Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

So you conclude that even in politics the end justify the means....is real???
 

Sasa ulitaka bank tufanye kazi kadiri ya wewe Au utaratibu. Mkuu Tembea uone. Mission town Hakuna Ndo dalili ya Kwanza ya Watu kuishi kwa ukweli. So Acha mbwembwe hapa Kama vile hzjui dili za mabenki nk. Wenzako wanajenga. Wanasomesha. Wanaenda party nk. Ogopa sana kuwa mkumbo na Watz.
 
Paskali unachokizungumza ni cha ukweli ,ila watanzania huwa hawasahau maana wanajua viongozi ni kina nani na wachumia matumbo ni kina nani,
Jambo la kuliweka akilini ni kwamba CCM imeshindwa siasa inatumia hovyo Pesa za umma kwa kushirikiana na vyombo vya dola,hivyo haya kwa watu wenye upeo tumeng'amua haya na kujua kwamba ukoloni bado upo,ila kama utajiuliza vizuri kwanini haya yanafanyika utapata majibu kuwa ni njia ya kuirudisha CCM kwenye mstari wa kuaminika wakati Watanzania wanajitambua kua wezi na wanaoliingiza hili Taifa kwenye hasara na kashfa mbalimbali ndio hao hao CCM
Ukitaka kuluamini hili na jitihada zote wanazofanya kwanini kwenye uchaguzi inasimama Dola badala ya Chama kama hayo yana ukweli basi tume iwe huru na haki uone kama wanavyosema wanapendwa kuna ukweli
Mwisho tambua ya kua wanaofanya hivyo hawako kwa ajili ya Taifa wako kwa ajili ya matumbo yao
Kama viongozi wazuri wapo upinzani ndio maana wanachukuliwa na kupewa nyadhifa mbalimbali na waliopo huko wanaachwa alafu TAKUKURU mkurugenzi anateuliwa na mtu anetumbua wabadhirifu


0 brain
 
Ok; CDM kaitumia kama ngazi; kwake ni sawa kwamba kuchukua kilicho tayari mezani badala ya kusubiri eti mtu ndiyo kwanza anainjika chungu na hana uhakika wa unga pale kwa mangi, hapo kuna kula mapema kweli?

Hii ni changamoto kubwa na mpya ya siasa za nchi yetu; kufuata kilicho tayari mezani badala ya kukihangaikia mwenyewe.
Lakini kwa angle nyingine sidhani CCM inajijenga kama chama kwa style hii ambayo kwa sasa imekuwa wazi kabisa kwa kila mtu.
 
Tatizo ni sultan Mbowe,yeye kaifanya Chadema mali yake na hakuna wa kumhojiMbowe alitakiwa awe mfano wa yale anayohubiri yaani demokrasia,haiwezekani nikuambie PASCO nataka uache kuwa mwizi wakati mwenyewe nami ni mwizi,Mbowe kapoteza sifa ya uongozi hata ukimwangalia usoni unajua tu kabisa kuwa anakoipeleka Chadema ni shimoni
 
Wanao/walio hama vyama ni kwa sababu ya maslahi yao wenyewe na sio ya wananchi walio wachagua. Hata huko kwenye vyama vipya walivyo hamia au watakavyo hamia, hawata leta maendeleo yeyote kwa wananchi kwa sababu kuhamia chama kingine, haibadilishi tabia ya mtu.

Kwa bahati mbaya saana, wananchi wengi hatulielewi jambo hili ndio maana tutaendelea kuwachagua wabinafsi hawa.

Vilevile wananchi wengi wamesha jengewa hulka ya kwamba vyama vya kisiasa ndio vitawaletea maendeleo na sio juhudi za wanachi wenyewe.
Afadhali abaki mpizani moja, 2020, mwenye nia ya kupigania haki za wananchi na kuikosoa serekali, pale inapokosea, bila wogo, kuliko kua na wapinazini lukuki wanao pigania maslahi yao tu na sio ya wananchi walio wachagua.
 
Mkuu ni kweli sio kitu cha kubeza lakini pia sio kitu cha kuumiza kichwa kuhoji kwanini wanahama!! Sio kitu cha kubeza kwa sababu idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani inapungua hivyo nguvu ya upinzani na democrasia nchini inapungua.

Hoja hapa sio kwanini wanahama sababu ziko wazi ikiwa pamoja na uteuzi kama uliofanyika leo. Nakwambia uteuzi huu ni kichocheo kikubwa sana cha Ku fuel wapinzani kuhamia CCM, je hapo kuna sababu ya kuhoji sababu? Wanajua wakihamia CCM wanateuliwa tena kugombea kwa tiketi ya CCM na wanarudi kwenye position zao, wanaangalia uchaguzi wa 2020 wakiwa upinzani hata iweje lazima watashindwa kwa sababu ya situation ya sasa.
Ukitaka kujua zaidi kwanini wanahama nenda kawahoji wanazuo wa UDM kuhusu uteuzi huu wa wakuu wa wilaya utamsikia prof anakwambia huu ni uteuzi makini, lakini huyo prof akiwa nyumbani akijisikiliza labda kwa kupitia taarifa ya habari alichosema anaona hata aibu. Hata hivyo, akijakuhojiwa tena ataongea atatoa maoni yaleyale!
 
Acheni HAKI ichukue mkondo wake., uchaguzi uwe HURU muone JIWE litakavyopatwa na MOTO.
 

Mkuu,huwa unanifurahisha sana kwa mikakati.
2015 ulikuwa kwenye ile boat kidogo jina limenitoka....ilipitiwa na mawimbi mazito ikashindwa kufika ngambo....
Sasa tu tuambie this time mabaharia wako ni wepi?
 
Wakifanyacho wanaoondoka ni sawa kama unafikiri nje ya siasa huna maisha tena. Uchaguzi 2020 wapinzani wataisha mjengoni ila watakuwa wengi mtaani. Ila ifikapo 2025 walioko mtaani watakuwa na nguvu na ushawishi wa kurudi mjengoni. Hiki kimbunga lazima ulale chini kipite zaidi utaumia . Hongera CCM!
 
Hama hama inaendelea, leo ni Mbunge wa jimbo la Liwale(CUF) Zuberi Kuchauka atangaza kujiuzulu na kuhamia CCM.

Tusimlaumu kwa lolote kwa sababu ameona mbali, nawahurumia tuu Watanzania masikini wa kutupwa, wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea ambao ni miongoni watakaogharimia uchaguzi huu wa marudio.

P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…