Nani kakwambia kuwa kazi ya serikali siyo kuajiri. Kwa hiyo unataka kuaema madaktari, manesi na walimu wakaajiliwe na mo dewji kwenye hospitali au shule za serikali
Nchi sasa hivi inajiendesha Kama haina Rais. Wafanyakazi sekta zote wengine wanastaafu na wengine wanakufa kila siku lakini jamaa hataki kabisa Wala kusikia kuhusu ajira. Yuko radhi wote mfe ilimradi barabara zijengwe.
Elimu sasa hivi haina value tena Kama kipindi cha JK ambapo kuna vipaumbele vya ajira mpaka wazazi walikuwa wanajivunia kuwasomesha watoto maana ukimaliza tu ajira ipo mkono lakini sasa hivi ukimaliza msisitizo unaotolewa na JPM na viongozi wengine ni kujiajiri hawatwambii kama nchi imeahafilisika haiwezi kuajiri tena.
Kila kitu kimekuwa kugumu hata ukijaribu kuanza kufungua genge TRA wanamwagika unafirisiwa within no time. Uliamua kwenda kulima mazo ya biashara hakuna soko yote serikali imeyavuruga kwa uongozi huuvmbovu kuwahi kutokea.
Vijana salini Sana ndo kilichobakia ili mungu ampende zaidi.
Sasa hivi nchi ni miliki ya mtu binafsi na washirika wakeNchi sasa hivi inajiendesha Kama haina Rais. Wafanyakazi sekta zote wengine wanastaafu na wengine wanakufa kila siku lakini jamaa hataki kabisa Wala kusikia kuhusu ajira. Yuko radhi wote mfe ilimradi barabara zijengwe.
Elimu sasa hivi haina value tena Kama kipindi cha JK ambapo kuna vipaumbele vya ajira mpaka wazazi walikuwa wanajivunia kuwasomesha watoto maana ukimaliza tu ajira ipo mkono lakini sasa hivi ukimaliza msisitizo unaotolewa na JPM na viongozi wengine ni kujiajiri hawatwambii kama nchi imeahafilisika haiwezi kuajiri tena.
Kila kitu kimekuwa kugumu hata ukijaribu kuanza kufungua genge TRA wanamwagika unafirisiwa within no time. Uliamua kwenda kulima mazo ya biashara hakuna soko yote serikali imeyavuruga kwa uongozi huuvmbovu kuwahi kutokea.
Vijana salini Sana ndo kilichobakia ili mungu ampende zaidi.
Labda awe mwislamu sisi wakristo ni watu wa hovyo sn sijui kwanini?Rais wa 2025 nawaza hivi ataweza kufanya comeback kweli??????
Nchi yetu imeharibiwa sana
Tumecheleweshwa sana
As development concerns π
Dona kantriπ
Ww n pimbi sn ujue aya nletee hyo Comment nloandika.Comment yako itakosaje humo? Tafuta vizuri
Itafute humu mlipotaka kumpeleka ICCWw n pimbi sn ujue aya nletee hyo Comment nloandika.
Sasa mbona waislamu nao mliwapeleka ICC? Labda awe mpagani, au sio?Labda awe mwislamu sisi wakristo ni watu wa hovyo sn sijui kwanini?
Ikawaje Tena mkawa mnasema hafai?Una maanisha Jakaya alikuwa akifanya makosa?? Nenda kasali upesi kwan una dalili za kuanza kuwa mchawi
Kama hakufanya makosa ikawaje mkampelema ICC?Una maanisha Jakaya alikuwa akifanya makosa?? Nenda kasali upesi kwan una dalili za kuanza kuwa mchawi
ππ mbele bila kusita ngja nmalize tuMimi na vile nimegundua kuna retention fee na zile interest zinaongezeka. Niko na mpango nikimaliza tu nitembee mambele uko nibebe box. Ajira zenyewe hamna ndio maana hata kusoma huwa nakata tamaa niko bize na mishe za kitaa na kusoma vitu kibao ambavyo sitajibia ila nitaishi navyo.
Kwanza sina imani kama huyu mkemia anaondoka 2025
Research yako umefanyia mtaani kwenu tuu, mm nimesoma Arusha technical college, pale kulikuw na jamaa zangu wa veta nimeenda kufanya nao installation kwenye majumba ya watu, though sikuw profesTenda atazipata wapi wakati wamejazana kibao mtaani as a result tenda zinaenda kwa kujuana au unamtafuta ndugu yako afunge tu. Wasomi wamerunrikwa mtaani Kama makopa kila kitu imekuwa shida. Mpaka kazi za ubarmaid imekuwa kujuana kwa sababu so personel wapo mtaani hawana Cha kufanya
ππ Ushaona STD 7 wanavyodrive huko kitaaa?, Kupata degree kwa Watz wengi imekuwa Kama ulemavu wa akili au upofu, toka nje ya ulipo kwa shemπ utaziona, ukisubir kila k2 kikukute Jf u will be too late to catch the moving trainAssumption iko invalid,hizo fursa zilizopo zitaje I DARE YOU, watu wanasoma hapa eleza ulipataje kazi na hao ma genious wanafeli wapi?....
Mimi mwenyewe nataka niende mbele, hebu tupeana routes mapemaMimi na vile nimegundua kuna retention fee na zile interest zinaongezeka. Niko na mpango nikimaliza tu nitembee mambele uko nibebe box. Ajira zenyewe hamna ndio maana hata kusoma huwa nakata tamaa niko bize na mishe za kitaa na kusoma vitu kibao ambavyo sitajibia ila nitaishi navyo.
Kwanza sina imani kama huyu mkemia anaondoka 2025
Tunajenga flyovers,na DRCNchi sasa hivi inajiendesha Kama haina Rais. Wafanyakazi sekta zote wengine wanastaafu na wengine wanakufa kila siku lakini jamaa hataki kabisa Wala kusikia kuhusu ajira. Yuko radhi wote mfe ilimradi barabara zijengwe.
Elimu sasa hivi haina value tena Kama kipindi cha JK ambapo kuna vipaumbele vya ajira mpaka wazazi walikuwa wanajivunia kuwasomesha watoto maana ukimaliza tu ajira ipo mkono lakini sasa hivi ukimaliza msisitizo unaotolewa na JPM na viongozi wengine ni kujiajiri hawatwambii kama nchi imeahafilisika haiwezi kuajiri tena.
Kila kitu kimekuwa kugumu hata ukijaribu kuanza kufungua genge TRA wanamwagika unafirisiwa within no time. Uliamua kwenda kulima mazo ya biashara hakuna soko yote serikali imeyavuruga kwa uongozi huuvmbovu kuwahi kutokea.
Vijana salini Sana ndo kilichobakia ili mungu ampende zaidi
Miaka 31 unakuja kujisifu hapa kwa kushindwa kujitegemea! Very stupid. Endelea kusubiri ugonge 40 ndiyo utajua serikali haipo kuajiri watu.Mimi nimegraduate tangu 2016 nikiwa na miaka 26 mpaka leo nimefikisha miaka 31 bila bila.
Shetani [emoji216] kakanyaga waya.
Siyo kibao wewe.Acha kutumika na mabeberu.Mleta mada ulihondika kama umesoma na huna kazi ni sawa na ni haki yako sababu kichwani huna kitu kichwani
Ulitakiwa kama msomi useme baadhi ya ajira zimezimwa uliposema zote zimezimwa ndio ubwege wako nikauona hadi.Serikali imeajiri karibuni walimu na madaktari kibao wewe unasema zote zimezimwa very sad kuwa na wasomi koko kama wewe
limekuwa jiwe kuu la pembeniJiwe lililowashinda Waashi