Phone4Sale Wanaohitaji iPhones na Samsung Kwa Bei Poa

Phone4Sale Wanaohitaji iPhones na Samsung Kwa Bei Poa

Unalipa kwanza ndo unaagiziwa ama unaagiza na kulipa upon delivery?
 
Unalipa kwanza ndo unaagiziwa ama unaagiza na kulipa upon delivery?
Simu chini ya 400k utaagiziwa and utalipia after delivery. Above 400K utalipia 60% na 40% after delivery. Karibu sana.
 
Hello, maximum 10 days inaweza ikawahi kabla ya hapo lakini haiwezi chelewa zaidi ya siku 10. Karibu.
Kwahiyo ukitoa order kulipia si mpaka simu ifike au inakuwaje
 
Kwahiyo ukitoa order kulipia si mpaka simu ifike au inakuwaje
Simu chini ya 400k utaagiziwa and utalipia after delivery. Above 400K utalipia 60% na 40% after delivery. Karibu.
 
Kuna 128GB 6GB RAM, na 128GB 8GB RAM zote zinaenda kwa bei sawa?
Ndio , bei zetu kwa samsung zipo constant kwa specific series haijalishi storage size yake. Karibu.
 
Back
Top Bottom