King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Tatizo hao ndio wenye maamuzi kwahiyo wakifanya amendment lazima wajiangalie wao ,ndio maana hata katiba mpya ilikwama kwasababu ingeenda kuwaumiza hadi wao ,ebu fikiria mbunge amekaa bungeni miaka 20 halafu aje apitishe kipengele cha ukomo wa ubunge vipindi vi3 ,je atapitisha?Yaani wanasiasa inabidi mishahara yao ipunguzwe kuanzia mawaziri ,makatibu wakuu,wabunge,rc,dc, ded, nk ije kujalizia huku maana sijaona umuhimu wao kuzidi hao watu niliotaja hapo juu
Kazi kukaa ofisini kwenye kiyoyozi nakutoa order tu wengine hata kutembelea watu wajue kero zao mda huo hawana
kwa nini na hizo kada zingine wasipewe allowance ambazo ni non taxable kama hao wachumia tumbo? inavyoonekana watu muhimu kwa jamii wanadharaulika saaaana kuliko hao wachumia tumbo ambao wakichaguliwa wanabadilika na kujiona ni ma intellectual ambao wengi ni magumashi na wamefoji vyeti. Jaribu kuangalia mishahara na marupurupu kwa nchi wanaojitambua utaona wanalipana kutokana na umuhimu wa kada kwa jamii.Mushi kwanini umepotosha umma nilitarajia useme hivi
1. Mbunge kwamwezi mshahara wake ni million 3.8(million 4) huo ndo mshahara wa mbunge anaokatwa kodi.
2. Hizo zote zinazobakia zinaingia kwenye account yake matumizi mbalimbali ya shughuli zakibunge na ofisi ya mbunge .eg ,mafuta ya gari wakati anafanya shughulu zake kibunge asikwame, kumlipa dereva wake, kumlipa katibu wake wajimbo, kununua furniture's za ofisi..
Siafiki namna ambavyo wao hua wanapewa bandolote lafedha hizo moja kwa moja mana wabunge wengine hata majimboni huwa hawafiki lakini mpunga anapokea wamefuta kila kitu.
Watakuwa wanajifurahisha tu.Pamoja na pato hilo lote bado wabunge wanatumia bodaboda na bajaji kuhudhuria vikao vya bunge!
Daah hapo umesema kweli lazima wajipendelee waoTatizo hao ndio wenye maamuzi kwahiyo wakifanya amendment lazima wajiangalie wao ,ndio maana hata katiba mpya ilikwama kwasababu ingeenda kuwaumiza hadi wao ,ebu fikiria mbunge amekaa bungeni miaka 20 halafu aje apitishe kipengele cha ukomo wa ubunge vipindi vi3 ,je atapitisha?
Usisahau kwamba hiyo fedha anagawana na wajumbe.....WANAOFAIDI KEKI YA TAIFA
Na Thadei Ole Mushi.
Kwa Mwezi anapokea Milioni 11,000,000
Kwa mwaka atapokea 132,000,000
Kwa miaka mitano atapokea Jumla 660,0000
Huu ni mshahara tu hujaweka kiinua Mgongo, bado Sitting allowance, bado Posho mbalimbali nk. Tuachane na mawaziri na manaibu waziri ambao fedha hii inaongezeka.
Mshahara huu uliingia Moja kwa moja kwenye account Ina maana labda ulikuwa na Makato ya kodi nk au Hauna hayo Makato lakini take home yake ni hiyo iliyoingia kwenye Simu.
Kazi yake kubwa Bungeni Ni kupiga makofi meza, kuitikia ndio au hapana Bungeni.
Huyu mbunge Sifa zake kitaaluma anatakiwa kujua kusoma na kuandika tu.
Njoo kwa Mwalimu anayeajiriwa na Degree moja.
Anaanza na msahahara wa TGTS D1 mshahara wake Ni 733,000 akikatwa Kodi, bima, NSSF, CWT, Loan Board, anabakiwa na shilingi 500,000 plus kwa Mwezi.
Kwa mwaka atachukua 6,000,000 huu mshara wa mwaka haujafikia mshahara wa Mbunge kwa Mwezi mmoja.
Kwa miaka mitano atachukua Milioni 30 plus huku mmbunge akichukua Milioni 660,000, 000.
Majukumu ya huyu mwalimu Sitaki kuyataja kwani ni Mengi mno.
Daktari anayeanza na Degree Moja.
Huyu analipwa 1,400,000 bila makato Kama akikatwa vikorokoro vyote anabakiwa na 900,000 kwa Mwezi.
Kwa mwaka atachukua 10,800,000 bado hajafikia mshahara wa Mbunge.
Kwa miaka mitano atachukua Milioni 54,000,000 huku Mbunge akichukua Milioni 660,000,000.
Majukumu ya Daktari unayajua hatuna haja ya kuyataja.
Ole Mushi
0712702602
Viva
Ambakisye Mwakisyala Mlima
Msemakweli Daima
Nimekushauri mkuu maana hata mimi natengeneza hayo mazingira kwanzaNdo ulichoweza comments kaka hicho???
Dawa yahaya yote CCM kuondolewa madarakani..kwa nini na hizo kada zingine wasipewe allowance ambazo ni non taxable kama hao wachumia tumbo? inavyoonekana watu muhimu kwa jamii wanadharaulika saaaana kuliko hao wachumia tumbo ambao wakichaguliwa wanabadilika na kujiona ni ma intellectual ambao wengi ni magumashi na wamefoji vyeti. Jaribu kuangalia mishahara na marupurupu kwa nchi wanaojitambua utaona wanalipana kutokana na umuhimu wa kada kwa jamii.
HahahahWapinzani na Wanaharakati wanaposema Wananchi Tudai Katiba Mpya tunawabeza leo Watu 400 wanakula Keki ya Taifa utadhani wao ndio wenye Nchi hii
Gombea ubunge na wewe upate huo ulaji
Yaani katika watu ninge suggest walipe mkwanja mrefu
Ni waalimu
Nawaheshimu sana hawa watu na kweli wanapitia mengi sema ndo wanaongoza kwa kudharauliwa .. wengine mazingira ya kazi wanapofanyia ni magumu
Matabibu
Hawa wanahakikisha tunakuwa na afya na afya ni muhimu ni uhai hivyo tuendelee kulitumikia taifa vizuri .ila cha ajabu kuna zahanati vijijini utakuta yupo mmoja .. zahanati iyo ipo kwenye jimbo la mbunge mwenye makazi dar anayetibiwa agha khan au ocean road
Vyombo vya ulinzi
Hawa watu Mungu awabariki tuu japo kama kuna mapungufu ni kawaida kwa kada nyengine
Yaani wanasiasa inabidi mishahara yao ipunguzwe kuanzia mawaziri ,makatibu wakuu,wabunge,rc,dc, ded, nk ije kujalizia huku maana sijaona umuhimu wao kuzidi hao watu niliotaja hapo juu
Kazi kukaa ofisini kwenye kiyoyozi nakutoa order tu wengine hata kutembelea watu wajue kero zao mda huo hawana
Wapinzani na Wanaharakati wanaposema Wananchi Tudai Katiba Mpya tunawabeza leo Watu 400 wanakula Keki ya Taifa utadhani wao ndio wenye Nchi hii
Hii iangaliwe upya, kuna haja ya kuwa na bunge kubwa ilhali wengine wanakaa miaka mitano bila ya kuchangia? Wabunge wawe wa kujitolea kama wana uchungu na maendeleo ya wananchi au iwe ajira kama ajira nyingine wapokee mshahara wa kawaida tu. Tuwe na wabunge wa kila wilaya wanatosha
Wamepita bila kupingwa au bila kupigiwa kura🤩?Kuna wengine hawajagombea. Wameteuliwa, viti maalum na wamepitwa bila kupingwa.
Basi itasaidia kama Halmashauri itawanunulia furniture sawa na wafanyakazi wengine, itawalipa maderva na makatibu etc yeye akabaki na pesa zake ili basi hizo zingine zisaidie na jamii yake hiyo; pendekezoMushi kwanini umepotosha umma nilitarajia useme hivi
1. Mbunge kwamwezi mshahara wake ni million 3.8(million 4) huo ndo mshahara wa mbunge anaokatwa kodi.
2. Hizo zote zinazobakia zinaingia kwenye account yake matumizi mbalimbali ya shughuli zakibunge na ofisi ya mbunge .eg ,mafuta ya gari wakati anafanya shughulu zake kibunge asikwame, kumlipa dereva wake, kumlipa katibu wake wajimbo, kununua furniture's za ofisi..
Siafiki namna ambavyo wao hua wanapewa bandolote lafedha hizo moja kwa moja mana wabunge wengine hata majimboni huwa hawafiki lakini mpunga anapokea wamefuta kila kitu.
Nadhani viti maalumu inaushindani sana kuliko hata ule wa jimbo...Usije dhani wameteuliwaWamepita bila kupingwa au bila kupigiwa kura🤩?
Nilichojifunza katika haya maisha ya hapa town jitahidi sana kukaa jirani na ma bigfish. Ndio namna pekee na rahisi ya kufikia matobo!
WANAOFAIDI KEKI YA TAIFA
Na Thadei Ole Mushi.
Kwa Mwezi anapokea Milioni 11,000,000
Kwa mwaka atapokea 132,000,000
Kwa miaka mitano atapokea Jumla 660,0000
Huu ni mshahara tu hujaweka kiinua Mgongo, bado Sitting allowance, bado Posho mbalimbali nk. Tuachane na mawaziri na manaibu waziri ambao fedha hii inaongezeka.
Mshahara huu uliingia Moja kwa moja kwenye account Ina maana labda ulikuwa na Makato ya kodi nk au Hauna hayo Makato lakini take home yake ni hiyo iliyoingia kwenye Simu.
Kazi yake kubwa Bungeni Ni kupiga makofi meza, kuitikia ndio au hapana Bungeni.
Huyu mbunge Sifa zake kitaaluma anatakiwa kujua kusoma na kuandika tu.
Njoo kwa Mwalimu anayeajiriwa na Degree moja.
Anaanza na msahahara wa TGTS D1 mshahara wake Ni 733,000 akikatwa Kodi, bima, NSSF, CWT, Loan Board, anabakiwa na shilingi 500,000 plus kwa Mwezi.
Kwa mwaka atachukua 6,000,000 huu mshara wa mwaka haujafikia mshahara wa Mbunge kwa Mwezi mmoja.
Kwa miaka mitano atachukua Milioni 30 plus huku mmbunge akichukua Milioni 660,000, 000.
Majukumu ya huyu mwalimu Sitaki kuyataja kwani ni Mengi mno.
Daktari anayeanza na Degree Moja.
Huyu analipwa 1,400,000 bila makato Kama akikatwa vikorokoro vyote anabakiwa na 900,000 kwa Mwezi.
Kwa mwaka atachukua 10,800,000 bado hajafikia mshahara wa Mbunge.
Kwa miaka mitano atachukua Milioni 54,000,000 huku Mbunge akichukua Milioni 660,000,000.
Majukumu ya Daktari unayajua hatuna haja ya kuyataja.
Ole Mushi
0712702602
Viva
Ambakisye Mwakisyala Mlima
Msemakweli Daima
Haitotokea iwezekane ,siasa zetu chafusana.Mimi mbunge serikali initaftie dereva?.katibu wangu jimbo, au ofisi ya bunge initaftie dereva,katibu!!!! Mbona sikumbili utaenda na majiBasi itasaidia kama Halmashauri itawanunulia furniture sawa na wafanyakazi wengine, itawalipa maderva na makatibu etc yeye akabaki na pesa zake ili basi hizo zingine zisaidie na jamii yake hiyo; pendekezo
Unatafuta wewe ila malipo yafuate scheme na mifumo ya serikali...Hii itasaidia sana kuondoa hizo biases na psychological problems wanazopata technochratsHaitotokea iwezekane ,siasa zetu chafusana.Mimi mbunge serikali initaftie dereva?.katibu wangu jimbo, au ofisi ya bunge initaftie dereva,katibu!!!! Mbona sikumbili utaenda na maji