Habarini wakuu, NAME: Mohammed Ali STATUS: Job Seeker/Businessman DEGREE: BSC Commerce in Accounting EXPERIENCE: 1 years LOCATION: Ubungo Riverside DSM AGE: 24 Years SEX: Male OTHER PROFESSIONAL SKILL: Driving (class D), managing business, photoshop, graphics design. CONTACT: Email-...
www.jamiiforums.com
Natafuta kazi, nina ujuzi wa kusimamia biashara kwa miaka 5
Huna akili mtoa mada tafut kwanz kazi
Kidogo niandike kuwa huyu jamaa ni under 30, halafu anaweza kuwa anakaa kwa ndugu au nyumba ya familia.
Au ana maisha ya kawaida sana. Mtu aseme daladala bora kuliko starlet, daladala hizi hizi za Dar, ujikute uko Morocco saa tisa alasiri kwenda mbele unataka kwenda Mbezi, Temeke au Mbagala.
Chuma zinakuja zimejaa, raia wanagombea mpaka wanajitoa akili, humo ndani ukute wamepanda vichaa fresh watatu wanazozana.
Dereva mla bangi anapiga singeli na miziki usiyoipenda sauti ya juu na sound haina quality.
Umesimama hauna siti,pembeni yako mlevi asiejitambua kila saa anaongea hovyoo unapambana na harufu ya pombe mixer hapigi mswaki🤣.
Kulia kwako kuna Mama hajiwezi stamina kachoka na watu hawamwachii siti anakugeuza nguzo anakuegemea. Na wewe uko hoi umechoka🤣.
Ukicheki pembeni kuna mtu yuko peke yake ktk ki starlet chake, hasimami vituoni taa zikiruhusu anaserereka.
Ni kweli kina sura haivutii(body) na ni ya zamani. Lakini haiondoi fact inarahisisha movement.
Bora mwanao umpeleke shule na starlet kuliko ku risk unampakia bodaboda, au dala dala mwendo mrefu. Watoto wangapi tunawakuta kala mia mbili ya nauli, anakusalimia anaomba umlipie😥, au konda anasamehe lakini kwa masimango unhealthy kwa mtoto.
NIMESIKITIKA SANA