The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Mimi sio mkulima? Wakulima wanakuaje?Unaweza kumtetea Samia kadri upendavyo lakini usitumie uongo, wewe sio mkulima bwashee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mkulima? Wakulima wanakuaje?Unaweza kumtetea Samia kadri upendavyo lakini usitumie uongo, wewe sio mkulima bwashee..
Wewe unajijua kabisa kwamba sio mkulima, yaani kulazimisha uonekane mkulima ?Mimi sio mkulima? Wakulima wanakuaje?
Sawa wakulima wanafurahia au wanachukia Bei za Mazao na ruzuku? Jibu swali.Wewe unajijua kabisa kwamba sio mkulima, yaani kulazimisha uonekane mkulima ?
Wakulima wanalia na hali mbaya ya hewa inayowapa uncertainty juu ya mustakabali wa sekta nzima ya kilimo kwani hawana uhakika wa kupata mvua za kutosha.Sawa wakulima wanafurahia au wanachukia Bei za Mazao na ruzuku? Jibu swali.
HAKIKA, hatukumchagua ndomana hatusikilizi.Msipende kugeneralize....Semeni Raisi wangu mpendwa....wetu wewe na nani?? Ulimpigia kura?
Zamani nilikuwa naomba omba sana,lakini kuna wakati nikaambiwa msaada haumalizi dhiki na huwezi kuendelea kwa kupewa msaada jifunze kutafuta.Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Urais wa nchi za kiafrika ni kama jalala, wapita njia wakisikia harufu wanalidharau lakini linahifadhi kila kitu na lisingekuwepo ndani mwao wasingeweza kuishi salama.Kukosa akili Ni mzigo,so mikopo sio rasilimali,unapewa bure au?
Kwa hiyo na hapa alienda kukopa kinyeo chako si ndio? 👇
Apotoshwe au adanganywe yeye ni mjinga au mtoto?? acheni kusingizia watu Raisi ana madaraka na cyombo vya kutosha kuanzia Kikosi chake cha Ulinzi,TISS , Police na JWTZ na kadhalika atumia hivyo kupata ukweli.Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Kama unaamini katika siasa za makundi utaamini kuwa hao waliovutwa karibu na rais hawafai.HAKIKA, hatukumchagua ndomana hatusikilizi.
Yaani Eti Kabood na Kuluuuuvi ni WA kuwekwa CHINI ya KITANDA kama misukule Ili KAMBA, Riz, Mwigu na Pena nyota zishine!!!!!!!
Rais Samia Suluhu anafanya mambo makubwa sana na yupo makini na kazi yake hakuna anaempotosha wala nini ameitoa nchi mbali sana ndani ya siku 607 akiwa madarakani amefanya maendeleo mengi yanayomlenga direct mtanzania na yeyote anaegundulika anafanya ubadhilifu wa pesa za umma lazima ashughulikiwe kisheriaUnaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Anafanya nini tenaMwigulu yuko Germany na bakuli.
Juzi nilikuwa namsikiliza kwenye Radio DW lakini najua hizo feza zitapigwa tu.Anafanya nini tena
Kweli kabisa ZUZU lazima aheshimiwe milele daima [emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90]Nimelazimika kwenda kwenye heading! Hii si sahihi. Huyu ni Rais wetu wa Nchi. Ni Alama yetu. Tumuheshimu.
Tatizo hiyo asali ni ya wananchi!Sasa wakilamba asali tatizo Liko wapi?
Wao sio Wananchi Ni mifigo?Tatizo hiyo asali ni ya wananchi!
Wewe sio Mtanzania!?Msipende kugeneralize....Semeni Raisi wangu mpendwa....wetu wewe na nani?? Ulimpigia kura?
Huwezi kuuona msitu ukiwa ndani ya msituWala hawampangi wala kumdanganya. Raia ndio wanaopangwa na kudanganywa na wao kwa kukubaliana wanatuaminisha kuwa yeye SS anadanganywa.
Yaani sisi raia tuone anadanganywa halafu yeye asifahamu, wakati ana kila aina ya sources za information zinazo fahamiana na zisizofahamiana.
Yeye amebariki kila kitu kinachoendelea, sharti alilowapa "Amani" iendelee kuwepo mtaani.
atahadharishwa mapema sana kwamba Nchi hii ukicheza na watu wako utaambulia patupu. !! Akasema yeye hana hulka ya kufukuzana fukuzana !! Iko hivi - kutafuta pesa ni suala moja na kuzidhibiti hizo pesa ili zisiingie mikononi mwa Nchwa ni suala jingine kabisa !! Ngoja tuone !!Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?
Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.