Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 515
- 1,015
Ww ndio mwenye funza kichwan... Kipind cha Jk madogo jeshin walikuwa hawarud nyumbn wote walikuwa wanapata ajira lkn sasa hv Op karbu mbili zko mtaani wanazurura tu, walimu walikuwa wanapata ajira fasta tena bila kuomba unakuta umeshapangiwa shule, manesi walikuwa wakipata nafasi bwerere, madaktar wa mifugo nafas zlkuwa znaonekana.... Sasa hv hakuna la maana, mambo yamekuwa hovyoo unachopinga hapo nn??Eeh jk aliweza kuajiri? Una funza kichwani?
Mara kadhaa nimekuwa nikiwaita kuwa nyie ni wajinga.Hakuna Graduate, mfanyabiashara wala mtumishi asiyemkumbuka Kikwete.
Sitaki kukutukana Ila pitia hii thread kipindi Cha kikwete. Ukimaliza kusoma sema "Mimi ni mjinga"Ww ndio mwenye funza kichwan... Kipind cha Jk madogo jeshin walikuwa hawarud nyumbn wote walikuwa wanapata ajira lkn sasa hv Op karbu mbili zko mtaani wanazurura tu, walimu walikuwa wanapata ajira fasta tena bila kuomba unakuta umeshapangiwa shule, manesi walikuwa wakipata nafasi bwerere, madaktar wa mifugo nafas zlkuwa znaonekana.... Sasa hv hakuna la maana, mambo yamekuwa hovyoo unachopinga hapo nn??
Hapo ndipo mkuu alipochemka; kuwekeza kwenye vitu na si watu!! Ni sawa na kuamua kutolipa ada ya wanao na pesa hizo ukatumia kununulia kiwanja.Ni kweli mkuu, angefanya ku balance mambo, sio kila kitu kuwekeza kwenye kununua mandege
Ww hujielew aisee yani ktk hoja zote hapo unaenda tafuta single point ya jkt hv ratio ya walikosa kipnd cha kikwete na hawa ambao wana miaka mitano ni sawa?? Aya tuache ya jkt hao walim kipnd cha jk walikuwa wanazurura mtaani?? Kipnd cha jk kulikuwa hakuna increment na kupanda vyeo??Sitaki kukutukana Ila pitia hii thread kipindi Cha kikwete. Ukimaliza kusoma sema "Mimi ni mjinga"
Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu wajitosa sakata la kuteswa kwa Mwenyekiti wa JKT
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRD- Coalition) unalaani kwa nguvu zote kitendo cha kutekwa na kuteswa kwa mwenyekiti wa JKT Tanzania, George Mgoba (28), pamoja na kushikiliwa kwa viongozi wengne bila dhamana. Mtandao umesikitishwa kupokea taarifa Mnamo wiki iliyopita kuwa...www.jamiiforums.com
Naam limekuwa jiwe kuu!Jiwe lililowashinda Waashi
I feel you broMimi nimegraduate tangu 2016 nikiwa na miaka 26 mpaka leo nimefikisha miaka 31 bila bila.
Shetani 🐍 kakanyaga waya.
Bora hata umemjibu huyo motivational speakerNani kakwambia kuwa kazi ya serikali siyo kuajiri. Kwa hiyo unataka kuaema madaktari, manesi na walimu wakaajiliwe na mo dewji kwenye hospitali au shule za serikali
Acha kuongea kama zuzu mzee. Hata kama unalipwa kwa ku spin lakini kuwa na akili kidogo wapo watu waliomaliza shule miaka hiyo mpaka leo wameajiriwa . Kweli kazi ya serikali siyo kuajiri unategemea mtu aliyemaliza degree ya sociology mwaka jana akajiajiri wapi???Kazi ya serikali sio kuajiri. Huko vyuoni mnaposoma huwa mnaambiwa mkimaliza mtaajiriwa?
Moja ya komenti mavi iliyotolewa na mtu mavi.Kazi ya serikali sio kuajiri. Huko vyuoni mnaposoma huwa mnaambiwa mkimaliza mtaajiriwa?
Hakuna kinachoenda sasa hivi. Kila Kitu kimekwama. Hata kuajiri Serikali imeshindwa utafikiri tunatoka vita ya Kagera.Kwa taarifa yako nchi ina move forward agua nchi kurudi kwenye laissez fair Type of administration ya Kikwete
Raisi Magufuli kaweka msingi kuwa ukitaka nchi iende uwe mnyapara usichekecheke kama Kikwete iwe na watendaji au wanasiasa
Tatizo la mbumbumbu hilo. Anaulizia wanayoambiwa vyuoni. Hutoka wapi hawa mbilikimo wa akili? Kazi ya serkali ni kusomesha tu na sio kuajiri? You must be full blown nuts. You, you nincompoop. Bodi kubwa ya mikopo. Wanaambiwa wataalamu wa hili au lile wanahitajika sana and urgently. Huko vyuo vikuu tena. Vijana wanajipinda. Kwao hakuna jm1 au juma ngapi. Wanachojua ni kitabu. Hadi vitabu vinanung'unika. Na wale wengine utasikia ufaulu umeongezeka. Hayo ndiyo wanayoambiwa we fala! Umeuliza, nimekujibu.Kazi ya serikali sio kuajiri. Huko vyuoni mnaposoma huwa mnaambiwa mkimaliza mtaajiriwa?