Wanaomkwamisha Rais wanaanza kujulikana

Wanaomkwamisha Rais wanaanza kujulikana

Tena ni mawaziri wake waandamizi, badala ya kufanya kazi walizopewa wamebadilika na kuwa chawa
 
Msipende kugeneralize....Semeni Raisi wangu mpendwa....wetu wewe na nani?? Ulimpigia kura?
HAKIKA, hatukumchagua ndomana hatusikilizi.

Yaani Eti Kabood na Kuluuuuvi ni WA kuwekwa CHINI ya KITANDA kama misukule Ili KAMBA, Riz, Mwigu na Pena nyota zishine!!!!!!!
 
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?

Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Zamani nilikuwa naomba omba sana,lakini kuna wakati nikaambiwa msaada haumalizi dhiki na huwezi kuendelea kwa kupewa msaada jifunze kutafuta.
 
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?

Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Apotoshwe au adanganywe yeye ni mjinga au mtoto?? acheni kusingizia watu Raisi ana madaraka na cyombo vya kutosha kuanzia Kikosi chake cha Ulinzi,TISS , Police na JWTZ na kadhalika atumia hivyo kupata ukweli.
 
HAKIKA, hatukumchagua ndomana hatusikilizi.

Yaani Eti Kabood na Kuluuuuvi ni WA kuwekwa CHINI ya KITANDA kama misukule Ili KAMBA, Riz, Mwigu na Pena nyota zishine!!!!!!!
Kama unaamini katika siasa za makundi utaamini kuwa hao waliovutwa karibu na rais hawafai.
 
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?

Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
Rais Samia Suluhu anafanya mambo makubwa sana na yupo makini na kazi yake hakuna anaempotosha wala nini ameitoa nchi mbali sana ndani ya siku 607 akiwa madarakani amefanya maendeleo mengi yanayomlenga direct mtanzania na yeyote anaegundulika anafanya ubadhilifu wa pesa za umma lazima ashughulikiwe kisheria
 
Nimelazimika kwenda kwenye heading! Hii si sahihi. Huyu ni Rais wetu wa Nchi. Ni Alama yetu. Tumuheshimu.
Kweli kabisa ZUZU lazima aheshimiwe milele daima [emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90]
 
Msipende kugeneralize....Semeni Raisi wangu mpendwa....wetu wewe na nani?? Ulimpigia kura?
Wewe sio Mtanzania!?
Mara nyingine yule Gaidi alikuwa sahihi kuwapoteza watu kama ninyi...
alichokuwa anakosea ni kuwapoteza mazima tu, lau angewarudisha baada ya muda fulani mkiwa na viungo ungufu angekuwa bora sana!!
 
Anguko la Mtu ni njia zake mwenyewe. Kiongozi anapaswa kuogopwa. Lakini leo wafuasi wa viongozi ni wale Nyuki wa Fulani, Alipo fulani sisi tupo. Tuache kujidanganya kuna muda tumbo linaposhindwa kujishikilia mwili wote unatetemeka.
 
Wala hawampangi wala kumdanganya. Raia ndio wanaopangwa na kudanganywa na wao kwa kukubaliana wanatuaminisha kuwa yeye SS anadanganywa.

Yaani sisi raia tuone anadanganywa halafu yeye asifahamu, wakati ana kila aina ya sources za information zinazo fahamiana na zisizofahamiana.

Yeye amebariki kila kitu kinachoendelea, sharti alilowapa "Amani" iendelee kuwepo mtaani.
Huwezi kuuona msitu ukiwa ndani ya msitu
 
Alish
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo?

Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya jinsi wanavyojisikia wao. Anytime anything.
atahadharishwa mapema sana kwamba Nchi hii ukicheza na watu wako utaambulia patupu. !! Akasema yeye hana hulka ya kufukuzana fukuzana !! Iko hivi - kutafuta pesa ni suala moja na kuzidhibiti hizo pesa ili zisiingie mikononi mwa Nchwa ni suala jingine kabisa !! Ngoja tuone !!
 
Back
Top Bottom