FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Akina kinana wanatolea udenda tembo wetu, shida sanaNi vichaa pekee wanataka kuwahamisha wamasai Porini ili wapige hela Porini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina kinana wanatolea udenda tembo wetu, shida sanaNi vichaa pekee wanataka kuwahamisha wamasai Porini ili wapige hela Porini
Alafu ukute unapost ukiwa sebuleni kwa shemeji yako, ukiwa umenyoosha miguu kwenye sofa ukisubili vitoto vibakishe uji ili unywe!View attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.
Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.
Aliyemchafua Kinana kwa kusema ni jangili alishamuomba radhi. Mch Msigwa ndiye alimsema Kinana kuwa ni jangili ila alishalitolea swala hilo ufafanuzi kwa kumsafisha. Maana haya unayosema saivi tukikwambia utuletee ushahidi huna.Akina kinana wanatolea udenda tembo wetu, shida sana
View attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.
Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.
Sasa kama wana utajiri si ndio wawapishe watanzania wengine wafaidike na nchi yao kutokana na tozo itakayopatikana kutokana na hiyo hifadhi!! Nyie ni wabinafsi sana hii nchi sio kwa ajili ya masai tu ni ya wote kama sehemu ni potential na inaingiza kipato kwa watanzania wote basi iheshimiwe,tokeni ngorongoro mmepewa nyumba na fidia sasa kwa nini mng’ang’anie ngorongoroIna maana hujui Livestock keeping inaaliingizia taifa kiasi gani kwenye GDP? Hivi leo tungekuwa tunaagiza nyama ya ng’ombe nje ingekuwaje? Au unawaza kwa kutumia makalio? Hao wawekezaji kwanini msiwapeleke huko Handeni kama ni pazuri sana?
Hao wamasai maisha yao ni culture yao, msilazimishe mtu aishi kimjini mjini wakati ameamua kudumisha mila na desturi zake.., kama utajiri wanao, wewe ndio unawaona masikini.
Na walishauza tembo wengi tuAkina kinana wanatolea udenda tembo wetu, shida sana
binafsi nashauri wangetumia busara wahamishwe wachache baadhi wabaki ambao wanaendana na ratio ya ecosystem ya eneo husikaView attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.
Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.
Hata wewe ungeng'ang'ania kuishi burigi tungekuja kukutoa Kwa nguvu. Unakaa mbugani kwani wewe Fisi?Kwanini msiwapelekee hizo huduma za kijamii?
Dunia inaenda zake hiiDaah tatizo mkuu watu wabaya ndio wanafanikiwa kwenye maisha hivyo hamna jinsi
Hao wamasai wanatumiwa kama chambo tu na Wakenya ambao ndio wenye faida na kinachoendelea kule katika ardhi yetu.View attachment 2257421
Achana na nyumba wanazojemgewa.
Nani anapenda kuishi porini kwenye nyumba za tembe?
Kitendo cha mtu mwenye akili zake timamu cha kukosoa serikali kuondoa wamasai Ngorongoro ni upuuzi mkubwa sana,tena utakuta jitu linalokosoa linakaa kwenye nyumba nzuri na shehena iliyopimwa kabisa,hivi hutaki wenzako waendelee? Unataka wawe na maisha mpaka lini?
Hoja kuwa ooh serikali imeuza eneo hilo kwa wawekezaji ili wanasai wahamishwe haina mashiko hata kidogo. Jiulize hivi wamasai wanaingizia serikali sh. Ngapi kwa mwaka? Lakini kama kuna mwekezaji atalipa kodi, ataboresha ataajiri watz na kutengeneza mzunguko wa pesa.
Natamani sana nchi nzima iwe na mipango ya maendeleo na sio kuendekeza masikini,hakunaga masikini anaejenga nchi.
Bado cjajua hoja yako imejikita kwenye nini labda kama una maslahi binafsi ...... ngoja nikuwambie ivi unajua kuna masai wana ngombe 200k na wanaishi kwwnye nyumba za nyasi(tembe) na maisha yao ni mazuri tu kishinda wewe mwenye gari, ivi unajua wamasai wanaishi tamaduni zao kuliko wewe happ ulipo , ivi unajua maisha mazuri cyo kuishi kwwnye nyumba ya bati kama ulivyo kariri, ivi unajua kati ya mwekezaji na masai yupi ataharibu mazingira na kuondoa ule uhalisia(naturally) mim ningeshauri watumie njia nyingine kuwa shawishi kama lengo ni kupunguza shughuli za kibinadamu hifadhini ila cyo njia nzuri wanao tumia sasaIna maana hujui Livestock keeping inaaliingizia taifa kiasi gani kwenye GDP? Hivi leo tungekuwa tunaagiza nyama ya ng’ombe nje ingekuwaje? Au unawaza kwa kutumia makalio? Hao wawekezaji kwanini msiwapeleke huko Handeni kama ni pazuri sana?
Hao wamasai maisha yao ni culture yao, msilazimishe mtu aishi kimjini mjini wakati ameamua kudumisha mila na desturi zake.., kama utajiri wanao, wewe ndio unawaona masikini.
Hahahah, kwani huyo Msigwa ni nani hadi akatae pesa, for the right price hata magoti hata atapiga 🤣🤣🤣Aliyemchafua Kinana kwa kusema ni jangili alishamuomba radhi. Mch Msigwa ndiye alimsema Kinana kuwa ni jangili ila alishalitolea swala hilo ufafanuzi kwa kumsafisha. Maana haya unayosema saivi tukikwambia utuletee ushahidi huna.
JESUS IS LORD
Mmasai hashindwi kujenga hivyo vijumba vyemu kama vibanda vya maonyesho ya sabasaba, ila mila na desturi zake haziendani na hivyo vijumba vyenu. Ile ni Ardhi yao kama waTz halali na halisi, huyo anaetaka kuua simba na tembo akaue kwao!Sasa kama wana utajiri si ndio wawapishe watanzania wengine wafaidike na nchi yao kutokana na tozo itakayopatikana kutokana na hiyo hifadhi!! Nyie ni wabinafsi sana hii nchi sio kwa ajili ya masai tu ni ya wote kama sehemu ni potential na inaingiza kipato kwa watanzania wote basi iheshimiwe,tokeni ngorongoro mmepewa nyumba na fidia sasa kwa nini mng’ang’anie ngorongoro
Hii nchi yote ni mbuga moja kubwa tu..., nadhani wote tuondolewe Tz ili ibaki mbuga tu, tupelekwe Burundi, au we unaonaje?Hata wewe ungeng'ang'ania kuishi burigi tungekuja kukutoa Kwa nguvu. Unakaa mbugani kwani wewe Fisi?
Bonge la point.Mmasai hashindwi kujenga hivyo vijumba vyemu kama vibanda vya maonyesho ya sabasaba, ila mila na desturi zake haziendani na hivyo vijumba vyenu. Ile ni Ardhi yao kama waTz halali na halisi, huyo anaetaka kuua simba na tembo akaue kwao!
Naona umeniqoute kimakosa, tuko upqnde mmojaBado cjajua hoja yako imejikita kwenye nini labda kama una maslahi binafsi ...... ngoja nikuwambie ivi unajua kuna masai wana ngombe 200k na wanaishi kwwnye nyumba za nyasi(tembe) na maisha yao ni mazuri tu kishinda wewe mwenye gari, ivi unajua wamasai wanaishi tamaduni zao kuliko wewe happ ulipo , ivi unajua maisha mazuri cyo kuishi kwwnye nyumba ya bati kama ulivyo kariri, ivi unajua kati ya mwekezaji na masai yupi ataharibu mazingira na kuondoa ule uhalisia(naturally) mim ningeshauri watumie njia nyingine kuwa shawishi kama lengo ni kupunguza shughuli za kibinadamu hifadhini ila cyo njia nzuri wanao tumia sasa