Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Wazee wa Dar es Salaam ni wale wenye kizazi cha walionzisha MWENGE WA UHURU.
kwa ufupi Rais yeyote atakaewazalau wazee hawa na atakae uzalau mwenge wa uhuru hawezi kubaki salama...
yaani kuna uhusiano mkubwa sana wa akili na kukosea kuandika maneno
dharau? ni neno la wapi?
JPM ndio alikuwa anazabaga vibao vitu kama hivi