Wanaokula mnofu wa Tanzania

Wanaokula mnofu wa Tanzania

Mi naona sababu kubwa ya walimu kudharuliwa hata kwenye malipo inaanzia na mfumo wetu wa elimu...leo hii kusoma ualimu ambao ndo msingi wa taifa wala sio kazi ukiwa na ufaulu hata wa D 4 tu unaweza soma kuanzia vidudu kwrnda juu...sasa fikiria kama mwalimu ana elimu duni unadhani kuna mtu atawathamini?

Iweke sheria labda ualimu,udaktari,nurse,maabara na kada zote za afya na uhandisi,uchumi mtu anayetaka kusoma walau awe na Division one..hapo kila mtu ataheshimu.. na structure nzima ya jinsi wanavyopatikana kuanzia shuleni hadi kwenye ajira ibadilike nina amini muda mfupi tu nchi itapaa..tofauti na sasa ualimu imekua kama vile option ya mwisho kwa mtu aliyefeli
Na kweli sababu inanzia hapo


Lakini mkuu huko kwenye ubunge mbona ukijua kusoma na kuandika inatosha bora hata na mwalimu ndo kama hivyo tunawabunge mpka darasa la saba

Hivi ni kipi kinafanya hawa watu waendelee kudekezwa yaani ktk watu siwapend ni hawa wanajisahau sana
 
Acha kutetea ujinga na uhuni
Mushi kwanini umepotosha umma nilitarajia useme hivi

1. Mbunge kwamwezi mshahara wake ni million 3.8(million 4) huo ndo mshahara wa mbunge anaokatwa kodi.

2. Hizo zote zinazobakia zinaingia kwenye account yake matumizi mbalimbali ya shughuli zakibunge na ofisi ya mbunge .eg ,mafuta ya gari wakati anafanya shughulu zake kibunge asikwame, kumlipa dereva wake, kumlipa katibu wake wajimbo, kununua furniture's za ofisi..

Siafiki namna ambavyo wao hua wanapewa bandolote lafedha hizo moja kwa moja mana wabunge wengine hata majimboni huwa hawafiki lakini mpunga anapokea wamefuta kila kitu.
 
Back
Top Bottom