Wanaokataa Wamasai kuhamishwa wana ubinafsi mkubwa sana, siyo wazalendo

Wanaokataa Wamasai kuhamishwa wana ubinafsi mkubwa sana, siyo wazalendo

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
FU6HAMBWYAACilI.jpeg

Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?

Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?

Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili Wamasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi Wamasai wanaingizia serikali Sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.

Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini, hakunaga masikini anaejenga nchi.
 
Ina maana hujui Livestock keeping inaaliingizia taifa kiasi gani kwenye GDP?

Hivi leo tungekuwa tunaagiza nyama ya ng’ombe nje ingekuwaje? Au unawaza kwa kutumia makalio? Hao wawekezaji kwanini msiwapeleke huko Handeni kama ni pazuri sana?

Hao wamasai maisha yao ni culture yao, msilazimishe mtu aishi kimjini mjini wakati ameamua kudumisha mila na desturi zake.., kama utajiri wanao, wewe ndio unawaona masikini.
 
Ina maana hujui Livestock keeping inaaliingizia taifa kiasi gani kwenye GDP? Hivi leo tungekuwa tunaagiza nyama ya ng’ombe nje ingekuwaje? Au unawaza kwa kutumia makalio? Hao wawekezaji kwanini msiwapeleke huko Handeni kama ni pazuri sana?

Hao wamasai maisha yao ni culture yao, msilazimishe mtu aishi kimjini mjini wakati ameamua kudumisha mila na desturi zake.., kama utajiri wanao, wewe ndio unawaona masikini.
Kwani Handeni hakuna maeneo ya kufugia? Au serikali inawanyang'anya na ng'ombe zao?
 
Hivi mnawaonaje Wamasai nyie? Mnadhani ni masikini wasioweza kujenga hizo nyumba? Ni kwamba wako vizuri mifugo yao inaweza kuwafanya waishi watakavyo lakini wameua kudumisha mila na ndio asili yao.......! Hao jamaa kama diplomasia isipotumika watawasumbua sana...
 
View attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.

Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.
Wacha kuropoka mkuu yule bibi ako mbona ukimleta mjini anakaa mwezi tu na kurudi kijijini kwake? Hiyo ni tamaduni yao na kumbuka shule ulifundishwa makabila ya wawindaji na wafugaji...tatizo ukiongozwa na sistaduu akili inakuwa ya kiwaki sana
 
Ni vichaa pekee ndo wanaweza wakasema wamasai waendelee kukaa mbugani wakose huduma za kijamii.
Wacha kuropoka mkuu mimi nilifanya kazi katika shirika la umeme huko TANZANIA nakumbuka tulienda kubadirisha nguzo eneo la vigae huko kwagunda ndani ndani wilaya ya kororgwe mkoani TANGA tulikutana na hawa Wamasai tukawauliza kwanini mnaishi katika nyumba duni kama hizi asee majibu yao yalitushangaza.

Walituambia nyinyi ni maskini kuliko sisi ila hii ni tamaduni yetu na mnatoka mjini mnatuletea pesa huku kwetu kununua ng'ombe.

Tamaduni ya mtu iache tu kama ilivyo ni sawa na MZUNGU anavyoeneza tamaduni yake ya UCHOKO barani AFRICA
 
View attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.

Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.

Kwahiyo kumbe ni kweli kuna muwekezaji?
 
Hivi mnawaonaje Wamasai nyie? Mnadhani ni masikini wasioweza kujenga hizo nyumba? Ni kwamba wako vizuri mifugo yao inaweza kuwafanya waishi watakavyo lakini wameua kudumisha mila na ndio asili yao.......! Hao jamaa kama diplomasia isipotumika watawasumbua sana...
Unaakili sana
 
Tunaongea hapa kana kwamba wamasai wenyewe hawana sauti. Wengi wetu hatujui historia wala sheria husika.
 
View attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.

Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.
Mmasai na ng'ombe wake. Hivyo kama huelewi aina yao ya ufugaji ni vigumu kuwaelewa. Bahati mbaya hata wataalam wetu hawalisemi hili.
 
Wamasai na handeni wapi na wapi au kwakua wilaya ya handeni ina pori sana asee??? Asee hii laana itakuja kuwatafuna viongozi hao.
Daah tatizo mkuu watu wabaya ndio wanafanikiwa kwenye maisha hivyo hamna jinsi
 
Kwani Handeni hakuna maeneo ya kufugia? Au serikali inawanyang'anya na ng'ombe zao?
Kama yapo basi yana wenyewe wanaoyalima au kufugia tayari, unataka waende wakapigane vita na wakulima, acheni kusumbua watu, kuhama ni stressful, una muondoa mtu kwenye mazingira yake ya asili akaanze kuadapt na mazingira yasio condusive na life style yake, pia kugoma kwao ni namna nzuri ya kuzuia mauaji ya Simba na tembo kwa kujiburudisha,
 
Back
Top Bottom