Uchaguzi 2020 Wanaokwenda kugombea majimbo na hawa Wadau, wanajisumbua na kupoteza muda wao

Uchaguzi 2020 Wanaokwenda kugombea majimbo na hawa Wadau, wanajisumbua na kupoteza muda wao

Mbozi
Simbeye anagombea jimbo gani?

Hivi kumbe ana ushawishi somewhere?

Kale ka-segment ka Habari za Biashara na Uchumi ITV nilifikiri naye ni reporter wa ITV maana daily yupo kwenye taarifa.
 
Anayegombea na Aggrey mwanri nafikiri ategemee "ENGINEER SOMA HIYOOO"KISHA ATAACHWA KAMA ANAJIKUNA VILE"HUKU AKIONA MDUNDO WA CHIKICHICHIKICHI EEEH
Mwanri anagombea jimbo gani??
 
  1. Dkt. Philipo Mpango
  2. Kassim Majaliwa
  3. Seleman Jafo
  4. Charles Kimei
  5. Prof. Palamagamba Kabudi
  6. Dotto Biteko
  7. Dr. Kalemani
  8. Angela Kairuki
  9. Ummy Mwalimu
  10. Godfrey Simbeye
  11. Josephat Gwajima
  12. Prof. Makame Mbarawa
  13. Mrisho Gambo
  14. Job Ndugai
  15. Mohamed Shabiby
  16. Abood Abdulaziz
  17. William Lukuvi
  18. Joyce Ndalichako
  19. Ridhiwani Kikwete
  20. Mtoto wa Lowasa - Monduli
  21. Agrey Mwanri
  22. Anna Kilango Malecela
  23. Simbachawene
  24. Anton Mavunde
  25. Anjelina Mabula
  26. Kigwangala Hamisi
Na huko ndipo tulipoimarisha hit squad!

Mkizingua tu kufanya hujuma kwa wapinzani ili mtangazwe washindi Basi tarajieni kilio
 
Jimbo la Kibamba sijasikia watia nia baada ya John Mnyika au Hakuna wagombea
 
  1. Dkt. Philipo Mpango
  2. Kassim Majaliwa
  3. Seleman Jafo
  4. Charles Kimei
  5. Prof. Palamagamba Kabudi
  6. Dotto Biteko
  7. Dr. Kalemani
  8. Angela Kairuki
  9. Ummy Mwalimu
  10. Godfrey Simbeye
  11. Josephat Gwajima
  12. Prof. Makame Mbarawa
  13. Mrisho Gambo
  14. Job Ndugai
  15. Mohamed Shabiby
  16. Abood Abdulaziz
  17. William Lukuvi
  18. Joyce Ndalichako
  19. Ridhiwani Kikwete
  20. Mtoto wa Lowasa - Monduli
  21. Agrey Mwanri
  22. Anna Kilango Malecela
  23. Simbachawene
  24. Anton Mavunde
  25. Anjelina Mabula
  26. Kigwangala Hamisi
Vipi kuhusu Piere Liquid
 
  1. Dkt. Philipo Mpango
  2. Kassim Majaliwa
  3. Seleman Jafo
  4. Charles Kimei
  5. Prof. Palamagamba Kabudi
  6. Dotto Biteko
  7. Dr. Kalemani
  8. Angela Kairuki
  9. Ummy Mwalimu
  10. Godfrey Simbeye
  11. Josephat Gwajima
  12. Prof. Makame Mbarawa
  13. Mrisho Gambo
  14. Job Ndugai
  15. Mohamed Shabiby
  16. Abood Abdulaziz
  17. William Lukuvi
  18. Joyce Ndalichako
  19. Ridhiwani Kikwete
  20. Mtoto wa Lowasa - Monduli
  21. Agrey Mwanri
  22. Anna Kilango Malecela
  23. Simbachawene
  24. Anton Mavunde
  25. Anjelina Mabula
  26. Kigwangala Hamisi
Wasira ni kichaa mark my words
 
  1. Dkt. Philipo Mpango
  2. Kassim Majaliwa
  3. Seleman Jafo
  4. Charles Kimei
  5. Prof. Palamagamba Kabudi
  6. Dotto Biteko
  7. Dr. Kalemani
  8. Angela Kairuki
  9. Ummy Mwalimu
  10. Godfrey Simbeye
  11. Josephat Gwajima
  12. Prof. Makame Mbarawa
  13. Mrisho Gambo
  14. Job Ndugai
  15. Mohamed Shabiby
  16. Abood Abdulaziz
  17. William Lukuvi
  18. Joyce Ndalichako
  19. Ridhiwani Kikwete
  20. Mtoto wa Lowasa - Monduli
  21. Agrey Mwanri
  22. Anna Kilango Malecela
  23. Simbachawene
  24. Anton Mavunde
  25. Anjelina Mabula
  26. Kigwangala Hamisi
12.Professor Makame Mbarawa Mnyaa,anatokea Pemba,jimbo la Mkanyageni huko ni kama ccm haipo,mwaka 2015 alipata kura 250,ni rekodi haijawahi kutokea
 
  1. Dkt. Philipo Mpango
  2. Kassim Majaliwa
  3. Seleman Jafo
  4. Charles Kimei
  5. Prof. Palamagamba Kabudi
  6. Dotto Biteko
  7. Dr. Kalemani
  8. Angela Kairuki
  9. Ummy Mwalimu
  10. Godfrey Simbeye
  11. Josephat Gwajima
  12. Prof. Makame Mbarawa
  13. Mrisho Gambo
  14. Job Ndugai
  15. Mohamed Shabiby
  16. Abood Abdulaziz
  17. William Lukuvi
  18. Joyce Ndalichako
  19. Ridhiwani Kikwete
  20. Mtoto wa Lowasa - Monduli
  21. Agrey Mwanri
  22. Anna Kilango Malecela
  23. Simbachawene
  24. Anton Mavunde
  25. Anjelina Mabula
  26. Kigwangala Hamisi
ina maana makonda Bashite atakosa ubunge?
 
Ondoa gwajima, anna kilango, na yule kibaka wa arusha ..rc
  1. Dkt. Philipo Mpango
  2. Kassim Majaliwa
  3. Seleman Jafo
  4. Charles Kimei
  5. Prof. Palamagamba Kabudi
  6. Dotto Biteko
  7. Dr. Kalemani
  8. Angela Kairuki
  9. Ummy Mwalimu
  10. Godfrey Simbeye
  11. Josephat Gwajima
  12. Prof. Makame Mbarawa
  13. Mrisho Gambo
  14. Job Ndugai
  15. Mohamed Shabiby
  16. Abood Abdulaziz
  17. William Lukuvi
  18. Joyce Ndalichako
  19. Ridhiwani Kikwete
  20. Mtoto wa Lowasa - Monduli
  21. Agrey Mwanri
  22. Anna Kilango Malecela
  23. Simbachawene
  24. Anton Mavunde
  25. Anjelina Mabula
  26. Kigwangala Hamisi
 
Yaweza kutokea maajabu Kigamboni jina la Daud Bashite likakatwa wakarejesha jina la Mpoki
 
Majaliwa ana nidhamu sana ya kazi, anaye mfuatia ni Jafo.
Namba moja lilipaswa kuwa la Mh. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa

Kwa nilivyomsoma Raisi Magufuli kum-challange Waziri Mkuu ni kama umemchalange yeye mwenyewe Raisi Magufuli
 
Back
Top Bottom