Wanaoifuata Nyota yako ni kina nani?

Jamaa ulikuwa na content nzuri sana hapo nyuma ila now udini udini ni mwingi sana nakuona

●Tanzania daima and case closed🔒
 
Umeuandika Mambo ya Kusadikika zaidi lakini siyo Uhalisia wa Kimaisha ulivyo.
 
Sasa kwenye couple mmoja awe nyota ya Maji mwingine moto unategemea nini nini kitatokea?
Afadhali ikiwa samaki na maji.
 
Sasa kwenye couple mmoja awe nyota ya Maji mwingine moto unategemea nini nini kitatokea?
Afadhali ikiwa samaki na maji.
Unaweza kubadilisha nyota pia, wanaobadiri majina usije ukadhani ni wajinga.
 
Hivi haya mambo nikweli jamani
Unavyosikia mamajusi waliiona Nyota ya mashariki mtoto Yesu amezaliwa, wakaenda kumsujudu wakampelekea Zawadi ya ubani na manemane, wewe hapo huwa unaelewa nini?
 
Hua naelewa kua aliyezaliwa nimkuu anapaswa kuabudiwa nakusujudiwa ametambulika yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…