DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Hahaha wahuni sana hawa jamaa me sina imani nao tenaKula nchi Mkuu hayo ni mazoezi ya utayari tu!
Hivi haviusiani sana na Habari ya tahadhari.ndio maana huwa nawashangaa wanzanzibar kutuona wabara chogo,, uwepo wenu hapa bongo tunawasaidia tu, ndio maana tunawapa na ardhi na mnaishi hata kama sisi kule kwenu ni vyogo. kisiwa chenu kila siku huwa kinapungua, itafika mahali mtakuwa samaki na ninyi, wengine watabadilika kuwa nyangumi wengine papa wengine changu wengine kibua kwasababu miaka ya mbeleni kitamezwa na maji. mtakimbilia wapi kama sio bara? kuna kakisiwa fulani bahari ya hidi hapo kamepukutika karibia kanaisha. haya na hizo volcano, zikilipuka, mtakimbilia wapi? mnataka muishi kwenye mashua? mshukuruni Mungu mpo kwenye muungano na mtuheshimu acheni zarau.
Hawa wajamaa mwaka huu nimeanza kutokuwaamini maana wanayotabiri yote hayatokei kama wanapiga ramli hiviNchii hii ipo siku nitakufa kizembe, mie hawa waduwanzi siwaamini, sijui kwanini π€£π
Wao wakisema kUna tsunami, mie ndio naenda baharini kuogelea.ππ€£
Taarifa mbona kama haijakamilika Ina maana hamna kipindi maalumu Cha matarajio ya tukio kutokea au imekaaje wadauView attachment 2785590
Mamlaka leo imetangaza kuwepo kwa Hali ya hatari ya Volcano Katika bahari ya Hindi.
Maeneo:- Mkoa wa Pwani, Dar es Salaam, Tanga, Lindi, Na Mtwara.
Inawezekana kabisa aisee maana ukiangalia matamko yao kama ya waganga wa kienyej au wanasiasaChuo Cha tma kipo kigoma. Walienda kujifunza ramli chonganishi.
tunawakumbusha, hatudhihaki mtu. wanauona muungano ni kibanzi, wakati hapa ndipo kimbilio lao. wajue wapo kisiwani, sisi tupo nchi kavu. tuishi kwa kuheshimiana, na watupende tu wasituchukie.Hivi haviusiani sana na Habari ya tahadhari.
Nivyema kuepuka kuwadhihaki watu.
Wamekuwa matabiri tambi tambiπHawa wajamaa mwaka huu nimeanza kutokuwaamini maana wanayotabiri yote hayatokei kama wanapiga ramli hivi
FaizaFoxy, njoo kwangu nitakuhifadhi. najua wewe unaishi pwani au zenji. count on me, ila ukija lazima unizalie mtoto.Mwenyezi Mungu atunusuru sote.
Wale ambao hawakai pwani hawawezi kuelewa haya mambo, wanayasikia tu, wanaleta Kejeli za kijinga.
Hivi huko TMA mna uhakika kuna Mageologisti wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..
View attachment 2785593
Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM ππ(kdn)
Unakuta mtu yuko Mbeya.Mtu yupo mbali na bahari anacomment ujinga. Watu wa Pwani wachukue tahadhari
Waache zarau waso na vyogo ππππndio maana huwa nawashangaa wanzanzibar kutuona wabara chogo,, uwepo wenu hapa bongo tunawasaidia tu, ndio maana tunawapa na ardhi na mnaishi hata kama sisi kule kwenu ni vyogo. kisiwa chenu kila siku huwa kinapungua, itafika mahali mtakuwa samaki na ninyi, wengine watabadilika kuwa nyangumi wengine papa wengine changu wengine kibua kwasababu miaka ya mbeleni kitamezwa na maji. mtakimbilia wapi kama sio bara? kuna kakisiwa fulani bahari ya hidi hapo kamepukutika karibia kanaisha. haya na hizo volcano, zikilipuka, mtakimbilia wapi? mnataka muishi kwenye mashua? mshukuruni Mungu mpo kwenye muungano na mtuheshimu acheni zarau.
Volcano au tsunami muandishi?
Kipi waliwahi kutabiri kikatokea?Yakitokea ili muwalaumu.. kisa hawakutoa onyo.. au?