wa demokrasia zisiwepo.
 
Naendeleza wito huu, sio tuu wanaohama vyama wasibezwe, bali hata wapinzani, wanaotembelea Ikulu na kumpongeza rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya, pia wasibezwe, wana hoja za msingi.

Paskali
Uelewa wa safari ya matumaini ulikua mgumu maana matumaini yeliwekwa kwenye ( )bila kuyajua na zaid ilikua hisia za watu.
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind jambo hili kufanyika jinsi hiyo lilivyofanyika na matokeo ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu wa Jambo hili. Jambo letu kwenye uzi huu ni ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio wa madiwani kata 43.


Politics is a game of hide and seek and a changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ya Magufuli, wanasiasa walioko upinzani, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends, wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa za upinzani nchini na their chances kuelekea 2020, hivyo wameamua kufanya uamuzi sasa kwa kujiunga CCM!.

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then atajiunga CCM!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then CCM ndio mpango mzima, kama wanataka future ya politics kama ajira kukamata ulaji, chama cha kujiunga nacho ni CCM.

Hapa nazungumzia ukweli halisi ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo, kilichotokea, kilichopo, ni CCM imeshinda, bila kujalisha imeshindaje au kwa mbinu gani, mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, na mshindi ni mshindi halali kwa kanuni ya the end justify the means.

Wapinzani poleni, CCM hongereni kuturudisha nchi ya chama kimoja.

Jumatatu Njema.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...
Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...

Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?. Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...




CHADEMA wako bize na maradi wao wa "Politician laundering"
 
Kaka pascal ni ngumu sana kwa CCM kurudisha majimbo yote

Hali ya CCM ni mbaya sana, na Pamoja na Jitihada za Mtukufu Rais kumbambana na Ufisadi, Rushwa nk, lakini nachelea kusema kuwa HAKUBALIKI, sio ndani wala nje ya CCM, kwa jitihada alizozifanya mtukufu raisi ule uchaguzi wa madiwani wala CCM wasingefanya kampeni, lakini matokeo yake nguvu kubwa sana imetumika
Kwa nini nasema ni Vigumu CCM kurudisha majinbo
1: Mtukufu Rais itambidi apambane sana na Hali yake, uoinzani kutoka chamani na nje, so hatakiwa na muda wa kuwaangalia watu wa chini kama aliokuwa nao sasa
2: uchaguzi wa Zanzibar, msimu uliopita Lowassa aliwababaisha sana ikafikia kipindi wakaisahau Zanzibar na hatimae Hamad akajitangaza Mshindi (Asante Jecha), so uchaguzi ujao CCM hawawezi kamwe kuisahau Zanzibar
3: Chadema sasa ina Wapenzi wa chama waliopo Royal kwa kiasi fulani, na tunalipima hilo kwa sababu pamoja na kuondoka kwa Zitto, Slaa nk, bado Chadema iliweza kujikusanyia Wabunge wengi zaidi, na Madiwani wengi mpaka kupelekea kushika baadhi ya Halmashauri kwenye miji mikubwa
Hapo unajidanganya wabunge wskipatikana kwasababubya upepo wa kisiasa na hali ya ccm kwa wakat huo
 
Nakuunga Mkono hii ni analytical trend reading upo sawa kabisa. Kama vyama vya upinzani hawatolifanyia kazi hili linakuja tena bila shaka.
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind jambo hili kufanyika jinsi hiyo lilivyofanyika na matokeo ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu wa Jambo hili. Jambo letu kwenye uzi huu ni ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio wa madiwani kata 43.


Politics is a game of hide and seek and a changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ya Magufuli, wanasiasa walioko upinzani, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends, wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa za upinzani nchini na their chances kuelekea 2020, hivyo wameamua kufanya uamuzi sasa kwa kujiunga CCM!.

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then atajiunga CCM!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then CCM ndio mpango mzima, kama wanataka future ya politics kama ajira kukamata ulaji, chama cha kujiunga nacho ni CCM.

Hapa nazungumzia ukweli halisi ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo, kilichotokea, kilichopo, ni CCM imeshinda, bila kujalisha imeshindaje au kwa mbinu gani, mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, na mshindi ni mshindi halali kwa kanuni ya the end justify the means.

Wapinzani poleni, CCM hongereni kuturudisha nchi ya chama kimoja.

Jumatatu Njema.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...
Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...

Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?. Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...




Hongereni bana uzembe wa mwenyekiti wetu umetuponza ......hivi maandamano ya kumtoa yana katazwa nayo
 
Naendeleza wito huu, sio tuu wanaohama vyama wasibezwe, bali hata wapinzani, wanaotembelea Ikulu na kumpongeza rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya, pia wasibezwe, wana hoja za msingi.

Paskali

Naona umekuwa mtabiri na wewe siku hizi...hongera sana ushekhe Yahya unauweza vizuri
 
Back
Top Bottom