Wanaoifahamu Zanzibar, hii mvua imewahi kutokea lini??

Wanaoifahamu Zanzibar, hii mvua imewahi kutokea lini??

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Najua hapa hawakosekani wakongwe wa Zanzibar, hata kama hukuwepo wakati huo basi kwa namna moja ama nyingine utakuwa ulihadithiwa ama kusimuliwa!


Hii mvua kubwa iliyoanza leo saa saba usiku kwa kiasi kilekile mpaka saa hizi saa tano asubuhi haijakata iliwahi kunyesha lini??


Nitoeni hofu nimeanza kuogopa! Mvua kubwa inanyesha kwa masaa kumi mfululizo! Wazee wetu toeni neno!
 
Najua hapa hawakosekani wakongwe wa Zanzibar, hata kama hukuwepo wakati huo basi kwa namna moja ama nyingine utakuwa ulihadithiwa ama kusimuliwa!


Hii mvua kubwa iliyoanza leo saa saba usiku kwa kiasi kilekile mpaka saa hizi saa tano asubuhi haijakata iliwahi kunyesha lini??


Nitoeni hofu nimeanza kuogopa! Mvua kubwa inanyesha kwa masaa kumi mfululizo! Wazee wetu toeni neno!
Dar ilianza muda huo na mpaka sasa inanyesha ila haikuwa kubwa na bado sio kubwa,kumbe tunapata mabaki ya kutoka Visiwani.Ingekuwa kwa ukubwa huo nina hakika mafuriko yangekuwa makubwa zaidi ya juzi.
 
Usiku wa kuamkia mechi ya Derby ambayo Simba alifungwa magoli matano, ilinyesha mvua kubwa zaidi ya hii na ilisimama jioni.

wengi wanaoishi zanzibar kwa siku ile hawakubahatika kuiangalia live mechi ile kwa sababu umeme ulizimwa kwa muda mrefu, hii ya leo hata umeme haujazimwa.

Relax
 
Najua hapa hawakosekani wakongwe wa Zanzibar, hata kama hukuwepo wakati huo basi kwa namna moja ama nyingine utakuwa ulihadithiwa ama kusimuliwa!


Hii mvua kubwa iliyoanza leo saa saba usiku kwa kiasi kilekile mpaka saa hizi saa tano asubuhi haijakata iliwahi kunyesha lini??


Nitoeni hofu nimeanza kuogopa! Mvua kubwa inanyesha kwa masaa kumi mfululizo! Wazee wetu toeni neno!
poleni sana ila mim.naona afadhali kidogo ya Mvua za pwani hazina Radi sana kama.Mvua zile zinazonyesha nyanda za juu kusuni Mvua inapiga na Radi juu tena hakuna mapumziko laiti kama mvua zile zinazonyeshaga nyanda za juu kusuni zingekua zinashea ukanda huu wa pwani sizani had leo kungekua na kitu
 
Mungu anataka mjue kuwa yupo.

Kuna miaka 7 ya kipigo Kwa Dunia nzima,

Na 2024 ndio mwaka wa kwanza, Bado miaka SITA .

Wote tunatakiwa kumrudia Mungu Kwa KUFUNGA na kuomba na kutubu

UBARIKIWE
 
Mvua kama hizi kwetu Zanzibar ni jambo LA kawaida huwa zinanyesha mara kwa mara
 
Usiku wa kuamkia mechi ya Derby ambayo Simba alifungwa magoli matano, ilinyesha mvua kubwa zaidi ya hii na ilisimama jioni.
Hii naikumbuka, lakini ilikuwa inapumzika na kama unakumbuka haikunyesha kwa masaa kumi mfululizo!


Umeme kukatika, nahisi maadhimisho ya muungano plus maboresho ya miundombinu ya umeme. Ila kama unakumbuka umeme ulirudi kabla ya mechi kuanza!
 
Back
Top Bottom