Mgao wa pesa za Ruzuku ni zao la hesabu za kura halali tulizopiga so je mnakubali matokeo na mchakato nzima kura au njaa tu inawaponza kupokea pesa haram?Hakuna uhusiano kati ya kukubali matokeo na kuchukua ruzuku, matokeo feki ya uchaguzi yalitangazwa na NEC ya CCM, hayo hayatambuliki, pesa za ruzuku ni kodi halali wanazokatwa wananchi wa taifa hili na serikali, hivyo serikali kama wakusanyaji ni wajibu wao kuvipa ruzuku vyama vyote vinavyostahili, na hili ni takwa la sheria sio mapenzi ya CCM, narudia tena hakuna uhusiano kati ya kuyakubali matokeo na kuchukua ruzuku.