Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo hapa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Me naonaga kama kiatu cha mtoto, ngoja niendelee kupambana na mwendokero
 
Duh!!! Mawazo ya kimasikini haya.
Kuna mkurugenzi wa shule ya sekondari ndo gari yake hiyo.

Mwingine ana shule na hana gari ya kutembelea ila ana mpunga wa ajabu. Angeweza kumiliki hata v8. Ila gari yake ilikua voxy ameamua iwe ya shule. Hana shile moja, anazo mbili na miradi ya kutosha ikiwa ni pamoja na shamba la miti hekali 500 njombe huko. Ana mashamba ya ngano ya kutosha. Endelea kuwaona wa ajabu hao watu
 
Kaangalie vizuri bei yake haiwezi kufika huku
Wewe ndo nenda ukatazame, naona kabisa utakuwa umeshtuka kuona bei hizo, au unadhani walikosea kuandika zile bei,nakukumbusha tena ukipata muda pitia basi, be forward na uangalie bei za Toyota starlet Kwa models zote hasa hasa EP 91 , ili upate kushangaa zaidi.
 
Ni mtazamo wako tuu. Kuna starlet utakuta imetunzwa vzuri mtu kaipimp, kawekea extras, mziki mzuri ndani na android radio. Ndipo utajua maneno yako ni ya kujifariji tuu ila mwenye icho kigari gari kakuzid mbali.
 

Attachments

  • 1715207813002.jpg
    1715207813002.jpg
    420.3 KB · Views: 4
Back
Top Bottom