Phone4Sale Wanaohitaji iPhones na Samsung Kwa Bei Poa

Phone4Sale Wanaohitaji iPhones na Samsung Kwa Bei Poa

Sijakuelewa smh maana yake nini kwa kiswahili fasaha?

Smh =shaking my head ( KaMa kutingisha kichwa ile ya hapana).... Kama alama ya kutokubaliana na alichosema mtu
 
Uko wapi?
Ofisi ipo kinondoni mwanamboka. Ukihitaji simu unaagiziwa kwa sasa hatukai na mzigo ndani. Simu ikiagizwa inachukua siku 10 mpaka kuwasili nchini.
 
XR 64GB 1,295,000 Tsh na XR 128GB ni 1,370,000 tsh. Karibu sana
Kwaio mkuu hii simu inakua haijatumika kabisa hata kidogo, huko marekani wala uingereza i.e brand new kabisa au? Ni refurbished?
 
Kwaio mkuu hii simu inakua haijatumika kabisa hata kidogo, huko marekani wala uingereza i.e brand new kabisa au? Ni refurbished?
Ni mpya, haijatumika na sio refurb.
 
Ni mpya, haijatumika na sio refurb.
Kwaio utaratibu upo vipi wa kuagiza hizo simu mfano Iphone XR mimi napenda iwe ya china sababu nasikia zina line 2..physical sim cards
 
Usijitie mjanja wewe iphone xr 64gb ni dollar 750 apple store ya Marekani. Wewe yako unasema 1.2mil kitu ambacho si kweli. Kubali ni refurbished
Sio Refurbished, usipotoshe biashara. Cheap haimanishi ni refurb , chaneli yetu ya biashara ni fupi ndio maana hatuna bei ulizozizoea wewe.
 
Usijitie mjanja wewe iphone xr 64gb ni dollar 750 apple store ya Marekani. Wewe yako unasema 1.2mil kitu ambacho si kweli. Kubali ni refurbished

actually bei zipo apple website’s be it ya US, ya china, na ziko wazi kabisa.
say iphone 6, maduka ya authorized resellers hakuna tena, probably hakuna any NEW iphone 6 left in any shop by now..

eti new, boxed and sealed.. si aseme tu refurbished, and people will still buy anyway!
 
Anatumia ujinga wa watu.
Iphone kuanzia 8 kushuka chini viwanda havitengenezi tena. Zinazokuja huku kwetu nyingi ni zile exchange upgrade@cejo,
 
Duh haya mambo makubwa sisi watumiaji wa tecno tunasoma tu comments
 
Usijitie mjanja wewe iphone xr 64gb ni dollar 750 apple store ya Marekani. Wewe yako unasema 1.2mil kitu ambacho si kweli. Kubali ni refurbished
Okay Root, unaweza agiza toka apple store pia.
 
actually bei zipo apple website’s be it ya US, ya china, na ziko wazi kabisa.
say iphone 6, maduka ya authorized resellers hakuna tena, probably hakuna any NEW iphone 6 left in any shop by now..

eti new, boxed and sealed.. si aseme tu refurbished, and people will still buy anyway!
OK
 
Kwaio utaratibu upo vipi wa kuagiza hizo simu mfano Iphone XR mimi napenda iwe ya china sababu nasikia zina line 2..physical sim cards
Utapata but hizo dual sim zipo chahche sana, but tunaweza angalia utaratibu wa kuipata
 
Back
Top Bottom