Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Upande mwingine ni ushamba wa madaraka!Hii nchi kuna mambo mengi sana ya hovyo.
Too many to list.
Kama kuna ambayo siyo ya hovyo ni ya kuhesabika sana.
Mfano issue kama hii ni ya kawaida kabisa hapa bongo. Vijibosi tu vya serikali kujitanua kwa dharau wakitumia kodi zetu ni kama jadi tu.
Ushamba unawasumbua viongozi wengi, madereva wao na hata katika picha unaona dereva wa daladala linatanua sawa na huyo kiongozi.View attachment 3119232
Kwanza wanachelewa kuamka kwenda kazzini.
Pili, ving'ora na usumbufu mwingi kwa akelele barabarani.
Tatu wanapita hata sehemu za barabara zisizoruhusiwa kupita magari na hivyo kubomoa, mfano sehemu za waenda kwa miguu.
Hili nimelishuhudia leo asubuhi Service road Bagamoyo road asubuhi ya leo, T129AKV.
Traffic wakiwaona wanakenua tu.
Inabidi IGP mwenyewe asimame barabarani kama Traffic.
Hiyo picha inahusiana na Viongozi kiaje sasa?View attachment 3119232
Kwanza wanachelewa kuamka kwenda kazzini.
Pili, ving'ora na usumbufu mwingi kwa akelele barabarani.
Tatu wanapita hata sehemu za barabara zisizoruhusiwa kupita magari na hivyo kubomoa, mfano sehemu za waenda kwa miguu.
Hili nimelishuhudia leo asubuhi Service road Bagamoyo road asubuhi ya leo, T129AKV.
Traffic wakiwaona wanakenua tu.
Inabidi IGP mwenyewe asimame barabarani kama Traffic.
wao wako juu ya sheriaView attachment 3119232
Kwanza wanachelewa kuamka kwenda kazzini.
Pili, ving'ora na usumbufu mwingi kwa akelele barabarani.
Tatu wanapita hata sehemu za barabara zisizoruhusiwa kupita magari na hivyo kubomoa, mfano sehemu za waenda kwa miguu.
Hili nimelishuhudia leo asubuhi Service road Bagamoyo road asubuhi ya leo, T129AKV.
Traffic wakiwaona wanakenua tu.
Inabidi IGP mwenyewe asimame barabarani kama Traffic.
Mkuu hayo si matuta, ni pedestrian wakway, jamaa wanayararua makusudi.Hayo matuta wanayoweka barabarani.
Watu wakifikia umri mkubwa wataumwa sana migongo.
Kutaja viongozi ni kuwahifadhi tu mkuu.Hiyo picha inahusiana na Viongozi kiaje sasa?
Hawajulikani mbona.Kutaja viongozi ni kuwahifadhi tu mkuu.
Gari ya 2024 ina number plate ya mwaka 2006, ni mgeni tu DSM asiyejua hao ni nani!
Viongozi utawajua kwa matendo yao!Hawajulikani mbona.
Kwa mada hii sasa wanajulikana, viongozi.Hawajulikani mbona.