Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Tumehisi hivyo.Kuna mambo mengi sana yamefanyika ambayo ni ya kushtusha na yote yametendwa bila idhini ya mama.
Nina wahakikishieni kwamba, msishangae ukimya wa mama. Siku chache mtashangaa vigogo watakavyodondoshwa kama magunia ya mchanga. Mwenye madaraka ni mwenye madaraka
Mama inabidi avunje baraza la mawaziri na bwana yule arudi mwakao akalime. Kwa sababu ndio mmoja wa viongozi wanaofanya silent sabotage, ambayo wanafanikiwa. Mama ameshashtuka na msishangae, yajayo yatawafurahisha
Na wananchi.
Nchemba yupo kuelekea kwa mafundi wake utashangaa anabadilishiwa wizara tu.Kuna mambo mengi sana yamefanyika ambayo ni ya kushtusha na yote yametendwa bila idhini ya mama.
Nina wahakikishieni kwamba, msishangae ukimya wa mama. Siku chache mtashangaa vigogo watakavyodondoshwa kama magunia ya mchanga. Mwenye madaraka ni mwenye madaraka
Mama inabidi avunje baraza la mawaziri na bwana yule arudi mwakao akalime. Kwa sababu ndio mmoja wa viongozi wanaofanya silent sabotage, ambayo wanafanikiwa. Mama ameshashtuka na msishangae, yajayo yatawafurahisha
Hakuna haja ya kutishiana au kufukuzana kwa majungu, afanye kazi tuu kwa bidii na awe mwaminifu, watu sio wajinga wataona tuu na ataongoza vizuri sana, cheo dhamana tuu fanya kazi vizuri uondoke zakoNaunga mkono hoja,madam President ampige chini PM afu Baraza la mawaziri lote litoke then afanye mabadiliko makubwa kwenye vyombo vya dola ndio atakuwa free kupeleka mbele ajenda zake.
Kwenye Chama taratibu aanze kuwashikisha adabu watakaokenua meno ikiwemo kuwafukuza chama na kuwqtisha.
Inafika point lazima haya yatokee Ili kujenga nidhamu,utiifu na uwajibikaji kwa serikali.Hili hata Magu alilifanya kwa kina Nape nk hadi akashika hatamu licha ya kuingia akiwa hana ushawishi kwenye vyombo vya dola na Chama.
Ngoja tuyasubiri ingawaje utabiri wenu mara nyingi huwa mere illusions!Kuna mambo mengi sana yamefanyika ambayo ni ya kushtusha na yote yametendwa bila idhini ya mama.
Nina wahakikishieni kwamba, msishangae ukimya wa mama. Siku chache mtashangaa vigogo watakavyodondoshwa kama magunia ya mchanga. Mwenye madaraka ni mwenye madaraka
Mama inabidi avunje baraza la mawaziri na bwana yule arudi mwakao akalime. Kwa sababu ndio mmoja wa viongozi wanaofanya silent sabotage, ambayo wanafanikiwa. Mama ameshashtuka na msishangae, yajayo yatawafurahisha
Hilo Jicho Sasa 😂😂😁😁😀😀😅😅😆
Zanzibar haijaendelea? How much do you infidels contribute to their annual budget?!Mbona wameshndwa kuifanya zanzibar iendelee tena kimkoa cha watu milion moja na nusu
Bara kuna nini , mbona umaskini mtupu mpaka chawaMbona wameshndwa kuifanya zanzibar iendelee tena kimkoa cha watu milion moja na nusu
Msigombane okay! ukiona mtu anakuzengua Fanya kupotezea sawa home girl don't panic!![emoji41][emoji41][emoji41]Kwa vile umezoea kumwagiwa sperms kwenye masaburi yako basi unafikiria wote tunatupiwa uchafu.
Sawa mkuuMmMsigombane okay! ukiona mtu anakuzengua Fanya kupotezea sawa home girl don't panic!![emoji41][emoji41][emoji41]
Chama dolaKuna mambo mengi sana yamefanyika ambayo ni ya kushtusha na yote yametendwa bila idhini ya mama.
Nina wahakikishieni kwamba, msishangae ukimya wa mama. Siku chache mtashangaa vigogo watakavyodondoshwa kama magunia ya mchanga. Mwenye madaraka ni mwenye madaraka
Mama inabidi avunje baraza la mawaziri na bwana yule arudi mwakao akalime. Kwa sababu ndio mmoja wa viongozi wanaofanya silent sabotage, ambayo wanafanikiwa. Mama ameshashtuka na msishangae, yajayo yatawafurahisha
Pole sana kilaza.Ulipotaja feminist nikajua ni mrembo fulani.
Ndy maana a aitwa mamaNi Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania imetokea tu ni ana jinsia ya kike