Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mjinga kabisa wewe πMungu anataka mjue kuwa yupo.
Kuna miaka 7 ya kipigo Kwa Dunia nzima,
Na 2024 ndio mwaka wa kwanza, Bado miaka SITA .
Wote tunatakiwa kumrudia Mungu Kwa KUFUNGA na kuomba na kutubu
UBARIKIWE
Sitanii, I mean it!!Mjinga kabisa wewe π
Waje mademu na wanawake tuHuku bila pasipoti hatuwaruhusu mje
Ha ha ha aha aha aha ahmgawanyo sawa katika maswala ya kimuungano ni pamoja na mvua zinazonyesha bara zinyeshe na visiwani kijana.
πUsiku wa kuamkia mechi ya Derby ambayo Simba alifungwa magoli matano,
Good boyUsiku wa kuamkia mechi ya Derby ambayo Simba alifungwa magoli matano, ilinyesha mvua kubwa zaidi ya hii na ilisimama jioni.
wengi wanaoishi zanzibar kwa siku ile hawakubahatika kuiangalia live mechi ile kwa sababu umeme ulizimwa kwa muda mrefu, hii ya leo hata umeme haujazimwa.
Relax
Wekeni ubalozi huku Dar muwe mnatoa VISA mkusanye tozo.Huku bila pasipoti hatuwaruhusu mje
nilisahau tarehe ila nikalikumbuka tukio lililobeba umaarufu wa siku hiyo.π
hii nini sasa mtani?
mtani si mshaweka mabango barabarani inatosha mtupumzishe.π€£π
πnilisahau tarehe ila nikalikumbuka tukio lililobeba umaarufu wa siku hiyo.
ondoa shaka sina uhusiano wowote na vilabu vya Tanzania.
Poleni sanaNaunga mkono hoja hii ya Leo imepiga sana hadi sisi kwenye Azam boti tulikuwa tunaogopa sana ππ
Naam hawa wavaa msuli na barakashia huku hatuwatakiWaje mademu na wanawake tu
kwani buguruni si bado inakuwa ipo bara!!? Sijui kwanini muasisi hakutuunganisha hata na rwanda kuliko huko kwenye majiWekeni ubalozi huku Dar muwe mnatoa VISA mkusanye tozo.
Tutakua tunakwenda Buguruni mnyamani kwenye ubalozi wa Zanzibar kupanga foleni ya VISA.