#COVID19 Wanaoipinga chanjo ya Covid-19 ipo siku watapanga foleni kuchanjwa

#COVID19 Wanaoipinga chanjo ya Covid-19 ipo siku watapanga foleni kuchanjwa

Hivi kuna mtu anapinga chanjo?, Au anashauri ipatikane iliyothibitishwa ni bora zaidi, kuliko sasa ni nyingi hata nyungu zetu tunaweza sema ni kundi la chanjo

Wa hapa anapinga chanjo. Kumbuka hajui hata kama tuna janga. Mengine unyosikia toka kwake ni janja zake tu.

Walisema akufukuzaye hakwambii toka!

Yeye anajua yu anapigwa vita vya kiuchumi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mhh i doubt kama itakuwa hivyo.,

na misaada hii tunayopewa hehe
Kwahio unafikiri utalazimisha kila raia achanjwe? Wengine hawataki hata US,UK etc sio kila raia anakubali hizo chanjo. Kama ni lazima uchanjwe kuingia nchi fulani na unataka kuingia huna namna kama ilivyo hio ya yellow fever ni wasafiri tu ndio lazima
 
Kwahio unafikiri utalazimisha kila raia achanjwe? Wengine hawataki hata US,UK etc sio kila raia anakubali hizo chanjo. Kama ni lazima uchanjwe kuingia nchi fulani na unataka kuingia huna namna kama ilivyo hio ya yellow fever ni wasafiri tu ndio lazima
Kwa wasafiri yes mandatory.,

Ni kweli kuna resistance hata huko ila kwa jinsi ugonjwa ulivyowatesa wazungu recently, am convinced wataishukia Africa kama mwewe!
Ama watapiga variant mpya hadi akili zitukae sawa
 
Kwa wasafiri yes mandatory.,

Ni kweli kuna resistance hata huko ila kwa jinsi ugonjwa ulivyowatesa wazungu recently, am convinced wataishukia Africa kama mwewe!
Ama watapiga variant mpya hadi akili zitukae sawa
Kwahio unachosema ni kwamba wanatuletea ugonjwa makusudi ili wauze chanjo?
 
Nimeona Kenya tayari, Leo wameipata chanjo nimependa waziri wa afya wao alisema chanjo hailazimishwi ukitaka unachanjwa usipotaka uchanjwi. FULLSTOP
 
Umeona sasa, Saudia wanasema kama mtu hana chanjo ya Covid-19 hakuna kwenda kuhiji. Pigo la kwanza kwa Wananchi wetu waislamu.
Nchi za EU zimeagizwa kuharakisha sheria itakayoingiza cheti cha chanjo ya Corona km qualification ya kuingia kwao ,hii ina maana mtu asiye chanjwa hataruhusiwa kukanyaga ulaya na Uturuki

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
ni kama kusema hamtaki kubaki peke yenu duniani hapa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nchi za EU zimeagizwa kuharakisha sheria itakayoingiza cheti cha chanjo ya Corona km qualification ya kuingia kwao ,hii ina maana mtu asiye chanjwa hataruhusiwa kukanyaga ulaya na Uturuki

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kama unahitaji kuingia nchi fulani lazima ufuate masharti yao. Wakisema lazima chanjo ndio uingie na ni lazima kuingia huna budi kuchanja.
 
Back
Top Bottom