Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye kichwa cha uzi neno "ndugu " weka zuzu ......ili kunyosha madaView attachment 2418874
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
JPM aliwahi kuwamudu? Acheni chuki dhidi ya Rais Wetu MpendwaMama wanammudu vizuri sana wasaidizi wake. Wanampanga, anapangika kisha wanampangua.
Nimelazimika kwenda kwenye heading! Hii si sahihi. Huyu ni Rais wetu wa Nchi. Ni Alama yetu. Tumuheshimu.😂😂😂 Watu watu watu 🤣
Jpm aliwahi kuwamudu? Acheni chuki dhidi ya Rais Wetu Mpendwa
Msipende kugeneralize....Semeni Raisi wangu mpendwa....wetu wewe na nani?? Ulimpigia kura?Nimelazimika kwenda kwenye heading! Hii si sahihi. Huyu ni Rais wetu wa Nchi. Ni Alama yetu. Tumuheshimu.
Yupo kwa mujibu wa Katiba. Vinginevyo, kaipinge katiba kwa mujibu wa Sheria na si kumkosea staha Rais wetu wa Nchi.Msipende kugeneralize....Semeni Raisi wangu mpendwa....wetu wewe na nani?? Ulimpigia kura?
Rais Samia anausoma mchezo very soon atarekebishaMama wanammudu vizuri sana wasaidizi wake. Wanampanga, anapangika kisha wanampangua.
Anajadili azipokee ama lah, halafu raia tukiomba utasikia tunalitia taifa aibuMwigulu yuko Germany na bakuli.
Hapo tatizo ni Rais au wasaidizi wake? Si aliwaambia mwenyewe kuwa walambe asali kadili ya ukubwa wa vidole vyao!View attachment 2418874
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Sema raisi wangu...wetu wewe na nani?Yupo kwa mujibu wa Katiba. Vinginevyo, kaipinge katiba kwa mujibu wa Sheria na si kumkosea staha Rais wetu wa Nchi.
Yawezekana najadiliana na mtu wa Kenya ama Somalia. Naomba nisamehewe.Sema raisi wangu...wetu wewe na nani?
Kama kina Nani? Mavibonzo hayo?View attachment 2418874
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Wamempangaje, toa mfano.Mama wanammudu vizuri sana wasaidizi wake. Wanampanga, anapangika kisha wanampangua.
Ndio maana watoa mada hawawezi kuweka ushahidi so wanapuuzwa kwa kujilisha upepo..Wala hawampangi wala kumdanganya. Raia ndio wanaopangwa na kudanganywa na wao kwa kukubaliana wanatuaminisha kuwa yeye SS anadanganywa.
Yaani sisi raia tuone anadanganywa halafu yeye asifahamu, wakati ana kila aina ya sources za information zinazo fahamiana na zisizofahamiana.
Yeye amebariki kila kitu kinachoendelea, sharti alilowapa "Amani" iendelee kuwepo mtaani.