Wanaohusika na Uwanja wa Taifa waone aibu kuhusu vyoo

Wanaohusika na Uwanja wa Taifa waone aibu kuhusu vyoo

Nahonyo

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
5,550
Reaction score
5,379
Ukienda leo uwanja wa mpira wa miguu, unapokaribia tu kumaliza ngazi, ili uingie uwanjani, unakaribishwa na harufu mbaya ya vyoo.

Ukiingia huko vyooni hasa vyoo vya kiume ambavyo mimi ni mdau, hali inatisha, vyoo vimeziba mkojo umejaa kwe ule mfereji wa kukojolea, yaani ukichota waweza pata ndoo hata nane za mkojo.

Ni aibu gani mkojo wa mwezi uliopita unaukuta mwezi mwingine, alafu kuna watu wa mataifa mbalimbali wanaingia na wanavitumia hivi vyoo, wanaenda kutangaza aibu yetu kwao.
Ivi kweli serikali imeshindwa kumtafuta mzabuni wa kufanya usafi vyooni kwa siku za mechezo tu, usafi kabla mchezo na baada ya mchezo. Kuna siku nimeingia pale, nikakuta chipi imetelekezwa, inaonyesha jamaa alishikwa na tumbo la kuhara akakimbilia huko, baada ya msada akagundua maji hakuna akajisafisha kwa kutumia ile chupi.

TFF nanyi niwaombe muisukume serikali kujali afya za wateja wenu, vumbi la kwenye huwa tunakuja na leso zetu ila huko vyooni kumetushinda, nimegundua kwanini watu hutemka kwenda kojoa nje hasa kwenye fensi ya upande wa kasikazini, niishie kwa kumuomba waziri wa michezo hapo VIP vyoo hufanyiwa usafi, basi ufike huku kwetu uone hali ilivyo, ivi si tu nalipa viingilio lakini?
 
Duh! Tz tushazoea
Mkuu ukisema tumezoe hapana unakosea, vile vyoo vyetu kule vya uswahilini, havina U.T.I ingwa ni vya shimo, ndio maana U.T.I huko vijijini ni hadithi sio wengi wanaofahamu juu ya ugonjwa huu. Hivi vyoo vya mzungu hasa vinavyotumia na uma, vinahitaji usafi wa mara kwa mara.
 
Matumizi ya vyoo kistaarabu si utamaduni wa Watz/waafrika tulio wengi. Hata wahusika wafanye nini kesho kuna mpuuzi atakunya mlangoni tu na hili lipo maeneo yote yanayokusanya watu wengi hata kama ni jamii ya walioelimika kiasi gani!
 
Matumizi ya vyoo kistaarabu si utamaduni wa Watz/waafrika tulio wengi. Hata wahusika wafanye nini kesho kuna mpuuzi atakunya mlangoni tu na hili lipo maeneo yote yanayokusanya watu wengi hata kama ni jamii ya walioelimika kiasi gani!
Kwa hiyo unashauri mifereji ya kukukojolea isiziburiwe kwa sababu sisi Watanzania sio wastaarabu, au vyoo vifungwe kabisa.
 
Kwa hiyo unashauri mifereji ya kukukojolea isiziburiwe kwa sababu sisi Watanzania sio wastaarabu, au vyoo vifungwe kabisa.
Kuwe na android apps ya kuonyesha jinsi ya kutumia vyoo, na hiyo up itumwe kwa kila anaenunua ticket, kwa sasa serikali iingie hasara kuvikarabati. Maji pia kuwa na reserve tanks kuhakikisha wakati wa match kuna maji ya kutosha.
 
Kuwe na android apps ya kuonyesha jinsi ya kutumia vyoo, na hiyo up itumwe kwa kila anaenunua ticket, kwa sasa serikali iingie hasara kuvikarabati. Maji pia kuwa na reserve tanks kuhakikisha wakati wa match kuna maji ya kutosha.
Ni vyoo vya kawaida sana, kazi ya mtumiaji wa haja ndogo, ni kusima juu ya tuta la mfereji ambalo liko karibu na ukuta, na kujolea kwenye huo ukuta ambao umewekwa bati ngumu, mkojo hulilika kwenye mfereji huo na kupokelewa na shimo linalokwenda kwenye chema.
Ila lile shimo limeziba, mbaya zaidi pale juu ukutani kunakuwa na bomba linalowekwa mlalo wa holizontol, likiwa limetobolea matundu ambalo hutilisha maji kusafisha harufu ya mikojo. Ila hayo mabomba hayatoi maji, huko kwenye haja kubwa mfumo wa maji umeharibiwa, nadhani kwa makusudi maana sehemu zilizo ondolewa zinafanana.
 
Sasa ile % inayokatwa kwa kila mechi inayofanyika hapo kwa ajili ya maintance inatumikaje au inaliwa? [HASHTAG]#nchi[/HASHTAG] ya mwendokasi
 
Aibu tuanze kuiona watumiaji. Jitu kubwa pumbavu kabisa linakojoa kwenye sink ya kunawia mikono. Mipumbavu mingine inaache sehemu sehemu ya haja ndogo na kusambaza mkojo vyoo vya haja kubwa. Ngumu kuingia humo. Kuna wale ambao kuflush baada ya kutumia choo ni mwiko. Tuna safari ndefu.
Vyoo pale Chuo Kikuu hali hiyo hiyo!
 
Aibu tuanze kuiona watumiaji. Jitu kubwa pumbavu kabisa linakojoa kwenye sink ya kunawia mikono. Mipumbavu mingine inaache sehemu sehemu ya haja ndogo na kusambaza mkojo vyoo vya haja kubwa. Ngumu kuingia humo. Kuna wale ambao kuflush baada ya kutumia choo ni mwiko. Tuna safari ndefu.
Vyoo pale Chuo Kikuu hali hiyo hiyo!
Tukifananishwa na nyani tunakasirika eti.
 
Sasa ile % inayokatwa kwa kila mechi inayofanyika hapo kwa ajili ya maintance inatumikaje au inaliwa? [HASHTAG]#nchi[/HASHTAG] ya mwendokasi
Mkuu, hiyo haifanyi matumizi mabaya kuwa halali
 
Wakati mwingine huw nawaza kuwa si kwamba wazungu au watu weupe wanatubagua....bali ujinga wetu na upumbavu wetu.....unatubagua automatically kutoka kwa wazungu.....au watu weupe...!!

Sasa kwa akili ya kawaida ni mwanadamu gani mwenye akili timamu ataacha shimo kwa ajili ya kujisaidia na kwenda kujisaidia mlangoni kama sio mnyama pekee......!!!??

Ni mwanadamu mwenye akili timamu anaweza kujisaidia na kuweka kinyesi juu ya meza kana kwamba ni keki....kama sio nyani...!!!

Hebu fikiria umbali sink la kujisaidia haja ndogo lakini mtu anadandia na kuacha kinyesi hapo....kama sio unyani ni kitu gani......!!

Mtu anatoka nyumbani kwake na mfuko uliojaa uchafu na kuutupa barabarani.....ambapo baadae kidogo panapangwa biashara za vyakula na yeye akitoka kazini ananunua hapo hapo mahitaji yake ya kula....kama sio ukichaa ni nini..!!??
bcae7c12c4ade0224ad1ee4a40b4bdcc.jpg
25a913ecbf81adc0fa4ae78ee5de4221.jpg
 
Wakati mwingine huw nawaza kuwa si kwamba wazungu au watu weupe wanatubagua....bali ujinga wetu na upumbavu wetu.....unatubagua automatically kutoka kwa wazungu.....au watu weupe...!!

Sasa kwa akili ya kawaida ni mwanadamu gani mwenye akili timamu ataacha shimo kwa ajili ya kujisaidia na kwenda kujisaidia mlangoni kama sio mnyama pekee......!!!??

Ni mwanadamu mwenye akili timamu anaweza kujisaidia na kuweka kinyesi juu ya meza kana kwamba ni keki....kama sio nyani...!!!

Hebu fikiria umbali sink la kujisaidia haja ndogo lakini mtu anadandia na kuacha kinyesi hapo....kama sio unyani ni kitu gani......!!

Mtu anatoka nyumbani kwake na mfuko uliojaa uchafu na kuutupa barabarani.....ambapo baadae kidogo panapangwa biashara za vyakula na yeye akitoka kazini ananunua hapo hapo mahitaji yake ya kula....kama sio ukichaa ni nini..!!??
bcae7c12c4ade0224ad1ee4a40b4bdcc.jpg
25a913ecbf81adc0fa4ae78ee5de4221.jpg
Huyo mpiga picha atakua amesomea, kawahi kabla hakijakatika, hasa huyu wa upande wa kulia.
 
Inasikitisha sana kusema kweli. Kuna watu hawana ustaarabu hata chembe na idadi ya hawa nchini inaongezeka kwa kasi ya kutisha.

Kuna mtu alisema hapa, watanzania tulikuwa usingizini na tunaamshwa kwa maendeleo ya kasi kubwa, speed ya mwendo wetu bado.
 
Back
Top Bottom