Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Akachore maweMwigulu for presidency 2025
Labda udiwaniMwigulu for presidency 2025
Tutabadili Sheria Halafu Akirocha Inakuwa Ni Kosa Tena La Utakatishaji Pesa. Hivyo Atatupwa Ndani ππππππAkachore mawe
Kitakacho muokoa Mwigulu ni kuminya sheria na katiba mpaka vitoe damu, Jiwe anaweza kumteua mbunge akabaki kwenye wizara yake.ππππ
Namba moja lilipaswa kuwa la Mh. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa
Kwa nilivyomsoma Raisi Magufuli kum-challange Waziri Mkuu ni kama umemchalange yeye mwenyewe Raisi Magufuli
Asubiri viti maalumuDada Tulia je?
Kwahiyo 'Akirocha' au siyo?Tutabadili Sheria Halafu Akirocha Inakuwa Ni Kosa Tena La Utakatishaji Pesa. Hivyo Atatupwa Ndani ππππππ
Mwigulu for presidency 2025