Wanaoiponda IFM ni wendawazimu!

Wanaoiponda IFM ni wendawazimu!

jamani hichi kitu kinanishangaza sana kwa anayejua sheria za mitala ni sahii mwalimu mwenye master kuwa lecturer wa masters?na kusisimamia thesis.yani jamaa ni wabaishaji hata kufundisha hawawezi kozi zote za master wanalalamikia walimu waswahili wenye masters wao ni ubishoo tu
  1. Sio sahihi kwa mhadhiri mwenye masters kuwa lecturer wa wanafunzi wa uzamili (masters). Vigezo hivi vinatumika dunia nzima. Mhadhiri wa wanafunzi wa uzamili anatakiwa angalau awe na PhD. Sababu kubwa ni kwamba, ktk ngazi ya uzamili, wanafunzi wanafundishwa misingi ya kuwa watafiti. Kwa hiyo mtu ambaye anajua misingi tu ya utafiti hawez kumfundisha mtu mwingine kuhusu utafiti. Anahitajika mtu ambaye amebobea ktk utafiti.
  2. Kwa mwenye masters kumsimamia mwanafunzi wa uzamili ktk tasnifu (thesis), hii ndio haikubaliki kabisa. Labda kama msimamizi msaidizi-yaan anakuwepo msimamiz mwenye PhD, halafu huyu mwenye masters anakuwa msaidizi.
  3. Mtu mwenye masters ni msaidizi tu wa mhadhiri (mwenye PhD), tena ktk kozi za shahada ya kwanza.

Ni kweli kwamba vyuo vyetu ni vichanga sana na hivyo kulamizika kuvipotezea baadhi ya vigezo. Lakini, tusifike mahali tukaharibu hata maana ya shahada za uzamili. Hakuna sababu ya kuanzisha programu wakati huna resources. After all, hatuzihitaji kivile hizo shahada za uzamili kiasi cha kila chuo kuanzisha MBA, MPA, M.Sc. etc.
 
IFM siyo "Chuo" ni "Taasisi"...! Kwahiyo inaweza kulinganishwa na Taasisi nyingine kama vile "Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima"...e.t.c..
 
IFM ina miaka 40 tokea ianzishwe na ilianzishwa na NBC kwa madhumuni ya kuwapata bankers wakushka nafasi mbalimbali ndan ya different institutions Hapa nchin!!! Mpaka sasa chuo kina wahitimu weng walioko BOT.TRA na bank kibao
kwa wale wte mliochaguliwa hapo msiogope majungu ya watu kwan mti mwenye matunda ndio ulengwao mawe
pia ukisoma IFM kupata CPA ni rahis zaid
kwa mabaya sasa IFM kina madada du na masharo kibao lakin hilo c jambo la msing cha muhimu ujitambue tu unayeenda kusoma pale.
chamng waambie hao madogo je udsm,mzumbe ,sua hakuna malaya na masharobaro ,its too personal issue to be considered
 
Last edited by a moderator:
Katika vyuo ambavyo nina clear evidence ya wanafunzi kupasishwa kwa rushwa ya hela na ngono ni IFM. Wanafunzi wote ninaofahamiana nao waliopio pale ambao walishakamatwa, wametoa rushwa ya hela na ngono kufanikiwa! Mchumba wangu kalazimishwa na mwalimu wake atoe ngono afaulishwe masomo mawili, akizingua anafelishwa. Akatoa tukaachana. IFM sio chuo kile.
chuki binafsi ulishindwa kazi wewe ukasaidiwa
 
hizi ndo ligi tata humu jf...na fainali yake ni BAN....
 
hebu niambieni na ile mwalimu nyerere memorial accademy mbona inatoa degree ni chuo kikuu nacho kile mbona mnakijadili sana IFM?,
 
she is my x and i loved her a lot! Cwezi kuweka kila ki2 hadharani ambacho kinamhusu ila the thing hapened! I promissed to myself that i must revange oneday! Even afrer 10 years! Ila kuna rafiki zake kibao walifanya hivyo pia na wakafanikiwa! Sina chuki binafsi, ila ki ukweli, kile chuo kina uhuni mwingi sana japo siwezi kukielezea sana academically!
tehetehetehe yaani wewe kupigiwa unalalamika hivyo kwani alihama nayo sialikuachia ,problem is hukumshauri mpenzi wako asome kwa bidii asikamatwe na akikamatwa ajitahidi achomoe wewe ulibakia kula mashine mpaka akajisahau akajiingiza kwenye matatizo hayo,so from there ifm haina tatizo the issue is so personal/ngono na uzembe.
 
Kweli JF, Ila msisahau kuna waalimu wa High school UK na USA ni PHD, na ma prof. sasa mtaita vyuo? Jadilini Mambo ya msingi.
 
ifm ni chuo kizuli sana kutokana sababu zifuatao
1.watu wote waliofeli kinawachukua mpaka zero unasoma degree through mature entry
2.serikali ilikiweka maluum kwa wasanii waliokosa nafasi ya kusoma udsm wakaendelee pale
3.wauaza sura pale ndio maala pake........

Mhhhhh!nimekoma,
 
Jamani mi sioni sababu ya kubishania vyuo kwani rushwa ipo katika kila chuo tz kwakua asilimia 40 ya maksi zako ipo mikononi mwa lecturers so haiepukiki labda tuanzinshe mfumo kama wa necta vyuoni
 
Katika vyuo ambavyo nina clear evidence ya wanafunzi kupasishwa kwa rushwa ya hela na ngono ni IFM. Wanafunzi wote ninaofahamiana nao waliopio pale ambao walishakamatwa, wametoa rushwa ya hela na ngono kufanikiwa! Mchumba wangu kalazimishwa na mwalimu wake atoe ngono afaulishwe masomo mawili, akizingua anafelishwa. Akatoa tukaachana. IFM sio chuo kile.
ayaaaaaaaaaaaaaaaaa, alitoa ngono? huu ni uzembe, bora mlivyoachana.
maana hapo ujue hata kwenye kutafuta kazi mwendo ni ule ule
 
rafiki yangu mmoja dalali wa kuuza magari ana-date na kasistaa duu kamoja ka-hapo IFM.anakapitia jioni na first destination yao ni bar/guest house flan hivi pale kinondoni.kwanza anakachapa na mchemsho wa ndizi+nyama/kuku then kinachofuata ni........chezea watoto wa kike wa IFM wewe.
 
Naona hapa watu mnajichanganya!Mnashindwa kutofautisha University na Institute.Katika institute zilizopo bongo basi IFM ni moja ya Institute bora lakini haiwezi kufikia ubora wa University (Namaanisha Public Universities siyo ward universities).

Kwa hoja yako inamaana University of Dar es Salaam ni BORA KULIKO massachusetts institute of technology? Duh! Hii kali kuliko
 
Mtu kama wewe ndio wale wanaoenda chuo ukitegema kitakusaidia kila kitu. Kumbuka juhudi zako ndo kila kitu, futa izo ideas kichwani kuwa chuo kitakubeba.

Wewe utakuwa ama hujui/huelewi maana ya accreditation au unajifariji kuwa vyuo vyote vinafanana. Whatever it is you are horribly wrong and misguided. Mtu anaweza akafanya bidii na akapata cheti chenye flying colours kutoka chuo kisichokuwa highly rated. Hizo flying colours in this case hazitamnufaisha katika mazingira yanayohitaji mtu aliesoma chuo chenye high rating. Na hii haina uhusiano wowote na mtu kubebwa na chuo au yeye binafsi kutokuwa na uwezo. Kwa mfano si holders wote wa MBA wanakubalika kufundisha higher learning Institutions, kuna MBA zinakubalika na nyingine zinakataliwa KULINGANA NA CHUO GANI MTU ALIIPATA HIYO MBA.

kwani kitu kikiwa kizuri lazima kwanza ukilinganishe na ki2 kingine? Wake up mkuu.. Over

There is only one person here who needs to wake up, and definitely that person IS NOT ME! Sasa utawezaje kusema hiki kitu ni kizuri kama hakuna kitu kibaya? What would be your basis of your ranking? There are must be a benchmark always if one is to rank or categorise something!
 
Kwa hoja yako inamaana University of Dar es Salaam ni BORA KULIKO massachusetts institute of technology? Duh! Hii kali kuliko


Kaka tunaongelea level ya Tanzania,ukisema USA unakuwa unafika mbali maana kwa wenzetu hata shule tu zinafanya ugunduzi mkubwa ambao haujawahi fanywa na university yeyote ya hapa bongo.In academic ranking point of view Institute haiwezi kuwa sawa na University.
 
eebhanaa eeh iyo gap kati ya udzm na vyuo vingine vya tanzania ni balaaaa !!
 
ifm wazuri kwenye accounts na banking.kama unabisha kutana nao kwenye interview
 
Back
Top Bottom