Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879



Wewe hata gari huna unakuwa na Maringo hivyo, mnaishiaga kuishi kwenye ndoto na kuwa maskini milele.
 
Kama mtu comfortability kwake ni kua na starlet anaimudu gharama za mafuta na inamrahisishia pia kazi zake, kama maintenance ya gari anaimudu sion sababu ya wewe kumshawishi aone aibu maana hayo ni maendeleo kwake, maana kwanza haimpi hasara na shughuli zinaenda
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Mwenye starlet hana hii adha, yeye angejipitia zake anacruise huku kaweka kishoka anapiga mluzi na akiwa na uhakika wa kutochomolewa wallet au simu mfukoni. BTW mtoa umesema bado hujafanikiwa kumiliki yako eenh!View attachment 2745760View attachment 2745761
Screenshot_20230911-124710.jpg
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Onyesha unayomiliki,wewe,Iache starlet yangu najua nilipotoka nayo mwenyewe na hata mafuta nawema mwenyewe.
 
Mkuu hiyo gari wewe uione tuu hivyo ukizarau ila, jaribu kwenda nje ya nchi zinazojielewa uwone dhamani ya hayo magari madogo madogo ndio utashangaa. Unakuta tajiri anacho hapo kwake na ndio unakuta anatembelea sometimes, magari makubwa yakifahari hayo niya vacation tuu, ila kama hakuna mtoko hayo ndio magari yakutembelea mjini
Naomba mungu anipe uzima mwakani ninunue starlet/Carina au Corolla sprinter
 
vp Kwa side was kijijini inaweza kutumia bila shida au ni town tu
Hiyo inafaa kwa maeneo ya kijijini ukija nayo huku town tutakuona kichekesho huna tofauti na dereva bajaji ila angalau bajaji anaweza fanyia biashara na pia ni common huku town
 
Mwenye starlet hana hii adha, yeye angejipitia zake anacruise huku kaweka kishoka anapiga mluzi na akiwa na uhakika wa kutochomolewa wallet au simu mfukoni. BTW mtoa umesema bado hujafanikiwa kumiliki yako eenh!View attachment 2745760View attachment 2745761View attachment 2745762
Kikubwa napumua hayo mengine sijui kumiliki gari siyawezi ngoja nyinyi wenye hizo starlet niwaache mvimbe ila hilo haliwezi kubadili ukweli kuwa mnaonekana vituko pia mnadharauriwa sana na jamii.
 
Kikubwa napumua hayo mengine sijui kumiliki gari siyawezi ngoja nyinyi wenye hizo starlet niwaache mvimbe ila hilo haliwezi kubadili ukweli kuwa mnaonekana vituko pia mnadharauriwa sana na jamii.
Mimi sina starlet ila it is very ironic huna hata hiyo starlet halafu unamdharau mwenye nayo... The most funny part is, vipi wewe unachukuliwa kwa heshima kwenye hiyo jamii inayomdharau mwenye starlet nawe hata hiyo huna...

Wakati wewe usiye na gari unadefine kuwa na gari lengo ni kuvimba wengine wenye mafari wanafafanua kuwa gari ni kiokoa muda na ni kirahisishi cha kukutoa sehemu moja kwenda nyingine
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879


Sema wewe unawafharau wanaomiliki Starlet sio Jamii. Na huo ni mtizamo wako, hata hivyo sio mbaya kuwa na fikra au mapendekezo ya vitu unavyotaka au kupenda, shida ni ukitaka maoni Yako yawe mapendekezo ya watu wote.

Mie binafsi napenda Suzuki Jimny, zile za 4x4.
Ni imara sana, Zina nguvu, zinatumua mafuta vizuri, gharama za matunzo nafuu sana.
 
Natafuta kazi, nina ujuzi wa kusimamia biashara kwa miaka 5





Ama kweli ujinga mzigo.
 
Back
Top Bottom