Wanaomaliza vyuo vikuu kipindi hiki cha awamu ya tano mpaka nawaonea huruma. Ajira zote zimezimwa kana kwamba nchi imesimama

Haha we kenge wa rumumba mikelele yako humu haibadirishi ukweli kwamba serikali awamu ya tano ni failure
Imefeli au wewe ndio umefeli? Utaishia kulialia tu humu
Ila Kama ni mwanaume, basi ni hasara Sana kwa kuwa hutaweza kufanya chochote
 
Hujui maana ya democracy kumbe
 
Ukiona wanaojiita wasomi wako mtaani wanalalamika na ajira na bado hawajui wafanye nini basi na huko ccm wapo wa aina hiyo tuu.
Ndio hao wanaomtumia pesa Ontario ili wadownload pesa?
Msomi wa kweli hayupo mtaani kulialia
 
Washikaji zangu 6 niliokuwa nao mtaani walipata ajira jeshini mwaka 2008 na hii ni baada ya kumaliza form four na matokeo hayakuwa mazuri

Sasa leo hii Tanzania ya jiwe unaweza kupata ajira jeshini kirahisi Ivo!? Tena ukiwa form four failure
Mahitaji ya jeshi yapo unlimited? Yaani waendelee tu kuajiri? Hata wakiwa wanajeshi milioni sawa tu?
 
N ngaz gan ya elimu au coz gan uliambiwa you will be employed by the government 🤔😂, seems niny ndo wenye vyeti vya degrees but vichwa vya STD 7
 
Kumbe una stress za uchaguzi? Mimi sipo huko
Sitakuja kuilaumu serikali kuhusu ajira kwa kuwa nimepewa akili nikaongezea na kusoma.
Wewe endelea kulialia tu umri unasogea
 
Wanatia huruma sana
 
Mi silii nawaonea huruma vijana wanaomaliza kipindi hiki chini ya huyu dictator anay jari barabara kuliko watu. Mi Nina ajira nzito nilimaliza enzi za jk moenda watu
Ajira nzito ya kupost jf?
Ungekuwa nayo Wala usingekuja humu kutia huruma
 
Kuweni waizi tu wakuu, yaani ni kupiga dili tu wewe usiwaze sana chungulia tu udhaifu fanya mambo.

Yaani wewe tafuta mke wa jamaa mmoja mtongoze upate mtaji, si waume zao wanasema vijana mjiajiri sasa tafuteni mtaji kwa hela zao za mboga. Piteni na wake zao tu vibosile wapate stress

Ikishindikana zaidi subirini 2025
 
Demokrasia gani ya kuchapana risasi hadharani na kuiba kura mchana kweupe na kuzima internet ili iwe rahisi kuiba
Mbona hueleweki? Unazungumzia kuibiwa kura au kukosa ajira?
Unataka nikusaidie lipi Kati ya hayo mawili?
 
N ngaz gan ya elimu au coz gan uliambiwa you will be employed by the government 🤔😂, seems niny ndo wenye vyeti vya degrees but vichwa vya STD 7

ndio mlivyo msiosoma ku attack mtu badala ya hoja, Courses ZOTE lazima wawe employed na serikali,only wachache ndio waaachiwe private sector,..again, kumsomesha mtu usimpe ajira,ni bora hio hela umpe ajisimamie baada ya miaka 3 ya kuinvest muda wake na pesa uliyompa,kutakua na matokeo chanya..sio sawa na kumsomesha kumpotezea muda..wether unakubali na kukataa utajiju!
 
Reactions: Pep
N ngaz gan ya elimu au coz gan uliambiwa you will be employed by the government [emoji848][emoji23], seems niny ndo wenye vyeti vya degrees but vichwa vya STD 7
Vichwa vya STD 7?? Aringe? Huyo amefeli STD 4
 
2025??mmeshasahau 2020? Si mlisema Sasa basi??
 
Mbona hueleweki? Unazungumzia kuibiwa kura au kukosa ajira?
Unataka nikusaidie lipi Kati ya hayo mawili?
We si umesema semocrasia na mi nimrkujibu accordingly Mana inaonekana hujui udictator wa rais wako
 
Serikali haiwezi fanya huo ujinga wa kuajiri kila Mtu.
Wewe baki humu kulialia tu, muda ukifika nenda mezani utakuta shemeji kishakutafutia chakula
 
Vichwa vya STD 7?? Aringe? Huyo amefeli STD 4

na wewe ambae hukufika la 4, tukusaidieje???,nimeona majibu yako ya kitoooooootoooo..una attack watu badala ya kujenga hoja,anyway ni utoto tu unakusumbua na ugeni,ukiizoea JF utakua matured zaidi katika majibu yako,kwa sasa inabidi tuvumilie tu mapumba yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…