Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazoezi ya utayari ikiwa nchi yenye watu milioni 61 haina boat za rescue guard wa hata helikopta za zimamoto mazoezi gani ya utayari!Kula nchi Mkuu hayo ni mazoezi ya utayari tu!
Mmh hebu check hii videoOfice Hiyo Hiyo ya waziri mkuu imekanusha kutoa taarifa ya kuwepo kwa tsunami kupitia waziri Jenista Mhagama
nenda kaogelee tutakuja kuopoa mwiliSiamini hizi mamlaka
Kwa kutoaminika mamlaka hii ipo siku watu wengi watakufa kizembe kwani watapuuzia na ikatokea kweliSiamini hizi mamlaka
subutu. usifikiri kila siku rais atakuwa samia. ndoto ya mchana hiyo. kwanza hata issue ya mtu wa zanzibar kuwa raia wa bara tu ipo kikaangoni, muda si mrefu itabuma.na siku Zanzibar wahihamishwa Bara kukimbia maafa ya bado watatengewa eneo la pori tengefu kuendesha Zanzibar ndani ya Tanganyika ili "ku maintain identity ya Zanzibar isije kumezwa." Katika kuzienzi akili mbovu za Muungano wa Nyerere.
Mbona hawaweki ramani kuonesha kitovu tarajiwa kiko nchi gani na muda kamili, pia haihusishi majeshi yote na kuhamisha wagonjwa kwenye hospitali zilizo kando ya bahari.Habari zenu ndugu zangu tunaomba tuchukue tahadhari ikiwa habari hii ni ya kweli, kwani Tsunami maafa yake ni makubwa.
Nadhani zile habari ni za maigizo tu au watu wapo kwenye drill (mazoezi).Mbona hawaweki ramani kuonesha kitovu tarajiwa kiko nchi gani na muda kamili, pia haihusishi majeshi yote na kuhamisha wagonjwa kwenye hospitali zilizo kando ya bahari.
Waziri husika amezikausha na kuahidi kuchukua hatua dhidi ya wahusika.Nadhani zile habari ni za maigizo tu au watu wapo kwenye drill (mazoezi).
Ulikataa kumwamini Nabii Boniface wa UNYAKUO TV, vip na Tma sunami mixer volcano huamini?Nadhani ni vizuri watupe darasa kwa uchache kwamba, tahadhari ipi tuchukue, je tuondoke mikoa ya Pwani kwa kipindi fulani au tahadhari ipi tuchukue maana Tsunami mziki wake hatari.
Mkuu Rabbon ile taarifa iliyodaiwa kutolewa na ofisi ya Waziri Mkuu nasikia ofisi imekanusha si kweli.Ulikataa kumwamini Nabii Boniface wa UNYAKUO TV, vip na Tma sunami mixer volcano huamini?
Huwezi kuunga dots kujua kip ni kip ukilinganisha na Matukio yanayotukia duniani?Mkuu Rabbon ile taarifa iliyodaiwa kutolewa na ofisi ya rais nasikia ofisi imekanusha si kweli.
So ni propaganda za watu