The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Sasa wakilamba asali tatizo Liko wapi?Hapo tatizo ni Rais au wasaidizi wake? Si aliwaambia mwenyewe kuwa walambe asali kadili ya ukubwa wa vidole vyao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wakilamba asali tatizo Liko wapi?Hapo tatizo ni Rais au wasaidizi wake? Si aliwaambia mwenyewe kuwa walambe asali kadili ya ukubwa wa vidole vyao!
Kukosa akili Ni mzigo,so mikopo sio rasilimali,unapewa bure au?Eti hatulii anatafuta pesa, kweli hii nchi ina vichwa maji hasa, baada ya kutumia rasilimali zako uboreshe uchumi yaani kupuyanga kwenda kukopa ndo imekuwa solution ya matatizo yetu??? AIBU SANA
Sio mikopo Tena Ni bakuli kumbe? Safi Sana Mwigulu Hadi waote sugu kwenye vidole kwa kuandika upuuziMwigulu yuko Germany na bakuli.
Unajadiliana na mhanga wa mgao wa maji na umeme....sio mlamba asali mwenzakoYawezekana najadiliana na mtu wa Kenya ama Somalia. Naomba nisamehewe.
Mnampambania sana jaman...maparachichi tumeanza kupeleka south toka enzi za MwinyiKukosa akili Ni mzigo,so mikopo sio rasilimali,unapewa bure au?
Kwa hiyo na hapa alienda kukopa kinyeo chako si ndio? 👇
Mlianza na Nani? Toa upumbavu wako hapa sie wakulima ndio tunajua sio mataahira Kama nyie wa huko Mjini na Kama mlianza Pesa zake ziko wapi?Mnampambania sana jaman...maparachichi tumeanza kupeleka south toka enzi za Mwinyi
Wewe mjukuu wa msoga uliesomea primary Ujerumani na sasa umepewa kitengo pale Tanapa unajua hata jembe likoje?Mlianza na Nani? Toa upumbavu wako hapa sie wakulima ndio tunajua sio mataahira Kama nyie wa huko Mjini na Kama mlianza Pesa zake ziko wapi?
Njoo huku Njombe utuletee upumbavu wako huo uone kitakachokutokea,Kwanza lile lirais lenu likituharibia soko la hapo Kenya achilia mbali la huko Nchi..
Ulitaka tupambanie mkeo? Soko la South limefunguliwa kwa Mwinyi gani? Fala wewe.
Ni kweli mkuu anafahamu kila kitu na amebariki iwe hivyo.Wala hawampangi wala kumdanganya. Raia ndio wanaopangwa na kudanganywa na wao kwa kukubaliana wanatuaminisha kuwa yeye SS anadanganywa.
Yaani sisi raia tuone anadanganywa halafu yeye asifahamu, wakati ana kila aina ya sources za information zinazo fahamiana na zisizofahamiana.
Yeye amebariki kila kitu kinachoendelea, sharti alilowapa "Amani" iendelee kuwepo mtaani.
Unajisemesha upumbavu tuu Ni hivi gombeeni Sasa na Samia afu tuone Nani tutamchagua maana mnajifariji Sana humu mitandaoni..Wewe mjukuu wa msoga uliesomea primary Ujerumani na sasa umepewa kitengo pale Tanapa unajua hata jembe likoje?
Nyie lambeni asali tu, Acheni ufala wa kutusemea wakulima huku mnazunguka kwenye viyoyozi
Wameshajua udhaifu wake ni kumsifia na kumpamba bahati nzuri wazanzibar ni watu wa vivu huwa hata hawahangaiki wao akiambiwa sahivi ni saa 6 usiku hata kama ni mchana saa 8 anakubaliMama wanammudu vizuri sana wasaidizi wake. Wanampanga, anapangika kisha wanampangua.
Ha ha ha haaaa!! Nalamba asali Tena?Unajadiliana na mhanga wa mgao wa maji na umeme....sio mlamba asali mwenzako
Huyo raisi ni wakwenu walamba asali.Ha ha ha haaaa!! Nalamba asali Tena?
Kwanza pole kwa kadhia ya Maji na umeme. Hakuna nayeweza kufurahia matatizo ya vitu hivi viwili kamwe.
Kikubwa tusaidiane kutoa ushauri utaisaidia kutatua kero hizi kwa kutumia lugha ya staha ili watekelezaji wajue wanaungwa mkono katika utekelezaji huo.
Nyongeza, Mimi nchi yangu ni Tanzania, sina nchi nyingine. Siwezi kufurahishwa kwa namna yoyote Ile kuona nchi yangu inadhiakiwa. Unapomdhiaki Rais wa nchi yetu Tanzania ni sawa umetudhiaki watanzania. Hili halikubaliki.
Asubuhi njema.
Kwa msaada wa policcm, NECCM mnajisifu sana.Unajisemesha upumbavu tuu Ni hivi gombeeni Sasa na Samia afu tuone Nani tutamchagua maana mnajifariji Sana humu mitandaoni..
Samia katutengenezea soko ambalo mliliharibu,
Samia katupunguzia ushuru kwenye Mazao ya misitu ,
Samia katupa mbolea ya ruzuku,
Samia katupunguzia Barabara za Vijijini yaanai Hadi Makete huku Sasa tunauza miti kukokuwa hakufikiki,
Samia katujengea mavituo ya Afya ya kuzidi..
Tunataka mhombee 2025 tuone tutamchagua Nani..awe Sukuma gang awe Chadema Hakuna atakayeshida Jimbo hata Moja kwa Njombe,Iringa,na Mbeya na Rukwa mtaishia kuwa na Jimbo la hisani la yule mama ambae alipata ngekewa kwa sababu Kessy alitukanwa watu..
😁😁😁😁 Mtaishia na hizo excuse Hadi mnakufa..Kwa msaada wa policcm, NECCM mnajisifu sana.
Kukiwa na uchaguzi (sio uchafuzi) Samia Hata awekwe na kivuli, kivuli kitashinda.
polisi wanaua watu kisa kura huko zanzibar Wewe unaita excuse?...nyie endeleeni tu.. ila utambue your days are numbered...wananchi hawataendelea kuwavumilia milele.😁😁😁😁 Mtaishia na hizo excuse Hadi mnakufa..
Njooni huku Nyanda za Juu muongee ujinga wenu wankusema ooh mahindi yamepanda Bei sijui maharage muone..Huo ujinga ongee mitandaoni na mijini sio kwenyeMikoa ya kilimo.
Rais wenu anajikwamisha mwenyewe kwa nguvu zake zote, acheni visingizio vya kijinga jinga.Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Jamii yoyote inayoongozwa na wajinga, werevu hupata mateso ya hali ya juu mnooooo.Eti hatulii anatafuta pesa, kweli hii nchi ina vichwa maji hasa, baada ya kutumia rasilimali zako uboreshe uchumi yaani kupuyanga kwenda kukopa ndo imekuwa solution ya matatizo yetu??? AIBU SANA
Unaweza kumtetea Samia kadri upendavyo lakini usitumie uongo, wewe sio mkulima bwashee..Mlianza na Nani? Toa upumbavu wako hapa sie wakulima ndio tunajua sio mataahira Kama nyie wa huko Mjini na Kama mlianza Pesa zake ziko wapi?
Njoo huku Njombe utuletee upumbavu wako huo uone kitakachokutokea,Kwanza lile lirais lenu likituharibia soko la hapo Kenya achilia mbali la huko Nchi..
Ulitaka tupambanie mkeo? Soko la South limefunguliwa kwa Mwinyi gani? Fala wewe.