Wanaoharibu miundombinu yetu ya barabara ni viongozi wetu, tazama hii!

Wanaoharibu miundombinu yetu ya barabara ni viongozi wetu, tazama hii!

vVongozi uchwala wanapaswa kuzingatia taratibu za matumizi ya barabara bila kujiona juu ya sheria.
 
Wakati mwingine inategemea na aina ya gari,

Vitz au starlet haiwezi panda tuta Hilo hata kama imedhamiria kuharibu miundombinu !!
Kodi yako ingekuwa inawanunulia Vitz au Starlet si ungetamba?
 
vVongozi uchwala wanapaswa kuzingatia taratibu za matumizi ya barabara bila kujiona juu ya sheria.
Ushamba ni mzigo.
Gari zuri linapofanya fUlo za traffic barabarani utajua mambo mawili
Moja, mtu huyo anajikweza, na kuona wengine mabwege.
Pili, gari si lake binafsi mara nyingi la umma.
 


Kwanza wanachelewa kuamka kwenda kazini.

Pili, ving'ora na usumbufu mwingi kwa kelele barabarani.

Tatu wanapita hata sehemu za barabara zisizoruhusiwa kupita magari na hivyo kubomoa, mfano sehemu za waenda kwa miguu.

Hili nimelishuhudia leo asubuhi Service road Bagamoyo road asubuhi ya leo, Traffic wakiwaona wanakenua tu.

Inabidi IGP mwenyewe asimame barabarani kama Traffic.
Na wewe ni mharibifu kama hao kwanini umeficha namba za gari?
 


Kwanza wanachelewa kuamka kwenda kazini.

Pili, ving'ora na usumbufu mwingi kwa kelele barabarani.

Tatu wanapita hata sehemu za barabara zisizoruhusiwa kupita magari na hivyo kubomoa, mfano sehemu za waenda kwa miguu.

Hili nimelishuhudia leo asubuhi Service road Bagamoyo road asubuhi ya leo, Traffic wakiwaona wanakenua tu.

Inabidi IGP mwenyewe asimame barabarani kama Traffic.
Mvunja nchi ni mwananchi mwenyewe!
 
Mvunja nchi ni mwananchi mwenyewe!
Kweli mkuu.
Barabara zinajengwa kwa gharama kubwa, halafu magari ya viongozi ndiyo ya kwanza kuharibu baada ya kuzipokea barabara hizo.
Mawaziri wa ujenzi kimya, polisi kimya!
 
Sasa kuna huu uzibaji wa viraka vya barabarani. Upigaji mkubwa sana wa fedha za nchi.
Barabara kutoka Tabata shule uelekee Kinyerezi.
 
1728547459097.png

Hii picha inafikirisha sana.
Baada ya muda madereva wengine wataiga mtingo huo huo.
Baadaye semitrela nalo litapita kwa watembea kwa miguu, hapo barabara kwishney.
Kwa mfano unaona daladala na hiyo RAV4 zinavyotanua kwenye mabega ya barabara.
Muda si mrefu ukingo wa barabara unalika kabisa.
Daladala na RAV4 wanaona vigogo hawachukuliwi hatua yoyote, nao wanaiga.
 
Back
Top Bottom