ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Ilo ni lifala, lipuuze
Nani kakwambia kuwa kazi ya serikali siyo kuajiri. Kwa hiyo unataka kuaema madaktari, manesi na walimu wakaajiliwe na mo dewji kwenye hospitali au shule za serikali