Wanaolalamika us dollar kupanda bei sana wachungulie hapo kwa jirani

Wanaolalamika us dollar kupanda bei sana wachungulie hapo kwa jirani

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,120
Reaction score
2,709
Jirani tu hapo leo imepiga 150 ksh kwa dollar moja, na kutoka kwao kuja kwa madafu ni 18.5 mpaka 19 oi.

inbound184929193884489995.jpg
 
Unajua uwiano wa Ksh to Tsh, yani Kenya umaweza nunua Corolla kwa laki 3, Huku Tanzania 5m, sina mpango kabisa wa kujilinganisha na kenya.
 
Kwa hio 'kutoka kwao kuja kwa madafu' umemaanisha kutoka KUNYALAND kuja BONGOLAND au sio?


Yaan Shilling 1 ya KUNYALAND = Shilling 19 za BONGOLAND

Mangungo The Chief nimekuelewa
Kwahiyo ukijumlisha na kuzidisha hapo unapata wapi dola ni bei ghali?
Kunyaland au bongoland?
 
Back
Top Bottom