Wanaoisifia ndoa ni wale ambao hawajaingia

Wanaoisifia ndoa ni wale ambao hawajaingia

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.

Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
 
Kila kitu ukiwa nje ya chenyewe huwa ni kizuri sana. Kwasababu kwenye kuvuta picha ya hicho kitu unapata tu mazuri yake. Mwanandoa wa kwenye fikra ni mtiifu, anakusikiliza, anakuunga mkono kwa kila kitu, anakupenda, hakusaliti anapenda ndugu zako na anasifa kubwa katika jamii. Sasa huyo mtu kwanini usiipende ndoa. Ingia sasa uone hakuna hata kimoja nilichokitaj hapo utakipata. Mi niko kwa ndoa kwakuwa mama anasema ubachara ni uhuni. Yaani ndoa yangu walinzi ni wazazi wangu na wengi tupo hapo
 
Kwani ni lazima, go get your life buddy,,,, ! Mkiona mmeshindwana kiastaarabu tenganeni,,, kuna upuuzi ety ooh tumezaa watoto,,,, ! Mnabakia kuishi kama vile waganga wa kienyeji,,,, !

Ndo maana wenzetu mataifa yaliyoendelea wana ndoa za mikataba
 
Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.

Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
Correction : Ni wale ambao wameingia na watu sahihi
 
Kwani ni lazima, go get your life buddy,,,, ! Mkiona mmeshindwana kiastaarabu tenganeni,,, kuna upuuzi ety ooh tumezaa watoto,,,, ! Mnabakia kuishi kama vile waganga wa kienyeji,,,, !

Ndo maana wenzetu mataifa yaliyoendelea wana ndoa za mikataba

Mataifa yaliyoondelea wana mazila ya ndoa kuliko Africa, ni ujinga tu wa Ki Africa kufikiri maendeleo ya Ulaya ni kila eneo,

Hemu ficha upumbavu wako
 
Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.

Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
Kila mtu abaki na Ndoa yake sioni kama ni Busara kuja apa na kuifanya ndoa yako ndio iwe mfano wa ndoa za wengine.
Wewe kama yamekushinda achana na iyo ndoa na sio kuja kulia lia apa na kuvunja moyo wengine.
Mke wako sio mke wangu so matatizo hayafanani.
 
Back
Top Bottom