Wanaokula mnofu wa Tanzania

Na kweli sababu inanzia hapo


Lakini mkuu huko kwenye ubunge mbona ukijua kusoma na kuandika inatosha bora hata na mwalimu ndo kama hivyo tunawabunge mpka darasa la saba

Hivi ni kipi kinafanya hawa watu waendelee kudekezwa yaani ktk watu siwapend ni hawa wanajisahau sana
 
Acha kutetea ujinga na uhuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…