KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
refa mwenyewe mimi!Kataa ndoa wanaongoza 4-0 mpaka sasa na zimesalia dakika 10 mpira uishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
refa mwenyewe mimi!Kataa ndoa wanaongoza 4-0 mpaka sasa na zimesalia dakika 10 mpira uishe
Tafuta hii nyimbo usikilize kwa utulivu..Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.
Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
Pole Sana mkuuKila kitu ukiwa nje ya chenyewe huwa ni kizuri sana. Kwasababu kwenye kuvuta picha ya hicho kitu unapata tu mazuri yake. Mwanandoa wa kwenye fikra ni mtiifu, anakusikiliza, anakuunga mkono kwa kila kitu, anakupenda, hakusaliti anapenda ndugu zako na anasifa kubwa katika jamii. Sasa huyo mtu kwanini usiipende ndoa. Ingia sasa uone hakuna hata kimoja nilichokitaj hapo utakipata. Mi niko kwa ndoa kwakuwa mama anasema ubachara ni uhuni. Yaani ndoa yangu walinzi ni wazazi wangu na wengi tupo hapo
Bed to bed midfielderTatizo mnaoa Malaya ,retired war veterans halafu mnategemea miujiza.
Pole Kaka tulikwambia lakini huyo demu sio. We ukatuchana kwamba hayatuhusu tusiingilie mapenzi yenu.Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.
Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
Hahaha.......Uko Sahihi.Tatizo mnaoa Malaya ,retired war veterans halafu mnategemea miujiza.
Aliyendika ni Kataa Ndoa mwenzao. Sisi tuliooa hatuna malalamiko hayoKataa ndoa wanaongoza 4-0 mpaka sasa na zimesalia dakika 10 mpira uishe
Ndoa sio hitimisho la safari ya mapenzi, ni mwanzo wa safari ya upendo kila siku. Zaidi siku ambazo hautamani kumsikia akipumua karibu yakoFaraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.
Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
Ndoa ina changamoto kama ilivyo katika maisha mengine ya kazi, uongozi, biashara na nk...Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage.
Babati mbaya kuna hakuna reverse gai.
Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile, ukiinga ndani eeh ni kashetani kadogo hivi ulikokaleta ndani. Sema jf wengi watajifany waki happy na ndoa.
Kumpata wa hivi sasa